Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Hayati Mkapa alijuta mpaka siku anaondoka duniani kumwagika kwa damu ya wazanzibar mwaka 2001. Alijitahidi sana kadri ya ushawishi wake kuwaasa viongozi waliokuja baadae waiangalie Zanzibar kwa jicho la umakini maana uonevu kwa wale watu unaweza pelekea hata hao watu kuukataa muungano wenyewe, ikifikia hatua ya wao kuukataa muungano hata upeleke majeshi milioni utaishia kumwaga damu zaidi tu lakini kamwe hutopata ridhaa yao!.
Kama kuna watu wenye akili na wanatafakari waufanyie kazi ushauri ule wa Mkapa la sivyo nao wataburuzwa ICC kwa umwagaji wa damu za wananchi!
Lawama na laani zote ni juu ya JIWE, mpuuzi sana huyu.
 
Tuliza wenge mtadhibitiwa ipasavyo!
Daah ndugu yangu,hivi kweli anaweza kuandika kauli hi kweli?
Hivi Hawa watu wanacholalamikia Ni Cha kweli au Cha uongo?
Kwa hiyo wewe ndugu yangu umeridhika kabisa na wanachofanyiwa?
Je mmewafanyia hivyo kwa makusudi kwa kuwa mnajua mtawadhibiti?
Mkuu sio Siri Nilikua naheshimu sana michango yako humu jukwaani leo umenikatisha tamaa kabisa.
Mh Kikwete alifanya juhudi miaka sita kusuluhisha migogoro wa kisiasa Zanzibar hata muafaka ukafikiwa.Huo aliouonesha Kikwete ndio uzalendo wenyewe,sio kutishia kiwadhibiti.Unakwama wapi wewe?
kumbukA hata CCM ikitoka mishahara mtalipwa tu.
kumbukA anayewapenda mishahara sio CCM Ni Kodi za Watanzania na wapemba wakiwemo.
 
Maneno huumba,tafsri ya chama cha mapinduzi si nzuri kwa ustawi wa taifa letu,time is telling us!
 
Huo ndio upumbavu wa ndugu zetu wa Pemba unakubali kutoa uhai wako kwa sababu ya kumfurahisha Maalim Seif mtu ambaye anatamani kukaa ikulu kwa gharama yoyote safari hii Maalim achukue jambia alafu atangulie mstari wa mbele
 
Huo ndio upumbavu wa ndugu zetu wa Pemba unakubali kutoa uhai wako kwa sababu ya kumfurahisha Maalim Seif mtu ambaye anatamani kukaa ikulu kwa gharama yoyote safari hii Maalim achukue jambia alafu atangulie mstari wa mbele
Tume na vyombo vya dola viko tayari kudhulumu haki za watu I'll kumfurahisha mungu mtu
 
Na wanachokitafuta, watakipata tu kwa sababu Wapemba nahawafahamu... wale jamaa hawaogopi mtu, na hawatetereki misimamo yao! Na hata wafanye nini, CCM wataendelea tu kukataliwa Pemba kwa sababu huu ni urithi... walianza kukataliwa babu zao wa TANU & ASP, na sasa wataendelea kukataliwa wao!
Wanaolitafuta ni hao wapemba na ndio watakao yapata wanayoyatafuta
 
Tangu lini ccm wanajali kumwagika kwa damu za watanzania, kama huyu kiongozi wao wa sasa ndio hana utu kabisaaaaa.

Bora Mkapa alikuja kutubu uzeeni baada ya akili za ubinadamu kuanza kumrudi.
Usitupie lawama CCM, walioapa kumwaga damu ni wapemba tena wafuasi wa ACT
 
Wanaolitafuta ni hao wapemba na ndio watakao yapata wanayoyatafuta
Pale Misukule ya Lumumba inapodhani yenyewe ipo salama kwa kwa vile tu inaimba mapambio!

Narudia, nyie ni toilet papers ambao mkishatumika kufutia vinyesi vya madhalimu mnaowatetea kinachofuata ni kutupwa kwenye dustbin coz you're not one of them!!

Ikiwa Bashite tu leo kakaziwa, mtakuja kuwa nyie Misukule!!
 
democrazy.jpg
 
Tuliza wenge mtadhibitiwa ipasavyo!
Nakwambia hivi ninachokuona hawo mnaomtaka nyinyi wapite mnawatafutiq matatizo wakati wewe uko tanganyika.

Pemba naijua vizuri.

2010 ilikuja kama hivi wakati wakuandikisha daftari lá wapiga kura ccm walikuwa wanawanyima upinzani kujiandikisha. Sikuyapili kilichotokea waulize BBC ndio walitangaza. Mliachia bila ya kutaka.

Pelekeni jeshi Pemba hawaogopi lolote na wakiamua ndio utajua.
 
Viongozi watumie akili kuliko miguvu!! Kama hawana majibu ya akili basi hawana haki ya kuitwa viongozi
 
Na wanachokitafuta, watakipata tu kwa sababu Wapemba nahawafahamu... wale jamaa hawaogopi mtu, na hawatetereki misimamo yao! Na hata wafanye nini, CCM wataendelea tu kukataliwa Pemba kwa sababu huu ni urithi... walianza kukataliwa babu zao wa TANU & ASP, na sasa wataendelea kukataliwa wao!
2010 ccm walianza uhuni kuwanyima wapinzani kutokuandikishwa kilichofanyika ilitafutwa nyuki mizinga mitatu iliyoshiba na upupu mwingi na kuwekwa shuleni sikuyapili alipokuja Hali sishuwari. Zoezi lilisimamishwa. Zanzibar mzima.
 
Hopelessly agitated, unajitikisa kwa vitu vyakupita. Wapemba utafikiri watabadili maisha ya kwa uchaguzi. Kwa maslahi ya taifa watagongwa na watazikwa kwa grader.
Taifa kwanza .
OK lakini ujinga wenu hatuutaki hatakidogo. Kwani wapemba wanahabar na ujinga wenu.
 
CCM tukitaka kutumia ukabila mnalalamika na kututaka tuache ukabila lakini kwenu upemba ruksa.Eti Wapemba watakiwa kuandikwa wosia.Mnachekesha
Pemba iyangalie tu kama huijui.
 
Huo ndio upumbavu wa ndugu zetu wa Pemba unakubali kutoa uhai wako kwa sababu ya kumfurahisha Maalim Seif mtu ambaye anatamani kukaa ikulu kwa gharama yoyote safari hii Maalim achukue jambia alafu atangulie mstari wa mbele
Anachokifanya magufuli nini?

Hebu wacha ujinga wako usitufokee.
 
Kinachofanywa pemba na maeneo mengine ni uhuni lakini wapemba sio wajinga kwani walijifunza mwaka 95 walipopoteza ndugu zao, kupata vilema na kukaa ukimbizini mwishowe malipo yao yakawa muafaka na watu kupewa mafao yao kwa kifupi walitumika
 
Back
Top Bottom