Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Kuna nobility na kuna tarent acha ushamba na kulazmisha maisha sio kla mtu awe na tarent ata nobility inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemchinjia Baharini hadi PASKAL... Wamebebana wenyewe na watoto. Nahisi yule waziri kutoka jimbo la kusini aliachiwa kadi ya chama kama URITHI na sio mali nyingine.Nchi imelaaniwa na viongozi wake,hawaoni ata aibu, angalia mchujo wa wabunge wa EAC ni ushenzi mtupu.Yaani tiketi ya wewe kuwa kiongozi ni wazazi wako kuwa ndani ya CCM,watu wanaoheshimu chama kuliko nchi!!
kwa huyo nakuunga mkono alitaka kuibadilisha kabisa hiyo wizara naona wakubwa walishtuka wakamtoa.Aise mchen gwera Yuko smart sana jama yule alivyobadilishwa wizara ndio watumishi walilia Sana Ni mtu POA na anjuwa analolifnya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
alikua anamwambia hawara yakeIv magufuli alipokuwa anasema nimesacrifice maisha yangu km kuna baya linikute alikuwa anamwambia nani?kuuliza sio ujinga
Aisee,Asante sanaWanu Hafidh, mtoto wa Samia na mbunge viti maalum huko Zanzibar ni mke was pili wa Mchengerwa
AngaliaMtu Hazuiliwi Wala kukosa sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa tu baba yake au mama yake au Kaka yake au dada yake au ndugu yake yoyote Ni kiongozi, kinachomfanya mtu kuwa kiongozi Ni sifa na uwezo alionao mtu katika kuongoza na kumudu majukumu ya kiuongozi,
Watu wangekuwa na mtizamo Kama wakwako Basi George Bush asingekuwa Rais wa Marekani wala uhuru kenyata kuwa Rais wa kenya Wala Hillary Clinton kushika nyadhifa alizoshika marekani,
Hata hivyo Tambua ya kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu pekee anayetufahamu na kutujuwa sisi Tungali katika matumbo ya mama zetu,
Angalia lilamba asali hili!.Mtu Hazuiliwi Wala kukosa sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa tu baba yake au mama yake au Kaka yake au dada yake au ndugu yake yoyote Ni kiongozi, kinachomfanya mtu kuwa kiongozi Ni sifa na uwezo alionao mtu katika kuongoza na kumudu majukumu ya kiuongozi,
Watu wangekuwa na mtizamo Kama wakwako Basi George Bush asingekuwa Rais wa Marekani wala uhuru kenyata kuwa Rais wa kenya Wala Hillary Clinton kushika nyadhifa alizoshika marekani,
Hata hivyo Tambua ya kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu pekee anayetufahamu na kutujuwa sisi Tungali katika matumbo ya mama zetu,
Wivu tuu za Chadomo wazee wa kiki na wajane wa Sukuma gang otherwise Nchi inasonga kwa Kasi kila Kona..-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.
Alikuwa anamwambia MUNGU, akijifanya anaipenda TANZANIA kuliko MUNGU anavyoipendaIv magufuli alipokuwa anasema nimesacrifice maisha yangu km kuna baya linikute alikuwa anamwambia nani?kuuliza sio ujinga
Kwa Mchengerwa nakupinga,ni mtendaji mzuri kwa maoni yangu.-Teuzi zimejaa Wakwe, mashemeji was Mitala kina Mchengerwa ambao hata waboronge vipi hawatatumbuliwa.
- Teuzi za watoto was vigogo kina Nape, Makamba, ambao kiuhalisia hawanq jipya tRNA zaidi ya kutafuna nchi na kuumiza watu.
- Mwugulu akili hana kabisa na hajawahi kuwa na jambo lolote LA maana, na imagine ndio Waziri was fedha. Sad
- Nchi sasa hivi imegeuka ya MICHONGO, UCHAWA na FITNA.
So sad.
Tusubirie tu Mdundo was taifa.