Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Usipojua historia basi tambua kuanzia Leo Ina tabia ya kujirudia.

Tunasoma, hadithiwa na kuambiwa maisha ya wanadamu waovu waliopita ili tusitende uovu huo kwa kizazi Cha Sasa na kijacho.

Mwovu haachi kunenwa na Walimwengj kama ilivyo kwa Watenda mema
Shetani
Firahuni
Mwanaharamu Mwendazake
Hitler
Jean Bedell Bokasa
Nduli Dada Amin
Mobutu
Genghis Khan
Ivan the Terrible
Japanese Emperors
Belgium King
Mtema Kuni

Na wengineo wenye daraja hilo
 
Siku ambayo Watanzania wataujuwa ukweli halisi ni nani alimpiga bastora Kwa mkono wake Ben Saanane na kumpoteza kwenye pipa la acid basi hawa mbwa wote wa shetani wa Kirundi wataomba Ardhi ipasuke.
 
Kwa hiyo unashauri somo la historia lifutwe mashuleni badala yake wafundishe unajimu
 
Kwani wewe UHURU JR unalazimishwa kuisoma hiyo barua ndefu? Shabaha ya kuendelea kuandika mabaya ya magufuli kwa miaka miwili ni kuwafahamisha Wajinga waliodanganywa na magufuli mwenyewe kuwa alikuwa "mzalendo". Kumbe likikuwa Jizi na muuaji wa wakosoaji
 
wanaomtaja makufuli vibaya wanaasili ya ushoga
Kwahiyo unaona umeandika Jambo la maana kabisa ambalo watasoma wenye akili timamu na kuelewa?

Hata wanaopinga Magufuli kusemwa vibaya wanakuona mpumbavu usiyekua na chembe ya hekima linapokuja swala la public speaking!

Kama kwa utambuliaho (ID) fake umeweza KUANDIKA hivi. Itakuaje pale unapozungumza mbele za watu! Tangu lini ushoga ukawa Ni asili badala ya kuwa ama urafiki kwa wanawake au tabia na mwenendo mbaya kwa wanaume?

Jaribu kujenga hoja ya kumkingia kifua Magufuli badala ya kujenga Mazingira ya yeye kuendelea kusemwa kwa matendo yake mabaya na sio kusemwa vibaya! Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya kusemwa vibaya na kusema matendo mabaya ya mtu ili watu wajifunze na wasiyarudie kabisa.
 
Kwa hiyo inashauri somo la historia lifutwe mashuleni badala yake wafundishe unajimu
Nadhani wanataka kutudharaulisha Kama Mwigulu anavyosema tusijadili kuhusu uchumi unao tuhusu sisi tujadili uganga wa kienyeji! Utadhani Magufuli alitawala watu wengine na sio sisi!
 
Huyo Magu aka Mwendazake tutaendelea kumtaja sana tu kwa kila baya ambalo amefanya Tanzania. Tunawaomba masalia yake mliobaki muendelee kuvumilia tu.
 
Kwani historia inasomwa kwa manufaa gani? Ukijua umuhimu wa historia nadhani utakuwa umeshapata jibu la swali lako.
Mnamlaani na kumwita shetani mara sijui kafa kwa corona mara sijui Mungu kaamua ugomvi, wengine huko wanafukua makaburi kwa kumsema kwa mafumbo sasa hapo kuna lipi la kujifunza?

Tungekuwa tunajadili yapi alikosea na wapi alipatia, wapi alitakiwa kufanya hivi na vile hapo kweli ningeona la kujifunza ila haipo hivyo mtu anakwambia et hayo mazuri eleza wewe na mie naeleza mabaya tu.
 
Ok wakishajua alikuwa mwizi na muuwaji halafu ndio nini? Kwa sababu kabla ya Magufuli walikuwepo majizi na miuwaji ila hakuna walichofanywa, sasa hao wajinga wakishajua kama mnavyojua nyinyi kwamba marehemu(hayupo tena) nae alikuwa mwizi na muuwaji kama wengine ndio tunafaidika nini kama taifa?

Tufanye mkafanikiwa kuwashawishi watu wote kuona kwamba Magufuli hakufanya zuri hata moja yote mabaya, baada ya hapo ndio mtakuwa mmefanya kipi cha maana au inakuwa mmemshinda marehemu?
 
Huyo Magu aka Mwendazake tutaendelea kumtaja sana tu kwa kila baya ambalo amefanya Tanzania. Tunawaomba masalia yake mliobaki muendelee kuvumilia tu.
Ni akili ya ajabu kudhani kwamba watanzania wote wamegawanyika makundi mawili tu kwamba kuna wanamsifia Magufuli na kuna wanaomchukia Magufuli.
 
Samahani nitakua nje ya Mada kidogo:

Mashaka yangu Ni kwenye umri wako na uwezo wako wa kujadili Mambo yanayohusu umma critically(kwa kuhoji na kujihoji)

Taifa lazima litafanikiwa kwa maana ya kwamba, kwa madhara aliyoacha negatively watu ambao wanatamani au watakaopewa dhamana ya uongozi katika taifa hili hawatarudia makosa hayo in the future na Tanzania pataendelea kuwa mahala salama pa kuishi.

Niliandika Jana Kama ulisoma vizuri . Magufuli hakuwahi kujitenga na matendo maovu yaliyofanyika chini ya utawala wake kwa mwamvuli wa UZALENDO!

Kama awamu zilizopita zilifanya maovu yalikemewa hivi hivi hadharani. Na Ni nafasi yako Sasa kubainisha kwamba wakati wa JKN, AHM, BEN na JK kulikua na uovu gani ulio-outshine mazuri ya serikali!

Two wrongs can never make it right! Kama yalifanyika makosa wakati wa nyuma sio tiketi ya kuendelea kufanya makosa ndio Samia Mwenyekiti wa Chama chako anafaya marekebisho ili Mambo hayo yasijiruddie!

Kama unasoma historia utaona Ni dhahiri kwamba historia inatusaidia kujua wapi tumetoka, tulipo na tunapotaka kwenda!

Ukweli Ni kwamba hatujasema hakufanya lolote jema Ila mema yake sio sababu ya kukataa kujitenga na uovu uliofanyika chini ya utawala wake na akakataa kutoka hadharani na kuukemea! Lugha magizo kutoka juu ilitamalaki Sana enzi zake!

Na kwa taarifa yako sio watanzania wote wataokukubali yule jamaa alikuwa mwovu kuliko mtawala yeyote aliyewahi kuitawala TANZANIA. Ikiwemo wewe hautakubali. Kwahiyo usiwe na hofu.

Wakati watu wanakazana kueleza maovu yake nadhani na wewe ungetumia nguvu kubwa kutangaza mema yake!

Kabla ya kuonesha mapenzi binafsi zingatia public interests halafu uweke mizania! Vinginevyo utaumia Sana na yeye alishakufa Ni mzoga hakusikii Wala haoni ukimtetea!
 
Tokea muanze kueleza mabaya ya Magufuli kwa muda wote huu wa karibu miaka miwili mnaona mnaelekea vizuri kwenye hiyo shabaha yenu? Tunaona viongozi ambao nao wanashiriki kueleza mabaya ya huyo Magufuli lakini wakati huo unaona nao wanalalamikiwa kwa viburi na kuweka mbele masilahi yao binafsi kuliko ya wananchi.

Kinachoendelea ni kuaminishana kuwa uovu Tanzania ulianza kwa Magufuli na kuishia kwa Magufuli.
 
Wataje kwa majina acha kuelea hewani bwana Mzee JF Ni GT forum!
 
Tatizo kwenye mada za kuhusu Magufuli sijui kwa nini huwa mnapenda kuwaweka watu kwenye makundi mawili tu kwamba kuna wenye kupenda kuona yanaelezwa mabaya tu ya Magufuli na wasiopenda kuona yanaelezwa mabaya ya Magufuli? Hii mada inahoji tunafaidikaje kwa kutumia muda mwingi kueleza mabaya ya Magufuli kuliko hata mabaya yanayotendeka sasa? Hivyo ni kujadiliana katika hilo ila kwa bahati mmetafsiri kama labda mnataka kuzuiliwa msieleze mabaya ya Magufuli.

Kama tutaendelea kutengeneza huu mvutano wa kwamba et wewe eleza mazuri kama yapo na mie nitaeleza mabaya tu basi sidhani kama tutafaidika na lolote kwenye hii mijadala, hii ni sawa na ushabiki wa Simba na Yanga.
 
Mbona shetani aliasi maelfu ya miaka nyuma na bado anatajwa hadi leo.

Kwanini mnataka wahuni wengine wasitajwe ?
 
Wanasiasa mnaomtaja taja Magufuli Kwa ubaya mnayohaja ya kujitafakari, kama mnaagenda zenu za Siri Sawa lakini eleweni kuwa haitasaidia Jambo LOLOTE lile.
Mkuu Robert Heriel kiufupi kwa sasa utawala uliopo unapambana kumfanya magufuli aonekane kuwa alikuwa kiongozi mbovu sana na hata hawa akina Lissu kurudi wamekuja special kwenye hii mission ya kuhakikisha kila mtanzania anapata ujumbe wa namna magufoòl alivyokuwa kiongozi was hovyo kabisa

Ila kiuhalisia magufuli alikuwa rais kituko toka nchi ipate Uhuru ni basi tu kuna idadi kubwa sana ya ng'ombe mtaani plus maiti zinazojongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…