Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Wee komwe mjinga mmoja ikiwa hamwezi uchaguzi huru na haki kwanini mnapoteza pesa kila siku kwa uchaguzi?

Ukitaka uchaguzi wa haki subiri milele. Hapa najadili umimi uliopo kwenye upinzani. Idadi kubwa ya wapiga kura hawatopiga kura kwasababu hawaoni upinzani imara. Kutoksna na ubinafsi wao hadi Leo hawajasema lini watatoa tamko la kuunganisha. Na tatixo kubwa ni ACT. Wameamua kumleta Membe ili agawe kura.

Ndio maana nasema, wapigwe tu hakuna namna.
 
Sasa wewe unataka kutufundisha sisi wasukuma kipi.yaani MTU wa ujaruoni wa Kenya aje atuendeshe cc watu wa mwanza .kila siku maandamano.tukaona upumbafu mtupu.tukatupilia mbali.hapo hapo unawakubali wapemba na wewe si mpemba watakuchokonoa.angalia sana
Ni kwamba unawashwa na unahangaika kutafuta basha, au?!
 
Hao makamishna watume na ccm wahuko Pemba sahivi washachanganyikiwa
WATAANZA NA HAO MAKAMISHNA WA TUME .Kisha
Wataelekea kwa wana CCM mmoja mmoja nyumba kwa nyumba, kikinuka tutakufa wote,
Zamu hii hatupambani na Jeshi wala Polisi, Chama kwa chama.
Polisi itabidi wajipambanue watimize wajibu wao kama Walinzi wa Raia .
Na Jeshi liendelee kulinda nchi.
Mauwaji yakizidi wapindue Serikali iwe chini ya jeshi na uchaguzi Basi.
Si CCM wala Wapinzani watakaotawala bali Mkuu wa Majeshi na Mwanasheria Mkuu.
Huu ndio mwisho wa Dhulma za Kijinga.
 

Attachments

  • ccm yakamia mauwaji kwa wapinzani.mp4
    6.5 MB
Ukitaka uchaguzi wa haki subiri milele. Hapa najadili umimi uliopo kwenye upinzani. Idadi kubwa ya wapiga kura hawatopiga kura kwasababu hawaoni upinzani imara. Kutoksna na ubinafsi wao hadi Leo hawajasema lini watatoa tamko la kuunganisha. Na tatixo kubwa ni ACT. Wameamua kumleta Membe ili agawe kura.

Ndio maana nasema, wapigwe tu hakuna namna.
Kwenda wewe Fala .
Tatizo ni CCM kuwakata wagombea wetu wa Upinzani,
Membe ni sehemu ya waathirika wa CCM isiyopenda Democracy.
Tume ya CCM isiyokuwa huru inaipendelea CCM , kutofanya haki na kuweka vikanuni vya kibwege. Eti kuunngana mwisho miezi Mitatu kabla ya tarehe ya uchaguzi.
Yaani watu hawana haki ya kuungana baada ya hapo ,hili hulioni Wewe PIMBI
 
Nsubiria kwa hamu kupambana na CCM uso kwa uso hata kamaatakuwa Babu yangulazima nimuwahishe,
Kama hali yenyewe ndo hii , Hawahawakukusudia uchaguzi ngo.
 

Attachments

  • Green Guard.jpg
    Green Guard.jpg
    107.7 KB · Views: 1
  • machotara-CCM 2015.jpeg
    machotara-CCM 2015.jpeg
    52.1 KB · Views: 1
  • CCM MBOKO MBOKO.mp4
    11.6 MB
Kwenda wewe Fala .
Tatizo ni CCM kuwakata wagombea wetu wa Upinzani,
Membe ni sehemu ya waathirika wa CCM isiyopenda Democracy.
Tume ya CCM isiyokuwa huru inaipendelea CCM , kutofanya haki na kuweka vikanuni vya kibwege. Eti kuunngana mwisho miezi Mitatu kabla ya tarehe ya uchaguzi.
Yaani watu hawana haki ya kuungana baada ya hapo ,hili hulioni Wewe PIMBI
Usipanick, ccm wataweza kuwanyima haki wapinzani legelege, upinzani usio na umoja, upinzani ulio na mamluki ndani yake. Watu wa kawaida hawamwelewi membe, sana wasiwasi na seif. Hawamwelewi zitto.

Ni kama kikundi cha watu wanaotumika. Leo sefu kaiza znz mchana kweupe. mazungumzo kati ya sefu na mfalme yashazaa matunza asubui mapema.

Naaminj cdm kama chama kikuu cha upinzani bado kina mashaka na mwenendo na ACT.

Kila wanapomuona membe wanamkumbuka Lowasa, wakikumbuka kikao na mfalme wanakumbuka unafiki uliopo ndani ya vyama vidogo.

Wapemba wakitaka kwenda kuvunjwa miguu waende, lkn wengi wetu tulihitaji upinzani wataja umoja, wapinzani walioungana.
 
Kuungana si jambo nyepesi kama unavyoongea .
CCM imeweka mazingira magumu mno ya kuzuia miungano ya kipinzani.
Kura za Raisi zina saidia sana kukiongezea chama ruuzuku.
Kila chama kinataka ku survive kwa hiyzo ruzuku angalau kujijenga na kujiwekea miundo mbinu.

Chadema Tulikiunga mkono kwenye uchaguzi wa 2015 kwenye uraisi na kumnadi lowasa wa chadema na Maalim wa CUF.
Lowasa wa Chadema alipata kura Mil. 6 ambazo zinaipatia chaema ruzuku kubwa tuu kwa mwezi.
huku ikiachia CUF ya wakati ule bila ya Ruzuku ya wingi wa kura za Raisi.
Maalim aliondowa Ubinafsi, lakini Lipumba alinuna.
Je Leo Tukiimbia Chadema muunge mkono mgombea wetu zamu hii ili endapo tukishindwa tufaidi Ruzuku ya Kura z aRaisi watakubali?

Hili ndio tatizo.
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Hii ni hatari sana, lakini ccm na serikali zake ndio wametengeneza hatari hii. Ila naamini kwamba wao si watawala bali ni viongozi, na kwa kuwa wao ni viongozi basi hatari hii inaweza kuhepukika kwa kuweka maridhiano mazuri kwa maslahi mapana ya taifa na watu wake.
 
Wapemba awamu ya mkapa waliowahi kuamua kuwa wakimbizi, na waliokimbilia Mombasa nchini Kenya. Chezea wapemba we
Na watoto wa vigogo wa CCM pamoja na mawaziri wa muungano. Kuna waliokimbilia ulaya na Canada na wengine wana passports mbili
 
Sasa huyu babu anasema ntume akishasema basi jeshi linakuwa tayari tayari ,,
Ntume wao ni nani ?
ZITO
MAALIIM SEIF
AU HUYU babu anaeongea ndio ntume
Wapemba akili zao bhana wanapenda kuchanganya DINI na SIASA
Si wapba ni Maaskofu wa. Kikatoliki ndio wanaochanganya dini na siasa ukitaka ushahidi nitakuwekea
 
Wewe unajivunia SMG iliyonunuliwa kwa Kodi za haohao unaowadhihaki,unajivunia magwanda,mabuti na mkanda ulionunuliwa na Kodi za hao unaowadhihaki,hata hayo mafunzo uliyonayo Ni Kodi zao,mshahara unaolipwa Ni Kodi zao.
Inawezekana Ni wewe peke yako kwenye ukoo wenu tu ndio una ajira ya Jeshi.
Waonee huruma ndugu zako ambao hawana neema uliyonayo.Acha ubinafsi.
Hawa unaowadharau wanaweza wakakuweka bize wewe na ukasahau na IST yako.
Wakianza kuandamana kudai Hali yao,itabidi wewe uache starehe zako zote za Sasa hivi uende na SMG yako kuwaua.
Unajua kitakachofuata.?
Najua kwa chuki uliyonayo juu Yao utawaua makumi kwa mamia,baada ya hapo unajua kitakachofuata?
Kama umeenda kulinda amani nchi nyingine,unafikiri watumishi Kama wewe kutoka mataifa mengine hawata kuja kulinda amani hapa kwetu?
Nakusihi Sana wa poti wangu usisgemee upande wa dhuruma.
Ulipaswa kukerwa na dhuruma wanazofanyiwa Hawa unawaowadhihaki.
Usiwe mtumwa wa wadhalimu.kumbuka kuna maisha nje ya kazi unyojivunia.
Wewe kwa Raha ulizonazo Leo hiihujafikia hata 1/100 ya Raha alizokua nazo Mkapa.
Mkapa alikuja kujuta juu ya aliyowafanyia hao wapemba na wapinzani kwa ujumla.
Kitabu alichoandika Ni kutubu dhambi zake,Hadi akatamani wapinzani wawe wanashirikishwa kwenye kuhesabu kura.
Sasa Kama Mkapa mtua ambae alikua analindwa na walinzi kila engo anajutia matendo yake,vipi wewe mlinzi usie na hata mlinzi japo nje ya mlango wa nyumbani kwako?
Hiyo kazi uliyonayo isikuondolee utu na kudhani watu wasio na kazi Kama yako hawana Haki ya kuishi kwa sababu tu wamechangia kununua SMG ya serikali kwa Kodi zao ambayo wewe umekabidhiwa ili kuwalinda na leo badala ya kuwalinda unawadhihaki.
Hubiri Hali ndugu,kwa sababu Haki italeta amani,na amani it kufanya wewe uifurahie kazi yako.
this message is too heavy for an ordinary citizen!
 
Wanawachokoza wamarekani September 11 ni siku ya magaidi duniani ambayo huitumia kufanya ugaidi na ndio siku Twin tower Marekani ziliangushwa na magaidi ambapi mmoja wa magaidi anayeshikiliwa Marekani ni mpemba aliyelipua ubalozi wa Marekani Tanzania

Hilo tangazo la Sept 11 limeiweka ACT wazalendo pabaya kwenye Rada za kimataifa kuwa Ni chama Cha kigaidi tayari

Tarehe hiyo huyo kijana hajatamka kwa bahati mbaya Ni mmoja wa magaidi aliyetoroka kipindi Cha operation ya kupambana na ugaidi kule mkurabga,Kibiti na Rufiji pia alionekana Msumbiji huyo ambako katokea kule karibuni.Vyombo vya dola kamateni huyo ni kamanda kule Msumbiji anayesumbua serikali ya kule
Are you sure?
 
Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao.

Wamehimizana kila mmoja kuandika usia kabisa kwa sababu chochote kinaweza kutokea.

Kwa kweli kama Taifa hatukupaswa kufika hapa, Wazanzibar wamevumilia mengi, wamevumilia ishu ya uchaguzi wa mwaka 2015, wakavumilia kuingiliwa na kuvurugwa chama chao kikuu cha CUF, sasa leo kweli wavumilie kweli kunyimwa chaguo la kumchagua mtu wamtakaye? —aaah wakubwa, oneni aibu

Lakini Kama wananchi wakimwaga damu zao kwa sababu ya michezomichezo hii ya kunyima haki wananchi, Tume ya Uchaguzi NEC na watawala, hawatakwepa lawama, damu za wananchi wasio na hatia zitakuwa mikononi mwao.

Hapa chini ni video ikionyesha wananchi wakijiapiza kwa lolote!

View attachment 1552518
Hamna kitu system works.
 
Back
Top Bottom