Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Mimi siwezi kuwa chawa Mkuu.

Najua wapo ambao wanamakovu ya milele lakini lazima wasamehe kwani Mungu ndiye mjuzi WA yote, tena aliwasaidia kuwalipia kisasi.
Au walitakaje zaidi
Aliwasaidia kuwalipia kisasi kivipi? Mbona sometimes mnaongea vitu ambavyo havipo?
 
Anaandika, Robert Heriel

Sikuwa mshabiki wa Magufuli Kutokana na namna alivyokuwa anaongoza, sisemi Kuwa Magufuli hakuwa na mambo Mema aliyoyafanya, yapo mengi mazuri Sana hasa ya miundombinu, lakini pia yapo Mabaya ambayo aidha aliyafanya au kuyafumbia macho, ambayo ndio yalinifanya nimuone kama kiongozi asiyefaa.

Ninashangazwa na kile kinachoendelea hasa Kwa upande wa Upinzani kuendelea kumtaja taja MTU ambaye tayari anasiku nyingi ameshafariki.

Wabaya Waliohai wapo wengi, Kwa nini mhangaike na Watu waliokwisha Kufa wasio na chochote cha kuchangia katika Ulimwengu wa Waliohai? Wema Waliohai pia wapo wengi.

Hatuwezi kuongoza nchi Kwa kuangalia Wafu, na hatutataka nchi yetu iongozwe na watu wenye mawazo na Matendo ya Wafu.

Tunahitaji viongozi ambao wanaongoza nchi Kwa kuangalia Maisha ya kizazi kijacho kitaishije,
Nchi inaongozwa Kwa mahitaji yajayo sio mahitaji yaliyopita. Nchi inaongozwa Kwa maslahi ya Watu wa kesho sio Kwa maslahi ya Watu wa Jana na juzi waliokwisha Kufa.

Wanaoishi Wasiwe watumwa wa Wafu, Watu waliokwisha Kufa. Hivyo ndivyo taifa hili linapaswa kujengwa na kuongozwa. Kwa sababu tunaenda Mbele na sio Nyuma.

Sijui Fulani alikuwa Nani akasema nini, hiyo haina maana yoyote Kwa wakati au kizazi kijacho, kitakachoangaliwa ni manufaa ya kizazi kijacho.

Hata Mungu tunayemuabudu ni MUNGU aliyehai na Mungu wa Waliohai sio Mungu wa Wafu.

Wanasiasa mnaomtaja taja Magufuli Kwa ubaya mnayohaja ya kujitafakari, kama mnaagenda zenu za Siri Sawa lakini eleweni kuwa haitasaidia Jambo LOLOTE lile.

Acha nipumzike SASA.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Makanya, Same, Kilimanjaro.

Si Lisu huyo,anaona ndiyo sera ya chama chake.
 
Kwahiyo umekubali hoja ya mleta mada kwamba mmeng'ang'ania kueleza maovu ya mtu aliyekufa kwa sababu ya hisia zenu tu ila hakuna faida kuzungumzia maovu ya mtu aliyekufa hayupo tena na kuacha kuzungumzia waovu waliyo hai ambao bado wanaendelea kutenda maovu?

Awazaungumzie hao wabaya walioko hai kimpango wake, kama vipi na ww msaidie kwenye hilo. Sisi tuko na dhalimu magu.
 
Siasa ni kugusa hisia. Ukiwa huna hoja na unatumika lazima ubaki kwenye kucheza na hisia za watu. Tanzania haina upinzani,ina wasanii tu wanaocheza ngoma ya chama tawala. Kwa kumsema sana Hayati Rais Magufuli ambaye hakuwa mtakatifu kama ambavyo watawala wote sio,yupo ambaye wanamkwepesha na mijadala na hawamsemi sana. Fungua macho ujue wanavyotumika. Halafu tulia,ucheke.
Jina lako ni Kainerugaba, wewe na huyo shetani mwendakuzimu wote ni Warundi, no wonder.
 
Sasa mbona kila siku tunasikia yaleyale tu ya Lissu mara Mo mara maiti kwenye viroba? Wasemaji ni wengi ila yanayosema ndio hayo hayo tu.
Wapo waliyoguswa na Magufuli katika mambo ambayo hawezi kuyasema ila unakuta hasira zake anaishia kueleza habari za kupigwa risasi Lissu tu.

Well, huwezi kumpangia mwenye maumivu namna ya kulalamika. Kama inakukera, then fuatilia yanayokuhusu.
 
Ila kumtaja Idd Amin kwa mabaya au Hitler?
Ni Bora tusimtaje Idd Amin kwa sababu aliua Waganda ambao sio ndugu zetu au Hitler ambaye auliua Wazungu ambao sio ndugu zetu! Sasa huyu Jiwe kaua ndugu zetu na kutulazimisha tuimbe Mapambio ya kumsifu yeye tu, akamkufurisha Kangi Lugola na na Kalamagamba wakawa wanamuita mungu! Tusipomsema huyo Nduli Jiwe, Mungu YAHWEH atatuhukumu kuwa Watanzania Wote tumekubaliana kuwa Sisi ni Malaika wa Jiwe kama yeye Mwenyewe alivyodai kuwa atakuwa malaika mkuu.
 
Sasa Kwa taarifa yako kama unapenda Magufuli asisemwe kama kimya, ukianzisha thread ya Magufuli unatutowa pangoni ambao hata hatukuwa na mpango wa kucomment humu leo zaidi ya kusoma tu.

Uelewa wako unapoishia wengine ndio unapoanzia hapo, kwahiyo kuwa makini usicheze na hisia za watu kwenye vitu sensitive kama vya huyu muuwaji.
[emoji28]..... unajipa umuhimu ambao hauna!
 
Anaandika, Robert Heriel

Sikuwa mshabiki wa Magufuli Kutokana na namna alivyokuwa anaongoza, sisemi Kuwa Magufuli hakuwa na mambo Mema aliyoyafanya, yapo mengi mazuri Sana hasa ya miundombinu, lakini pia yapo Mabaya ambayo aidha aliyafanya au kuyafumbia macho, ambayo ndio yalinifanya nimuone kama kiongozi asiyefaa.

Ninashangazwa na kile kinachoendelea hasa Kwa upande wa Upinzani kuendelea kumtaja taja MTU ambaye tayari anasiku nyingi ameshafariki.

Wabaya Waliohai wapo wengi, Kwa nini mhangaike na Watu waliokwisha Kufa wasio na chochote cha kuchangia katika Ulimwengu wa Waliohai? Wema Waliohai pia wapo wengi.

Hatuwezi kuongoza nchi Kwa kuangalia Wafu, na hatutataka nchi yetu iongozwe na watu wenye mawazo na Matendo ya Wafu.

Tunahitaji viongozi ambao wanaongoza nchi Kwa kuangalia Maisha ya kizazi kijacho kitaishije,
Nchi inaongozwa Kwa mahitaji yajayo sio mahitaji yaliyopita. Nchi inaongozwa Kwa maslahi ya Watu wa kesho sio Kwa maslahi ya Watu wa Jana na juzi waliokwisha Kufa.

Wanaoishi Wasiwe watumwa wa Wafu, Watu waliokwisha Kufa. Hivyo ndivyo taifa hili linapaswa kujengwa na kuongozwa. Kwa sababu tunaenda Mbele na sio Nyuma.

Sijui Fulani alikuwa Nani akasema nini, hiyo haina maana yoyote Kwa wakati au kizazi kijacho, kitakachoangaliwa ni manufaa ya kizazi kijacho.

Hata Mungu tunayemuabudu ni MUNGU aliyehai na Mungu wa Waliohai sio Mungu wa Wafu.

Wanasiasa mnaomtaja taja Magufuli Kwa ubaya mnayohaja ya kujitafakari, kama mnaagenda zenu za Siri Sawa lakini eleweni kuwa haitasaidia Jambo LOLOTE lile.

Acha nipumzike SASA.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Makanya, Same, Kilimanjaro.
we siku hizi umepotoka. Utaachaje kumtaja rais aliyepita wakati yanaibuka mambo mbalimbali ailoyaboronga kipindi cha uongozi wake? Km ni hivyo kwanini tusome historia? Wengi tunaosoma habari zao ktk historia iwe nzuri au mbaya wameshakufa siku nyingi. Hatuwezi kuacha kumjadili Magufuli kwasababu ya wadhifa alokuwa nao siye yeye km Magufuli. Inatakiwa atokee mtu aandike kitabu kumhusu Magu itakuwa ndiyo sehemu ya shule.
 
Yule mzee alikuwa Muuaji na halitapingika hilo,,, shetani kabisa Yule tutamlaani kila siku na kuanika mabaya yake hadi vizazi vijavyo vijue kweli tuliwahi kuwa na Shetani Ikulu
Niko tayari kuchangia gharama za kitabu Kwa muandishi ambaye yuko tayari kuandika kitabu cha Dikteta uchwara Magufuli.

Ni jambo la muhimu sana kuandika kitabu na kutunza hii kumbukumbu muhimu Kwa Taifa.

Na lilivyokuwa linawaza kutesa watu tu muda wote halikujuwa lilipaswa kuandika kitabu chake yeye mwenyewe, Sasa sisi ndio tutaandika kitabu chake, kuna watu wana hoja za kipumbavu eti ana mema yake kwani ni nani aliyewaambia Hitler na Idd Amin hawakuwa na mema?

Kwa washamba wa miundombinu waende South Africa waone jinsi Makaburu walivyoijenga South Africa mpaka inazizidi nchi nyingine za ulaya, Kwa nini hawajiulizi mbona bado watu wamekataa utawala huo mzuri wa makaburu?
 
MTU akiamua kuwa mwenye Haki na awe mwenye HAKI.
MTU akiamua kuwa Mbaya na awe Mbaya.

Huyo Magufuli anayomabaya mazito aliyoyafanya, lakini pia anayomema makubwa aliyoyafanya, hapo ndipo MTU atakayekumzungumzia MTU huyo ambaye ni Mfu utagundua anahaki endapo atataka mabaya yake na mazuri yake pia. Lakini kutaja mazuri bila kutaja mabaya yake au kutaja mabaya yake bila kutaja mazuri yake huyo MTU atakuwa kundi la Watu waovu

Hii siyo mizani ya mazuri na mabaya kwamba lazima yawe balanced.
 
Jamaa amekufa Ila bado ana nguvu😁😁 wacha wamtaje tuu hakuna namna
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom