Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Nafaham kiapo cha raisi nipamoja nakulinda mapinduzi ya Zanzibar, lakini sio kulinda kwa kumwaga damu zawatu wanaohitaji haki itendeke, kiukweli nashindwa kuelewa wenye madaraka kwa nini wasiongoze kwa haki tu?.
Na wanachokitafuta, watakipata tu kwa sababu Wapemba nahawafahamu... wale jamaa hawaogopi mtu, na hawatetereki misimamo yao! Na hata wafanye nini, CCM wataendelea tu kukataliwa Pemba kwa sababu huu ni urithi... walianza kukataliwa babu zao wa TANU & ASP, na sasa wataendelea kukataliwa wao!
 
Mungu wangu Mbinguni awape busara viongozi wetu hawa! Jahazi likizama tutazama wotez tuna watoto, walemavu, wagonjwa na Wazee, itakuaje? Ccm tumieni akili kidogo basi
 
Tangu lini ccm wanajali kumwagika kwa damu za watanzania, kama huyu kiongozi wao wa sasa ndio hana utu kabisaaaaa.

Bora Mkapa alikuja kutubu uzeeni baada ya akili za ubinadamu kuanza kumrudi.
 
Nakubaliana na Wapemba ,Tarehe 11 wakinukishe mazima.
 

Ha ha ha ha takataka kutoka CCM
 
Hopelessly agitated, unajitikisa kwa vitu vyakupita. Wapemba utafikiri watabadili maisha ya kwa uchaguzi. Kwa maslahi ya taifa watagongwa na watazikwa kwa grader.
Taifa kwanza .

Hiyo ni furaha kwako mwenye roho mbaya iliyojaa laana!Mwenye roho iliyojaa umauti.

Nenda kafurahie na ndugu zako kwa kuwa wapemba watakufa tarehe 11/09/2020
 
Usipende kutumia wingi Mambo uliyopost pekeako... Sema uko tayar kufa
 
Hopelessly agitated, unajitikisa kwa vitu vyakupita. Wapemba utafikiri watabadili maisha ya kwa uchaguzi. Kwa maslahi ya taifa watagongwa na watazikwa kwa grader.
Taifa kwanza .
Wewe utaishi milele ?

Pumbavuuuu
 
Reactions: BAK
Hopelessly agitated, unajitikisa kwa vitu vyakupita. Wapemba utafikiri watabadili maisha ya kwa uchaguzi. Kwa maslahi ya taifa watagongwa na watazikwa kwa grader.
Taifa kwanza .
Sasa suala la taifa kwanza linatoka wapi hapo?! Kuna uhusiano gani na issue ya taifa kwanza na kuwalazimisha wananchi kuongozwa na viongozi wasiowataka?!

Watu aina yenu ndo wale mnaojidhani mko salama kwa sababu tu mnakesha mkiimba mapambio ya madhalimu yaliyopo madarakani! Kwa kukumbusha tu, dhalimu mwingine ambae alijiona ni rais namba 2 anayeitwa Daud Albert Bashite, leo hii amezuiwa huko Dodoma kwenda kukaa kwenye majukwaa aliyodhani anastahili.

Sasa endelea kushadadia upumbavu na udhalimu wa serikali kwa kudhani upo salama lakini wewe ni toilet paper tu ya kuimba nyimbo za madhalimu na ambapo, ukishatumika tu unageuka kuwa useless na kutupwa kwenye dustbin!

Na itoshe tu kusema kwamba, heri yao watakaokufa wakipambana dhidi ya udhalimu kuliko wanafiki aina yako watakaokufa huku wakiwa watetezi wa madhalimu!

Shame on y'all!
 
Huu ndio msimamo wa Maalim Seif juu ya kuenguliwa wagombea wa ACT Wazalendo - YouTube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…