Watanzania wameshuhudia matamshi ya aliekuwa mtendaji mkuu wa chama wa zamani na msomi Dr Silaa akilalamika hadharani kuwa CHADEMA aliyotegemea ni tofauti na uhalisia kwa maana imepoteza mfano na uwepo wa UTOTO mwingi sana ndani ya CHAMA.
Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?
Je, Watanzania wenzangu chanzo halisi cha hiki chama ambacho kiliazima mgombea urais toka chama tawala mwaka 2015 na kutikisa kuonekana kuwa KINASINYAA kila UCHAO?