Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kufa tutakufa tu wote siku moja. Unaweza kuchagua kufa katika manyanyaso ama kufa ukipigania haki yako. Sijui wewe kwa mawazo yako unapoona wagombea wa vyama vingine wanaondolewa bila makosa, sijui inakupa burudani gani? Kama siyo ushetani ni nini? Yaani utaka waondolewe halafu wanyamaze tu. Nchi hii imejaa mashetani sana.
Mashujaa walipata kipigo cha mbwa koko.waliikimbia nchi.wajalibu tena tutawaletea jeshi kanda maalum kutoka tarime ndio size yenu.hayo maneno utajutia ukiwa kilema au umedead