Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Pumbavu sana huyo jamaa, anadhani akiimba mapambio ya wadhalimu ndo basi tena yupo salama... very stupid!
Sijui kwanini mataga wengi ni short sighted au ndio madhara ya elimu inayotolewa na serikali ya ccm kama alivyosema Rais Lissu.
 
Huko lazima kinuke ila kwa hofu, wanaweza kurudisha walioenguliwa.

Safari hii itakuwa ni zaidi ya yaliyotokea 2001.

Kinachokera ni hawa watu kufanya uhuni na hujuma za wazi kabisa alafu bado wanawaletea watu Kejeli,dharau na kiburi kisa tu ulevi unaotakana na madaraka na kujisahau.

Chochote kitachotokea Zanzibar kitakuwa na athari kisiasa na huku Bara maana foul zinazofanywa huko ni sawa na yanayoendelea huku Bara.

Ngoja tuone jueri yao itaishia wapi.
Wtz wa bara ni mapoyoyo especially Dsm,mnachowaza nyinyi ni simba na yanga,ujinga wa shilole na bongo move mbadilike
 
Huu ndio msimamo wa Maalim Seif juu ya kuenguliwa wagombea wa ACT Wazalendo - YouTube

Maalimu Seif anamalizia: "... Sasa imetosha, liwalo na liwe. Wito wangu, wananchi kuweni tayari wakati wowote"!

Kwa kauli hiyo, Magu anachokitafuta atakipata tu manake hapo Wapemba na Wazanzibar kwa ujumla wanachosubiri ni "Go ahead" tu!
 
Wahuni hawa amani ipi wanayoisisitiza wakati wao ndiyo chanzo cha kuharibu amani kwa kufanya mambo kinyume na taratibu husika?

Kipindi Serikali inasisitiza amani, naomba ikumbuke kusisitiza pia haki, halikadhalika jeshi la polisi na tume ya uchaguzi, mnasisitiza amani itawale katika nchi yetu lakini mnasahau kusisitiza pia haki itawale, haya yanayoenda kutokea pemba kiukweli Mwenyezimungu atuepushe viongozi mliopewa dhamana ya kutuongoza mkumbuke wajibu wenu nikutenda haki, kisha amani itatamalaki yenyewe bila hata kuisisitiza.

Angalia video ,ndipo tulipofika huku.


View attachment 1552499
 
Wanawachokoza wamarekani September 11 ni siku ya magaidi duniani ambayo huitumia kufanya ugaidi na ndio siku Twin tower Marekani ziliangushwa na magaidi ambapi mmoja wa magaidi anayeshikiliwa Marekani ni mpemba aliyelipua ubalozi wa Marekani Tanzania

Hilo tangazo la Sept 11 limeiweka ACT wazalendo pabaya kwenye Rada za kimataifa kuwa Ni chama Cha kigaidi tayari

Tarehe hiyo huyo kijana hajatamka kwa bahati mbaya Ni mmoja wa magaidi aliyetoroka kipindi Cha operation ya kupambana na ugaidi kule mkurabga,Kibiti na Rufiji pia alionekana Msumbiji huyo ambako katokea kule karibuni.Vyombo vya dola kamateni huyo ni kamanda kule Msumbiji anayesumbua serikali ya kule
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.
Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Huyu ni moja tu tena Maneno ya majukwaani tu, kuna asiye penda Maisha?
Wapemba wenyewe wapo Bara na Biashara zao , halafu wewe unataka watoke kwenye Muungano??? Usiwachuuze wenzio
 
Wanawachokoza wamarekani September 11 ni siku ya magaidi duniani ambayo huitumia kufanya ugaidi na ndio siku Twin tower Marekani ziliangushwa na magaidi ambapi mmoja wa magaidi anayeshikiliwa Marekani ni mpemba aliyelipua ubalozi wa Marekani Tanzania

Hilo tangazo la Sept 11 limeiweka ACT wazalendo pabaya kwenye Rada za kimataifa kuwa Ni chama Cha kigaidi tayari

Tarehe hiyo huyo kijana hajatamka kwa bahati mbaya Ni mmoja wa magaidi aliyetoroka kipindi Cha operation ya kupambana na ugaidi kule mkurabga,Kibiti na Rufiji pia alionekana Msumbiji huyo ambako katokea kule karibuni.Vyombo vya dola kamateni huyo ni kamanda kule Msumbiji anayesumbua serikali ya kule
Sema mkuranga kwao Hussein mwinyi halafu mwamleta Zanzibar apewe uraisi
 
Huyu ni moja tu tena Maneno ya majukwaani tu, kuna asiye penda Maisha?
Wapemba wenyewe wapo Bara na Biashara zao , halafu wewe unataka watoke kwenye Muungano??? Usiwachuuze wenzio
Wapemba duniani kote wako wapemba wako London tena wana mtaa hasa na wapemba kwa kutafuta maisha njee ya Tanzania wako wengi na wapemba walioko ulaya hauzi karanga wala maji ya kandoro
 
Hussein Mwinyi anadidai hataki ushindi wa dhulma. Lakini namshauri tu kuwa baba yake ataondoka duniani kwa kihoro cha Wapemba!
 
Mashujaa wa nyuma ya keyboard
Wewe unajivunia SMG iliyonunuliwa kwa Kodi za haohao unaowadhihaki,unajivunia magwanda,mabuti na mkanda ulionunuliwa na Kodi za hao unaowadhihaki,hata hayo mafunzo uliyonayo Ni Kodi zao,mshahara unaolipwa Ni Kodi zao.
Inawezekana Ni wewe peke yako kwenye ukoo wenu tu ndio una ajira ya Jeshi.
Waonee huruma ndugu zako ambao hawana neema uliyonayo.Acha ubinafsi.
Hawa unaowadharau wanaweza wakakuweka bize wewe na ukasahau na IST yako.
Wakianza kuandamana kudai Hali yao,itabidi wewe uache starehe zako zote za Sasa hivi uende na SMG yako kuwaua.
Unajua kitakachofuata.?
Najua kwa chuki uliyonayo juu Yao utawaua makumi kwa mamia,baada ya hapo unajua kitakachofuata?
Kama umeenda kulinda amani nchi nyingine,unafikiri watumishi Kama wewe kutoka mataifa mengine hawata kuja kulinda amani hapa kwetu?
Nakusihi Sana wa poti wangu usisgemee upande wa dhuruma.
Ulipaswa kukerwa na dhuruma wanazofanyiwa Hawa unawaowadhihaki.
Usiwe mtumwa wa wadhalimu.kumbuka kuna maisha nje ya kazi unyojivunia.
Wewe kwa Raha ulizonazo Leo hiihujafikia hata 1/100 ya Raha alizokua nazo Mkapa.
Mkapa alikuja kujuta juu ya aliyowafanyia hao wapemba na wapinzani kwa ujumla.
Kitabu alichoandika Ni kutubu dhambi zake,Hadi akatamani wapinzani wawe wanashirikishwa kwenye kuhesabu kura.
Sasa Kama Mkapa mtua ambae alikua analindwa na walinzi kila engo anajutia matendo yake,vipi wewe mlinzi usie na hata mlinzi japo nje ya mlango wa nyumbani kwako?
Hiyo kazi uliyonayo isikuondolee utu na kudhani watu wasio na kazi Kama yako hawana Haki ya kuishi kwa sababu tu wamechangia kununua SMG ya serikali kwa Kodi zao ambayo wewe umekabidhiwa ili kuwalinda na leo badala ya kuwalinda unawadhihaki.
Hubiri Hali ndugu,kwa sababu Haki italeta amani,na amani it kufanya wewe uifurahie kazi yako.
 
CCM tukitaka kutumia ukabila mnalalamika na kututaka tuache ukabila lakini kwenu upemba ruksa.Eti Wapemba watakiwa kuandikwa wosia.Mnachekesha
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.
Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Hata wao wamechokwa
 
Back
Top Bottom