Kuendekeza "Undugulisation" kumeifanya serikali ya Awamu ya 6 imepwaya Mapema sana. Possibly, hali ikawa Mbaya zaidi.

Kuna nobility na kuna tarent acha ushamba na kulazmisha maisha sio kla mtu awe na tarent ata nobility inatosha
 
Nchi imelaaniwa na viongozi wake,hawaoni ata aibu, angalia mchujo wa wabunge wa EAC ni ushenzi mtupu.Yaani tiketi ya wewe kuwa kiongozi ni wazazi wako kuwa ndani ya CCM,watu wanaoheshimu chama kuliko nchi!!
Wamemchinjia Baharini hadi PASKAL... Wamebebana wenyewe na watoto. Nahisi yule waziri kutoka jimbo la kusini aliachiwa kadi ya chama kama URITHI na sio mali nyingine.
 
Aise mchen gwera Yuko smart sana jama yule alivyobadilishwa wizara ndio watumishi walilia Sana Ni mtu POA na anjuwa analolifnya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
kwa huyo nakuunga mkono alitaka kuibadilisha kabisa hiyo wizara naona wakubwa walishtuka wakamtoa.
 
Mletabuzi Samahani,mchengerwa Ni ndugu was nani?
 
Angalia
Angalia lilamba asali hili!.
 
Wivu tuu za Chadomo wazee wa kiki na wajane wa Sukuma gang otherwise Nchi inasonga kwa Kasi kila Kona..
 
Iv magufuli alipokuwa anasema nimesacrifice maisha yangu km kuna baya linikute alikuwa anamwambia nani?kuuliza sio ujinga
Alikuwa anamwambia MUNGU, akijifanya anaipenda TANZANIA kuliko MUNGU anavyoipenda
 
Kwa Mchengerwa nakupinga,ni mtendaji mzuri kwa maoni yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…