Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
9.8ms squared yupo tu anavizia vitoto vya Mabibo Hostels...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ijumaa vilijaaa kitambaa cheupeee yani ni kupick tu 😀😀😀9.8ms squared yupo tu anavizia vitoto vya Mabibo Hostels...
Hii ni kirikuu ila boardy ni made in Masoud kipanyaMasoud aendeleze Ndoto zake, maana watu wengi waliogundua vitu vikubwa SIO WASOMI
Kama ni 45 milioni kibiashara haiwezi mlipa wakati kirikuu napata kwa milioni 7Ila hajalenga Soko la Tz, Maana kama nilimsikia vizuri anasema kwamba ametumia 45 milioni mpaka kulikamilisha, Sasa kwa Tz yetu hii tutegemee bado watu watafanya Option ya Kuagiza Used Japan kuliko New ya Hela hiyo.
Brand New car itakuwa mziki kwa majority ya WTZ
Assembled in Tanzania.Kiwanda Cha hayo magari kipo wapi? Au ndio made in China and manufactured in Tanzania.
Biashara ya magari ngumu, maana mwanzo inakula pesa ndefu halafu inabidi uzalishaji ukianza product iwe affordable na profit ipatikane. Kajitahidi ila kama project imechukua miezi 11, bila shaka product itakuwa ya kuunga unga maana research, innovation na kutengeneza prototype inachukua miaka mingi.Ila hajalenga Soko la Tz, Maana kama nilimsikia vizuri anasema kwamba ametumia 45 milioni mpaka kulikamilisha, Sasa kwa Tz yetu hii tutegemee bado watu watafanya Option ya Kuagiza Used Japan kuliko New ya Hela hiyo.
Brand New car itakuwa mziki kwa majority ya WTZ
Huwa huendi maonyesho ya biashara ya kimataifaHadi sasa ninashangaa kwanini chuo kikuu cha Dar es salaam hakijamtunuku kipanya PhD.
Assembled in Tanzania.
Muda bado wanafanya tafitiHadi sasa ninashangaa kwanini chuo kikuu cha Dar es salaam hakijamtunuku kipanya PhD.
Maprofesa pale UDSM wameshindwa hata kubuni bajaji.Mda bado wanafanya tafiti
Wanabuni mashineMaprofesa pale UDSM wameshindwa hata kubuni bajaji.
Ipi? Labda ya kupukuchua mahindi.Wanabuni mashine