richard kaswalala
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 246
- 134
Lakini walidhibitiwa.kumbe unajua kudhibitiwa lazima mdhibitiwe.sasa hapo mwenye hasara ni selikari au ninyi raia.nakushauli na wewe usiache kwenda.ili siku nyingine usituletee vitisho vya kipumbafu
Hata Mkapa aliwadhibiti, lakini baadae alikuja kuwaomba msamaha nakujutia kutoa amri yakuua raia wasio na hatia, lakini hata yeye hajaishi milele.