Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Lakini walidhibitiwa.kumbe unajua kudhibitiwa lazima mdhibitiwe.sasa hapo mwenye hasara ni selikari au ninyi raia.nakushauli na wewe usiache kwenda.ili siku nyingine usituletee vitisho vya kipumbafu
Hata Mkapa aliwadhibiti, lakini baadae alikuja kuwaomba msamaha nakujutia kutoa amri yakuua raia wasio na hatia, lakini hata yeye hajaishi milele.
 
Sasa wewe unataka kutufundisha sisi wasukuma kipi.yaani MTU wa ujaruoni wa Kenya aje atuendeshe cc watu wa mwanza .kila siku maandamano.tukaona upumbafu mtupu.tukatupilia mbali.hapo hapo unawakubali wapemba na wewe si mpemba watakuchokonoa.angalia sana
Ili mradi huo ushenzi, udhalimu na uhuni wa kisiasa unataka kupingwa kwa nguvu zote huko Znz, sina shaka hilo litatokea manake Zanzibar, hususani Pemba sio wanafiki kama watu wa Bara.

Na hakika hakuna kiongozi mpumbavu kwa nchi kama Tanzania kama yule anayejaribu kutaka kuvuruga siasa za Pemba kwa sababu kila mwenye akili timamu nchi hii anafahamu Wapemba huwa hawataki ungese wa aina yoyote!

Sie wengine tumeshaishi sana na Wapemba huku tukiwaita Wakojan, hawa jamaa hawaogopi kitu! Kwanza Mpemba aliye mathalani Arusha, wala haoni taabu kubeba begi lake kwenda Pemba au Unguja kwa ajili tu ya kwenda kupiga kura!! Hakuna kiumbe wa jamii nyingine kwenye Jamhuri ya Muungano anayeweza kufanya hivyo ukimtoa Mpemba!

Na kingine ninachowapendea Wapemba, ule ujinga wa "sasa ni mtu wa nyumbani" kama tulio nao Bara wao hawana! Sitawasahau watu wa Kanda ya Ziwa, hususani baadhi ya Wasukuma walivyoisaliti CHADEMA mwaka 2015 kwa sababu tu CCM walimweka Msukuma mwenzao!

Pale Zanzibar CCM wakimweka hata Mpemba; Wapemba watamkataa tu kwa sababu wasichotaka Wapemba ni takataka yoyote kutoka CCM!!

Sasa kujaribu ku-mess na watu wa aina hiyo ni kutaka kujaribu kuliangiza taifa kwenye machafuko!

Majahili ya CCM badala ya kutumia njia za kifedhuli wanatakiwa wakae watafakari kwanini takataka yoyote yenye elements za Bara haitakiwi kwenye siasa za Pemba! Na wakumbuke, kule Pemba CCM walianza kukataliwa hadi Babu zao wa ASP!
 
Sasa bara inaingilianaje na Zanzibar.watatulizwa tuuu.jipe muda
Huko lazima kinuke ila kwa hofu, wanaweza kurudisha walioenguliwa.

Safari hii itakuwa ni zaidi ya yaliyotokea 2001.

Kinachokera ni hawa watu kufanya uhuni na hujuma za wazi kabisa alafu bado wanawaletea watu Kejeli,dharau na kiburi kisa tu ulevi unaotakana na madaraka na kujisahau.

Chochote kitachotokea Zanzibar kitakuwa na athari kisiasa na huku Bara maana foul zinazofanywa huko ni sawa na yanayoendelea huku Bara.

Ngoja tuone jueri yao itaishia wapi.
 
Alidhani akinunua mindege ambayo sasa inapigwa vumbi na kuingiza hasara kubwa kwa Taifa na kufanya miradi kama bado yuko Ujenzi basi itatosha kumpa ushindi wa TSUNAMI. Sasa kagundua hapendwi hata chembe na uchaguzi huru hachomoki atapigwa chini asubuhi subuhi hivyo kaamua kufanya uhuni mapema kabisa wa kuengua wagombea wa Vyama vingine kihuni, kugomea kuwepo na Tume Huru ili kutimiza uhuni na ujambazi wake wa kuendelea kubaki madarakani kupitia mtutu wa bunduki hali kadhalika kule Zenj maccm hayapendwi hivyo yameamua kule nako yaengue wagombea na mtutu kutumika tena kama 2015, 2010, 2000 na 1995 kung'ang'ania madaraka kimabavu. Nina wasiwasi mwaka huu kutatokea mauaji makubwa sana na ya kutisha.
Jiue hata leo unachelewa.Umekosa kazi hadi ???
 
Haki huja baada ya sheria na sio baada ya kusimama juu ya meza. Kumuengua aliyeshindwa kujaza fomu na kumpitisha aliyeweza kujaza fomu ndiyo haki yenyewe kwasababu ni baada ya sheria. Wananchi wenzangu msipumbazwe mkapumbazika,wakati wa uchaguzi s/m walikosea kujaza fomu kwa awamu hii lazima wangeandaliwa watu wa kuhakikisha makosa yale hayajirudii. Waangalie wakongwe wa upinzani mbona wao wamejaza kwa usahihi! Jibu ni moja tu, kuna watu wamegombea kupitia vyama visivyo wahitaji kiviiiiile.




MAGUFULI4LIFE.
 
Lakini walidhibitiwa.kumbe unajua kudhibitiwa lazima mdhibitiwe.sasa hapo mwenye hasara ni selikari au ninyi raia.nakushauli na wewe usiache kwenda.ili siku nyingine usituletee vitisho vya kipumbafu
Mwenye hasara niserikali, au hufaham Kama Serikali ikipoteza raia wake nihasara?. Unajua nifamilia ngapi zenye chuki na Serikali kisa maafa Yale?. Huwezi jiuliza hao wanaopanga kuandika wosia, yawezekana wapo miongoni mw watoto walioshuhudia maafa ya yale ya 2001.Unajua haya yakiendelea nini kitakachatokea?.

Ndugu fujo zikishatokea hutoulizwa Kama wewe ni ccm au Cuf au ACT au CDM ndio maana wanasema tutalia wote, ili kuyaepuka hayo himiza Serikali pamoja na time itende haki kwa kila chama.
 
Haki huja baada ya sheria na sio baada ya kusimama juu ya meza. Kumuengua aliyeshindwa kujaza fomu na kumpitisha aliyeweza kujaza fomu ndiyo haki yenyewe kwasababu ni baada ya sheria. Wananchi wenzangu msipumbazwe mkapumbazika,wakati wa uchaguzi s/m walikosea kujaza fomu kwa awamu hii lazima wangeandaliwa watu wa kuhakikisha makosa yale hayajirudii. Waangalie wakongwe wa upinzani mbona wao wamejaza kwa usahihi! Jibu ni moja tu, kuna watu wamegombea kupitia vyama visivyo wahitaji kiviiiiile.




MAGUFULI4LIFE.
Kwahio haya hayakutokea kipindi cha kikwete hizo sheria hazikuwepo?.

Wewe jidanganye MAGUFULI4LIFE, wakati wewe nimlalahoi kama mimi ,fujo zikitokea hutoulizwa wewe nichama gani.
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Wapigwe tu, kosa lao ni kutafuta chama kidogo badala ya kujiunga na chama kikuu cha upinzani. ACT ina viongozi wabinafsi wanajiangalia wao badala ya umma. Wamekuja kuzigawa kura za wapenda mabadiliko.

Wapigwe tu hakuna namna
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Mapingamizi si mmewekeana wenyewe kwa wenyewe? Sasa CCM inahusikaje, fuateni sheria na kanuni zilizowekwa!
 
Hayo ni maneno tu kama ya kwenye kanga yalisemwa tangia 95 mpala sasa ynasemwa tu.wakukinukisha huwa awasemagi.
 
wapemba nawaaminia walikinukisha 2001 wakapata serikali ya mseto mwaka huu wakikinukisha vizuri watapata uhuru wa nchi yao.
Sababu iliyofanya washindwe kukinukisha 2015, ndio hiyo hiyo itakayofanya washindwe mwaka huu.
 
Jiwe anaingiaje hapo, kwani aliwalazimisha kuwateua hao vilaza wenu walioshindwa kujaza form? Tatizo lenu wakati ccm anahangaika kuchuja wagombea mlikuwa mnawananga.Ccm walijua kuwa kuweka mgombea asiyejitambua kunaweza kukigharimu chama pakubwa.Wagombea wa upinzani walipewa ridhaa kwa kujuana bila weledi. Sasa vuneni mlichopanda.
jiwe ataharibu amani ya Zanzibar acha haki itendeke,Jiwe na ccm yake watakuwa tayari kuporwa ushindi wao,kama wasivyopenda kuporwa ushindi wao,waelewe kabisa na Zanzibar haiko tayari kuporwa ushindi halali
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Uonevu ukizidi husababisha umwagaji damu
 
Back
Top Bottom