Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

Achana na stori za vijiweni. Economic advantage kwa Tanzania kuunda magari ni kwa njia ya kufanya assembly.

Kuunda gari mpya kwa uwezo wetu wa kiteknolojia itakuwa hasara kubwa sana na gari zenyewe zitageuka screpa ndani ya miaka miwili.

What KP is doing ni kutufumbua macho ili tuweze kuwaza zaidi namna ya kuingiza magari ya kitanzania sokoni. Kama motivational speaker. Lakini namna magari yatakavyoundwa Tanzania siyo hii anayoitangaza.
Kwa nini wewe usitumie hio njia ya namna ya kuunda magari? Umewahi soma historia za magari unayoyaona?
Kwa fikra kama zako mtasubiri sana mpaka mje muunde "youtong".
Nikwambie kitu, Youtong ilikuwa ni geleji ya kukarabati magari huko china.
Toyota walianza kutengeneza baiskeli, wakaja pikipiki badae gari.
Ogopa sana watu wenye uthubu, ogopa! Hao ndio walioibadilisha dunia.
Masoud atakuwa mmojawapo.
Wewe unawaza ndoto za namna ya kuunda gari bora mwenzio kaunda gari anawaza kuliboresha.Acha ndoto toka ukafanye ktk ubora kuliko masoud vinginevyo unapiga porojo!
 
Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.

Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.

Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho kulifanyia maonyesho kama anavyotangaza bali aliweke barabara kulifanyia majaribio.

Daima product ya kwanza huwa ina changamoto nyingi sana na kadiri atakavyoliingiza barabarani hili la mwanzo na kulijaribu ataweza kugundua changamoto na kuzitafutia ufumbuzi kabla ya kuanza kufanya commercial production

Hongera sana Kipanya mimi naamini ulichokifanya kitaleta mapinduzi katika fani ya uhandisi nao wataanza kuwa kama wana bongofleva kila mtu anaibuka na product yake

View attachment 2175048
Mimi mpaka nione inakimbia barabarani.
 
Achana na stori za vijiweni. Economic advantage kwa Tanzania kuunda magari ni kwa njia ya kufanya assembly.

Kuunda gari mpya kwa uwezo wetu wa kiteknolojia itakuwa hasara kubwa sana na gari zenyewe zitageuka screpa ndani ya miaka miwili.

What KP is doing ni kutufumbua macho ili tuweze kuwaza zaidi namna ya kuingiza magari ya kitanzania sokoni. Kama motivational speaker. Lakini namna magari yatakavyoundwa Tanzania siyo hii anayoitangaza.
Kama katumia. Milioni 45 kuunda gari moja hapo Hakuna economic of scale
Hapo unapata kirikuu saba kwa kipanya moja.
 
Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.

Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.

Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho kulifanyia maonyesho kama anavyotangaza bali aliweke barabara kulifanyia majaribio.

Daima product ya kwanza huwa ina changamoto nyingi sana na kadiri atakavyoliingiza barabarani hili la mwanzo na kulijaribu ataweza kugundua changamoto na kuzitafutia ufumbuzi kabla ya kuanza kufanya commercial production

Hongera sana Kipanya mimi naamini ulichokifanya kitaleta mapinduzi katika fani ya uhandisi nao wataanza kuwa kama wana bongofleva kila mtu anaibuka na product yake

View attachment 2175048
Ametengeneza au ameunganisha kwakutumia assembly kit!
 
Business model,business plan.
Tofautisha Hobyst na businessman.
Umewahi futilia promo za Elon Musk ?
Unafikiri Elon ndio mtu wa kwanza kuunda Magari huko USA ?
Business modal approach ndio wengi wanapokwama.
Kuna kitu kinaitwa Fund Rising ktk kukuza kampuni sio kitu cha kitoto,
Mkuu achana na hao watu wa mtaani hawanaga dira.
Masoud anakampuni hao huwa hawana kampuni, je watakopeshwaje pesa?
Nimependa sana appraoch ya masoud, masoud ana vision, naiona future kubwa kwake(big picture).
Uelewa mdogo au ni nini, umeandika d same nilichoandika hakuna tofauti yoyote na komenti yangu.
 
Kiukweli mi sioni cha ajabu hapo.

Mi naona hapo ni kua ndg. Masoud kapata mtaji na kucheza na fursa kwa kuunda hilo gari.
Sidhani kama wataalamu wa hizo ishu hawapo, wapo ila tu ni vile mtaji, umaarufu na connection kama alizonazo huyu ndgu hawana kwahiyo ni changamoto kwao.

Ukizingatia hizo gari nchi za wenzetu zishaanza kutumika kitambo kidogo, hivyo kwa mtu mtaftaji na mbunifu kama kipanya hiyo ni fursa kwake.

Nampa hongera mno mno kwa uthubutu wake huu mkubwa na uliotukuka.
Sio wote wanaweza kufanya kama yeye, wengi hupenda kutafuniwa lakini yeye kafanya research, bila shaka kasoma vitabu na kuapply alichokisoma. Safi sana.
 
Back
Top Bottom