Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

Najiuliza bado....[emoji41]
IMG_20220404_143931.jpg


Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo bwana wajuaji Sana kwenye keyboard. Ndio maana CCM wanatuweza Sana. Hongera Sana Masoud Kipanya. Vijana tufuate nyayo zake. Kila mtu ajaribu kuziishi ndoto zake. Sio unapiga ukunga JF huna lolote na bando la jero.
Mtu anaponda wakati yeye hapo hata kutengeneza kijiko hajawahi
Wabongo F sanaaa
Blhblh tu

Ova
 
Ila hajalenga Soko la Tanzania, maana kama nilimsikia vizuri anasema kwamba ametumia 45 milioni mpaka kulikamilisha, Sasa kwa Tanzania yetu hii tutegemee bado watu watafanya Option ya Kuagiza Used Japan kuliko New ya Hela hiyo.

Brand New car itakuwa mziki kwa majority ya WTZ

Duhhhhh, hata kwa 10 sichukui
 
Waundie ya kwako mkuu
Umpiku

Ova
sina wa kunishika ila nishabuni vingi sana kuna gar niliibuni inauwezo wa kutembea na kupaa dar to mwanza dakika 30 na ipo mpaka sasa sipendi tu kujitangaza
 
D
Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.

Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.

Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho kulifanyia maonyesho kama anavyotangaza bali aliweke barabara kulifanyia majaribio.

Daima product ya kwanza huwa ina changamoto nyingi sana na kadiri atakavyoliingiza barabarani hili la mwanzo na kulijaribu ataweza kugundua changamoto na kuzitafutia ufumbuzi kabla ya kuanza kufanya commercial production

Hongera sana Kipanya mimi naamini ulichokifanya kitaleta mapinduzi katika fani ya uhandisi nao wataanza kuwa kama wana bongofleva kila mtu anaibuka na product yake

View attachment 2175048
Duu, nililiona jana , kumbe katengeneza yeye?!!
 
Most important question How Much....

Kutengenza ni moja ila unaweza kujikuta unatengeneza basikeli yenye production cost ya pikipiki na efficiency ya mtembea kwa miguu...

Ila nampa kudos kwa marketing na ukizingatia ni environmental friendly huweza Benki akaunti yake ikanenepa kwa kupata ufadhili hata kama product yake will never see light of day
 
Wenzetu Malasyia tena chini ya mwembe au garage bubu wanaunda mabus classic. Finishing mfano dashboard, viti, keria ya ndani, taa, vioo nk ndo ununua dukani. Tena wanatumia nyundo, tindo, grenda, welding machine tu. Ndo mabus wanayauza huku milioni 500.
Achana na stori za vijiweni. Economic advantage kwa Tanzania kuunda magari ni kwa njia ya kufanya assembly.

Kuunda gari mpya kwa uwezo wetu wa kiteknolojia itakuwa hasara kubwa sana na gari zenyewe zitageuka screpa ndani ya miaka miwili.

What KP is doing ni kutufumbua macho ili tuweze kuwaza zaidi namna ya kuingiza magari ya kitanzania sokoni. Kama motivational speaker. Lakini namna magari yatakavyoundwa Tanzania siyo hii anayoitangaza.
 
View attachment 2175050
Pamoja na kuonekana shujaa bado kuna jambo la kushangaza ambalo mimi nawashangaa watanzania wenzangu.

Nadhani masoud si Mtanzania wa kwanza kuunda gari tena likiwa la umeme tofauti na yale ya mafuta ambayo mengi yamepotezewa na mamlaka sababu wanasema hayana ubora.

Kinachomfanya masoud aonekane ni vile ametumia matangazo, kufahamika, mamlaka husika kama ya uwekezaji nk, ambao watampa support.

But mkumbuke kuna vijana wamekuwa na ujuzi mkubwa sana tatizo ni mamlaka zetu za kiafrika ndizo hazioni vipaji na hata kama zikiona basi ukiwa tayari mikononi mwa wadau wakubwa.
Business model,business plan.
Tofautisha Hobyst na businessman.
Umewahi futilia promo za Elon Musk ?
Unafikiri Elon ndio mtu wa kwanza kuunda Magari huko USA ?
Business modal approach ndio wengi wanapokwama.
Kuna kitu kinaitwa Fund Rising ktk kukuza kampuni sio kitu cha kitoto,
Mkuu achana na hao watu wa mtaani hawanaga dira.
Masoud anakampuni hao huwa hawana kampuni, je watakopeshwaje pesa?
Nimependa sana appraoch ya masoud, masoud ana vision, naiona future kubwa kwake(big picture).
 
This was designed by Masoud Kipanya but made in South Africa and China .....Lakini sijui kwanini 'sirikali’ haiwezi kukusanya watu kama hawa na kuwajengea kiwanda kwa kufuata miongozo yao na wataalamu zaidi toka nje nasi tukaproduce our own product kama walivyofanikiwa wenzetu Uganda bila kujari kelele za Outsiders?
 
Back
Top Bottom