Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia kuwa mtu hazuiwi Wala kukosa sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa tu wazazi au ndugu zake Ni viongozi au waliwahi kuwa viongozi, kinachomfanya mtu kuwa kiongozi Ni sifa alizonazo na uwezo wake kiuongozi,Hoja yako iko wapi?
Narudia tena. Huna akiliNimekwambia kuwa mtu hazuiwi Wala kukosa sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa tu wazazi au ndugu zake Ni viongozi au waliwahi kuwa viongozi, kinachomfanya mtu kuwa kiongozi Ni sifa alizonazo na uwezo wake kiuongozi,
Sawa nashukuruNarudia tena. Huna akili
Hayo matusi hayakusaidii kitu, wewe jibu hoja bwanaaa.Kina MTU kalazimishwa kushika hizo nafasi wewe binti wa Mchamba wima?
Unachamba kama domo umeoakichwa kwenye blow job. Stupid. Wewe ni mitala was nani huko CCM???
Mwigulu toka alipobatizwa Savimbi na msema hovyo kipindi cha JK nilishangaa sana kupewa nafasi za uwaziriPamoja na hayo yote bado hamhamii Burundi na mnacheza kamari
Pesa ipo acha muendelee kukamuliwa
Jibu hoja, kama huna la kujibu bora ukae kimyaWewe ni mitala was nani huko CCM?
You shall? Kweli? ❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌00%Mungu kuna mambo anaya acha ili mabadiliko yatokee so tuache wafanye vile wanataka then u shall see the change.
Serikali makini sana,-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Umekuja teba na hekaya zako. Unafurahi sana sasa Ben Saanane hayupo? Imekusaidia nini?Mungu kuna mambo anaya acha ili mabadiliko yatokee so tuache wafanye vile wanataka then u shall see the change.
Unatafuta vita ya mhutu na mtusi na machawa wataenda wap??-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Na likamkuta[emoji51]Iv magufuli alipokuwa anasema nimesacrifice maisha yangu km kuna baya linikute alikuwa anamwambia nani?kuuliza sio ujinga
Alikuwa anakuambia wewe maskini wa Tz kwani yeye alikuwa raisi wa maskini na wanyonge wa Tz.Iv magufuli alipokuwa anasema nimesacrifice maisha yangu km kuna baya linikute alikuwa anamwambia nani?kuuliza sio ujinga
Harafu mi sio mtanzania mzee na huko tanzania matajir wanahesabika sijawai kuona forbes wamekumention we tajir nkt..Alikuwa anakuambia wewe maskini wa Tz kwani yeye alikuwa raisi wa maskini na wanyonge wa Tz.
Kwa ufupi hakuwa raisi wa sisi matajiri na tusio wanyonge! 😀
CCM kumejaa takataka haswa-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Put Mohamed Mchengerwa out of this rubbish, moja ya viongozi Smart, mzalendo, mchapakazi, anayejituma, asiye na majivuno, popote anapofanya kazi anacha alama kubwa saaana ni Mohamed Mchengerwa.-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.