Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Acha watu waongee , tunaongelea Nyerere ambaye hayupo tena kila siku lakini hujawahi kusema chochote, tofauti yao nini au unataka tusifie tuu, wewe kila siku unaandika na hatukuiti umechanganyikiwa, acha hayo mambo yako
 
Ukiwa na maana wasiwe viongozi aina kama ya Magufuli Kwamba hapo unakusudia wanasiasa? Kwa sababu hapa Magufuli anazungumziwa kama kiongozi ila shetani anawishi uovu kila mtu hadi sie tusio viongozi.
Kikubwa mwanadamu yoyote hupaswi kuwa mwovu na usijiinue sana hadi kujifananisha na malaika na kujiuona hukosei, Magufuli alipitiliza kujiona yeye ni yeye na hakuna kama yeye.
 
wanaoweza kukuelewa ni wachahe kwa andiko zuri la weledi kama hili! Fikiria mke wa Ben anajisikije , wazazi wa Ben, and many many others who their loved ones disappeared during Magufuli's era!
 
Uovu gani aliufanya magufuli kushinda viongozi waliotangulia?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shetani Hadi kesho anatajwa, se mbuse jombii.
 
Sawa, pesa za Plea bargain ziko wapi?
 

Attachments

  • IMG-20230208-WA0035.jpg
    39.1 KB · Views: 1
Kikubwa mwanadamu yoyote hupaswi kuwa mwovu na usijiinue sana hadi kujifananisha na malaika na kujiuona hukosei, Magufuli alipitiliza kujiona yeye ni yeye na hakuna kama yeye.

Yule mzee alilewa madaraka sana!
 
Anayetaka udhalimu wa Magufuli usisemwe anataka kufunika uvundo ili na wengine nao wakifanya uvundo utataka tuwafichie aibu ya uvundo wao pindi wakifa. Hatuwezi kujenga nchi ya kulindalinda uovu
 
We gasho kweli!

Vipi familia ya Mwangosi yenyewe inajisikiaje?

Vipi familia za wale watu 5 waliouwa na bomu la mkono kule kwenye mkutano wa machadema kule soweto arusha wao wanajisikia raha sana ee?

Vipi familia ya Ulimboka wanajisikia raha sana maana walitawaliwa na mwanademcrasia eti?

Kichwa hicho kiwe na ubongo siyo mavi
 
Hili linasababishwa na maumivu au majeraha ya ndani na kushindwa kusamehe na kuachilia kabisa, kumbuka unayemtaja kwa mabaya hakusikii, wewe ndio unaendelea kuteseka kwa sabb ya kumbeba mtu Moyoni mwako. Jifunze tu kusamehe ili maisha mengine yaendelee
 
Ukitoka pangoni ukisema alafu inakua nn?? Wewe ni mjinga mkubwa
Matola na tindo wao hata waume zao wakishindwa kusimamaisha ili wawapande humsingizia Magufuli!

Tindo yeye stress anadai kwamba Magu alimfanyia ukatili mkubwa.
 
Reactions: nao
Huwezi kumtenganisha mtu na matendo yake.
Kuna manabii wa Mungu walishafariki maelfu ya miaka nyuma, lakini bado wanatajwa na matendo yao, mazuri na mabaya
Ndio nimekwambia hata Nyerere huwa anatajwa sana ila sio kwa aina ile aliyomzungumzia Tundu Lissu bungeni ikazua maneno, sasa huwezi kumtenganisha mtu na matendo yake basi tungekuwa tunamzungumzia Nyerere hadi leo kwa mabaya yake kama alivyoyaelezea Lissu lakini mbona haipo hivyo?
 
Kwa Nyerere, mazuri yake ni mengi kuliko mabaya..
Kwa jiwe ni kinyume chake!
 
Awazaungumzie hao wabaya walioko hai kimpango wake, kama vipi na ww msaidie kwenye hilo. Sisi tuko na dhalimu magu.
Usipanic hapa tunajadiliana kwa hoja tu wala usifikiri kuna mtu atakulazimisha kitu, mwisho wa siku ni uamuzi wako hata ukiamua utembee uchi barabarani na kusema ni kwa sababu ya kumlaani Magufuli hiyo ni wewe ila sie tutasema umechanganyikiwa kwa sababu hoja yako ya kukufanya utembee uchi ya kipuuzi.
 
Reactions: nao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…