Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Wacha wazibe masikio, Pemba wakiliamsha wakajifanya kupeleka askari huko na huku bara linaamshwa sijui itakuwaje?
 
Huo ndio upumbavu wa ndugu zetu wa Pemba unakubali kutoa uhai wako kwa sababu ya kumfurahisha Maalim Seif mtu ambaye anatamani kukaa ikulu kwa gharama yoyote safari hii Maalim achukue jambia alafu atangulie mstari wa mbele
Nahuo ndio upuuzi wa tume, kutaka kutoa roho za watu kwa kumfurahisha Pombe.
 
Tuliza wenge mtadhibitiwa ipasavyo!


Huijui historia ya Zanzibar , na jiografia ya Zanzibar. Sisi tulioyakuta mapinduzi tuliona na tulidhibitiwa lakini huyo aliyekuwa akidhibiti na yeye mwisho kadhibitiwa pamoja na genge lake, na wamekuwa historia .

Sisi tuliodhibitiwa alhamdulillahi tupo tunasubiri kudhibitiwa tena
 
Wapemba duniani kote wako wapemba wako London tena wana mtaa hasa na wapemba kwa kutafuta maisha njee ya Tanzania wako wengi na wapemba walioko ulaya hauzi karanga wala maji ya kandoro
Wengi waliokooo hiyo ulaya au London yako walienda lini??? Baada ya ule uchaguzi na kukimbilia mombasa na enzi hizo wa Tz UK walikuwa wana ruhusiwa kuingia UK kwa kupewa visa hapo uwanja wa Ndege ndani ya UK, na baada ya hapo ndio waliotuharibia maana sasa visa unachukulia Bongo. Hivyo usitake kudanganya watu.
Na wengi kazi zao tunazifahamu iwe wanaume/ wanawake.
Hivyo usitake kuonyesha wewe wajua saana au wa mbele saana. Kuhusu kwenda huku na kule .
Lakini hii ya hapa Bara kweli mwafanya vizuri hata ya UK kwani Mungu akikufungulia Mlango ni vizuri ukautumia vizuri.
 
Zanzibar inatakiwa kumezwa kufanywa mkoa.
Wasimamizi wa uchaguzi walipelekwa kutoka bara wote wakristo.
Hawana ndugu kule. Wanajua Wapemba hawakubali ujinga hivo wanafanya ili wapate mwanya kufanya ukatili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allahuakbarrr!!!!
Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye kesho yetu. Sisi sote tu maiti!!
 
Inaonekana ulizaliwa kipindi cha Kikwete. Kama ungezaliwa nyuma ya hapo ungewajua Wapemba vizuri.
baada ya kile kichapo serikali na wapemba walikubaliana kutofanyana vile tena.

kama kuna moemba alikuwepo miaka ile hawezi shiriki ujinga tena, labda waliozaliwa baada ya hapo.
 
wapemba nawaaminia walikinukisha 2001 wakapata serikali ya mseto mwaka huu wakikinukisha vizuri watapata uhuru wa nchi yao.
Kama hayo uliyoandika ndo yanawasukuma kumwaga damu basi andika sifuri
 
Wapemba wako safi sana pamoja na uchache wao, siyo kama watanganyika na koloni lake la unguja.
 
Kumekucha
Kipindi Serikali inasisitiza amani, naomba ikumbuke kusisitiza pia haki, halikadhalika jeshi la polisi na tume ya uchaguzi, mnasisitiza amani itawale katika nchi yetu lakini mnasahau kusisitiza pia haki itawale, haya yanayoenda kutokea pemba kiukweli Mwenyezimungu atuepushe viongozi mliopewa dhamana ya kutuongoza mkumbuke wajibu wenu nikutenda haki, kisha amani itatamalaki yenyewe bila hata kuisisitiza.

Angalia video ,ndipo tulipofika huku.


View attachment 1552499
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Kumekucha, Robert Amsterdam
 
Sasa huyu babu anasema ntume akishasema basi jeshi linakuwa tayari tayari ,,
Ntume wao ni nani ?
ZITO
MAALIIM SEIF
AU HUYU babu anaeongea ndio ntume
Wapemba akili zao bhana wanapenda kuchanganya DINI na SIASA
 
Hopelessly agitated, unajitikisa kwa vitu vyakupita. Wapemba utafikiri watabadili maisha ya kwa uchaguzi. Kwa maslahi ya taifa watagongwa na watazikwa kwa grader.
Taifa kwanza .
Lakini tambua hata askari polisi nao watazikwa sio raia peke yao. Hio 2001 kuna askari walitenganishwa kichwa na kiwiwili kama umezaliwa juzi ulizia historia.
Na huo huo mwaka 2001 kuna kundi la askkari likizingirwa na vijana tayari kwa ajili ya kuchinjwa ni huruma tu za wazee wakawanasihi vijana wawaache. Mkuu kama huamini naomba ufuatilie hizi habari kwa kadri utakavyoweza, 2001 hali ilikuwa hivyo usitegemee miaka hii kutakuwa na msalie mtume.
 
Wapemba duniani kote wako wapemba wako London tena wana mtaa hasa na wapemba kwa kutafuta maisha njee ya Tanzania wako wengi na wapemba walioko ulaya hauzi karanga wala maji ya kandoro
Hao wapemba wengi walioko ulaya wa Ardhi, na mashamba Kama walioko bara!? Hakuna watu wa visiwani wapumbavu Duniani.. hakuna moemba mjinga adisturb ecosystem inayomuhakikishia future. Muungano upo na unaendelea kuwepo.. ukiondoa mamluki wachache wanaotaka madaraka Kama wakokosa watakufa.



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom