Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Huu msamiati wa haki ni mgumu na mchungu kwel kwa chama chakavu
Kipindi Serikali inasisitiza amani, naomba ikumbuke kusisitiza pia haki, halikadhalika jeshi la polisi na tume ya uchaguzi, mnasisitiza amani itawale katika nchi yetu lakini mnasahau kusisitiza pia haki itawale, haya yanayoenda kutokea pemba kiukweli Mwenyezimungu atuepushe viongozi mliopewa dhamana ya kutuongoza mkumbuke wajibu wenu nikutenda haki, kisha amani itatamalaki yenyewe bila hata kuisisitiza.

Angalia video ,ndipo tulipofika huku.


View attachment 1552499
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Tatizo sisi hatuna ndugu huko hivyo hatujali.
 
Wenye jukumu la kuhakikisha Taifa liko salama mnaacha watu wachache waliharibu Taifa? Huo ndio Uzalendo mpya?
 
Mzaha mzaha hutumbua usaha. Baadae tutafuta mchawi wakati tunawachekea wachache wanaolazimisha mambo
 
Zitto mjanja sana ametafuta loop hole bara akaona pagumu ameenda kuwafanya wapemba chambo anyway kupanga ni kuchagua Kama ni wosia waandike kila Jambo ni hiari kwa nafsi ya mhusika
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Wataanza na yeye kwanza kabla ya wengine!
 
Kilichofanyika Pemba ni kusaidia Chadema kubaki kuwa Chama kikuu cha Upinzan kwa kuwa ni hatare sana kuwa na ACT kama chama kikuu cha Upinzani
 
Labda hao hawakuwepo wakati wa Rais Mkapa lakini kama walikuwa watu wazima hawawezi kutia mguu barabarani.
Pumbavu wewe, watu wanahimiza watawala watende haki, wewe unakumbusha mauaji ya mkapa.
Hivi vitisho vyenu vinawatia watu usugu mioyoni
 
Mashujaa walipata kipigo cha mbwa koko.waliikimbia nchi.wajalibu tena tutawaletea jeshi kanda maalum kutoka tarime ndio size yenu.hayo maneno utajutia ukiwa kilema au umedead
Inaonekana ulizaliwa kipindi cha Kikwete. Kama ungezaliwa nyuma ya hapo ungewajua Wapemba vizuri.
 
Back
Top Bottom