Mungu kuna mambo anaya acha ili mabadiliko yatokee so tuache wafanye vile wanataka then u shall see the change.-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Aise mchen gwera Yuko smart sana jama yule alivyobadilishwa wizara ndio watumishi walilia Sana Ni mtu POA na anjuwa analolifnya-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Alibadilisha nini?Aise mchen gwera Yuko smart sana jama yule alivyobadilishwa wizara ndio watumishi walilia Sana Ni mtu POA na anjuwa analolifnya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Je tukupe wewe maana kila aliyeteuliwa hafai au hajui kazi yake.-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Kina MTU kalazimishwa kushika hizo nafasi wewe binti wa Mchamba wima?Je tukupe wewe maana kila aliyeteuliwa hafai au hajui kazi yake.
Kweli 'domo jumba maneno'
Mkuu, inakubidi uwe mbunifu ili nawe uweze kula mema ya nchi hii. Nchi hii uzalendo ama uweze kukumbukwa na kupewa cheo ama "ulaji" maana yake ni kuwa karibu na familia ya malkia/mfalme, kuwa kada mnafiki na mwenye vinasaba ama ukaribu na watu maalum ndani ya chama chao, na kujipendekeza kwa watawala kama vile huna akili timamu.-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Dah!🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ile Milioni moja hawezi kweli kurudishiwa......
Hiki chama KATILI SANA....
Hivi mi Sina ndugu kweli huko😸-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Huna akiliMtu Hazuiliwi Wala kukosa sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa tu baba yake au mama yake au Kaka yake au dada yake au ndugu yake yoyote Ni kiongozi, kinachomfanya mtu kuwa kiongozi Ni sifa na uwezo alionao mtu katika kuongoza na kumudu majukumu ya kiuongozi,
Watu wangekuwa na mtizamo Kama wakwako Basi George Bush asingekuwa Rais wa Marekani wala uhuru kenyata kuwa Rais wa kenya Wala Hillary Clinton kushika nyadhifa alizoshika marekani,
Hata hivyo Tambua ya kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu pekee anayetufahamu na kutujuwa sisi Tungali katika matumbo ya mama zetu,
Acha matusi jibu hoja, au unazani uongozi unapatikana kwa hayo matusi unayotukana? Sasa mtu Kama wewe ndio Nani akupe uongozi? Utapewaje uongozi wakati inaonyesha unatatizo linalohitaji matibabu?Huna akili