Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.Ngoja nimalizie usingizi ili wakija niwasome vizuri maana huu uzi lazima utakuwa wa moto tu, huwezi kutatua ulawiti kwenye madrasa peke yake wakati huko kwenye shule za watoto makanisani zilikuwepo hizi tuhuma
Yani umekaa kimkao flani ukigusa tu umekuangukia! Lazima uwake yani kuna mada nikizisomaga najua tu lazima kiwake, hasa hizi zinazohusu imaniNimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.
Ndiyo nyuzi nzuri za kukupima kama umekua mtu mzima,bado mtoto au umemezwa na imani bila tafakari ya kina!Yani umekaa kimkao flani ukigusa tu umekuangukia! Lazima uwake yani kuna mada nikizisomaga najua tu lazima kiwake, hasa hizi zinazohusu imani
Inabidi kuishia kucheka tu🤣🤣🤣Ndiyo nyuzi nzuri za kukupima kama umekua mtu mzima,bado mtoto au umemezwa na imani bila tafakari ya kina!
Huwa haina haja ya kuanza kuleta vielelezoNimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.
Kumbe sheikh una taarifa njema sana za kufundisha isipokua lugha tu ndiyo matata kidogo.Lete khabari zaidi maalim!Huwa haina haja ya kuanza kuleta vielelezo
Lakini kama unavitaka, vipo vya tokea wakati wa ukoloni
Kuna huyu Father Kit Cunningham, alifira sana vijana wa wakatoliki wa Tanzania miaka ya 60 na 70, mpaka Queen Elizabeth alimvua heshima ya MBE
Mfano katika majadiliano yetu, kuna sehemu nimekuletea lugha chafu? HakunaKumbe sheikh una taarifa njema sana za kufundisha isipokua lugha tu ndiyo matata kidogo.Lete khabari zaidi maalim!
Manta hofu maalim.Haujakosea pahala hata kidogo.Tupo wote.Mfano katika majadiliano yetu, kuna sehemu nimekuletea lugha chafu? Hakuna
Lakini utaniwia radhi paroko endapo nikikutana na mada yako iliyoletwa kwa huu mtindo
Ngoja uone.Kwa kizigua tunasema..."kuluona luulo"...!🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja hapo juu ameanza kwa kutoa matusi na kashfa kama kawaida yao kujibu hoja kwa matusi
She's fast asleep!FaizaFoxy what is your opinion
Marhabaan...marhabaan jadeed!🙏Maa mushkila jadid 😂
Unawaonea tu.Mnawachokoza wenyewe.🤣🤣🤣🤣🙏Wenye dini yenu ya haki ndio mnaongoza kwa matusi humu JF
Na wenye dini yenu ya upendo ndio mnaoongoza kwa mmomonyoko wa maadili ya kitanzaniaWenye dini yenu ya haki ndio mnaongoza kwa matusi humu JF
Ndiyo inatakiwa muwarekebishe mnaowaona.Wenyewe hawajioni wanavyokosea.Na wenye dini yenu ya upendo ndio mnaoongoza kwa mmomonyoko wa maadili ya kitanzania
Tena?Ushahidi muheshimiwa.🤔Angalizo.
Kama waalimu wa madrasat watakua wanawake linaweza kuibuka tatizo la kudhalilishwa watoto wa kike na hao maustaaz wa kike. Maeneo yenye madrasat ndio maeneo yenye usagaji mwingi.