Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mashujaa walipata kipigo cha mbwa koko.waliikimbia nchi.wajalibu tena tutawaletea jeshi kanda maalum kutoka tarime ndio size yenu.hayo maneno utajutia ukiwa kilema au umedead
Mungu ibariki PembaKatika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.
Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.
Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu
Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.
Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!
View attachment 1552518
Mimi niko bara nasubiri nimchinje tu Gwajima nakura yangu nimpe Lissu, lakini huko Zanzibar yakitokea yakutokea kila mtu ataulizwa alitimizaje wajibu wake.Kumbe mkuu ulikuwa unanitega mi nilijua na wewe ni miongoni mwa wale wasiotumia kichwa kufikiri.
MAGUFULI4LIFE.
Nafikiri wanaongelea UTULIVU na si AMANI kwani amani ni swala la ndani ya moyo wa mtu. Haiwezekani mtu akakatwa pasipo kufuata haki na then akabaki na amani yeye na wafuasi wake. Anaweza akatulia kwa kutishwa kwamba akiidai haki yake ataumizwa kwa kipigo cha mbwa koko. Ni vizuri tuzingatie haki ili kuifanya Tanzania sehemu salama.Hili ndilo hutasikia toka CCM, NEC, Wakurugenzi wa halmashauri, viongozi wa dini, TBC... Utasikia tu amani, amani, amani.... Hakuna kuongelea haki! Yaani hata wagombea wako wote wakikatwa, kubali ili kuwe na amani!
Haiwezekani mgombea kukatwa kwa mfano kwa sababu hajaweka picha na unamwona usimwambie kalete picha au kaandika DSM ambacho tunafahamu kwa mazoea ni kifupi cha Dar es Salaam na ufanye mwingine ambaye kapita kwenye mchakato wa chama awe mwakilishi wa wananchi pasipo kupigiwa kura, haingii kabisa akilini na swala kama hilo liwe chanzo cha kuharibu amani yetu. Tusifanye form za uchaguzi kama ushindani wa kupata zabuni ambapo mzabuni hana njia ya kuirekebisha zabuni yake mara tu ya kuwasilisha na tuzingatie kiwapa fursa wananchi kuchagua wawakiloshi wao baada ya kujinadi kwa kueleza ni nini watawafanyia mara watakapo wachagua ni kwa kufanya hivi titakuwa tumetimiza takwa la kikatiba.
Pemba haikuhusu ushike adabu yako.Sasa wewe unataka kutufundisha sisi wasukuma kipi.yaani MTU wa ujaruoni wa Kenya aje atuendeshe cc watu wa mwanza .kila siku maandamano.tukaona upumbafu mtupu.tukatupilia mbali.hapo hapo unawakubali wapemba na wewe si mpemba watakuchokonoa.angalia sana
Wee komwe mjinga mmoja ikiwa hamwezi uchaguzi huru na haki kwanini mnapoteza pesa kila siku kwa uchaguzi?Wapigwe tu, kosa lao ni kutafuta chama kidogo badala ya kujiunga na chama kikuu cha upinzani. ACT ina viongozi wabinafsi wanajiangalia wao badala ya umma. Wamekuja kuzigawa kura za wapenda mabadiliko.
Wapigwe tu hakuna namna
Upumbavu wa CCM ndiyo utaivuruga Amani ya Nchi hii
🤣🤣Inaonekana ulizaliwa kipindi cha Kikwete. Kama ungezaliwa nyuma ya hapo ungewajua Wapemba vizuri.
You talk the talk 🤝Hata Mkapa aliwadhibiti, lakini baadae alikuja kuwaomba msamaha nakujutia kutoa amri yakuua raia wasio na hatia, lakini hata yeye hajaishi milele.
Mkuu hawa wanaoongea ni wananchi au wana ACT Wazalendo?Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.
Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.
Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu
Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.
Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!
View attachment 1552518
Kama akiongea mnaelewana unahaki ya kumpaMimi niko bara nasubiri nimchinje tu Gwajima nakura yangu nimpe Lissu, lakini huko Zanzibar yakitokea yakutokea kila mtu ataulizwa alitimizaje wajibu wake.
Muungano havunjwi yakheeKwani muungano watu wameungama na tarehe inajulikana mungano ni sawa sawa sawa na ndoa mdaa wowote mwaweza kuachana hamna mkataba wa milele bora nyinyi mubaki na Tanganyika yenu sisi tubaki na Zanzibar yetu
Jinga lingine hiliMashujaa wa nyuma ya keyboard
Wazanzibari hawana unafiki unafiki wakiamuwa kitu wanaamuwa tuuHayati Mkapa alijuta mpaka siku anaondoka duniani kumwagika kwa damu ya wazanzibar mwaka 2001. Alijitahidi sana kadri ya ushawishi wake kuwaasa viongozi waliokuja baadae waiangalie Zanzibar kwa jicho la umakini maana uonevu kwa wale watu unaweza pelekea hata hao watu kuukataa muungano wenyewe, ikifikia hatua ya wao kuukataa muungano hata upeleke majeshi milioni utaishia kumwaga damu zaidi tu lakini kamwe hutopata ridhaa yao!.
Kama kuna watu wenye akili na wanatafakari waufanyie kazi ushauri ule wa Mkapa la sivyo nao wataburuzwa ICC kwa umwagaji wa damu za wananchi!
Kama alivyo mmeo!Jinga lingine hili
Siyo znz tuu, hata bara!!!Hapo ndio unafiki ulipo, tunaomba watendewe haki nduguzetu Wazanzibar warudishiwe viongozi wao, kam kukataliwa basi watakataliwa kwenye sanduku lakura