Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kabuni muundo wa gari. Sio katengeneza.Sijaelewa, nini kigeni alichobuni hapo?
Maana kama ni magari ya umeme huko duniani tayari yapo siku nyingi tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabuni muundo wa gari. Sio katengeneza.Sijaelewa, nini kigeni alichobuni hapo?
Maana kama ni magari ya umeme huko duniani tayari yapo siku nyingi tu?
Ziko sokoni hizo machine?Wanabuni mashine
Hadi ukizihitajiziko sokoni hizo machine?
Ok, kuna haja sasa wazizalishe nyingi ziingie sokoni.Hadi ukizihitaji
Ok, kuna haja sasa wazizalishe nyingi ziingie sokoni.Hadi ukizihitaji
😂😂😂Hadi ukizihitaji
nadhani huyo wa helcopter ni zaidi.maana alifanya ufundi mwenyewe. Masoud itakua alibuni mchoro akapeleka kiwandaniKwa Tz Masood kilichombeba ni umaarufu tu.....ila wengi tu wameshafanya hivyo tena mpaka helicopter pale Tunduma...................
Ni utaalam waoMajamaa ya SUA yapo tu yanalisha panya
wasaidie issue za kilimo,hata cha alizeti mafuta yapungue beiNi utaalam wao
Sio kila mtu atengeneze gari
Wivu unakusumbuaKwa Tz Masood kilichombeba ni umaarufu tu.....ila wengi tu wameshafanya hivyo tena mpaka helicopter pale Tunduma...................
Uzinduzi wa Gari na SUA wapi na wapi? SUA wanazalisha mashine za kilimo (nenda pale college of Engineering)! shirikisha ubongo katika kufikiri kabla ya kuandikaMajamaa ya SUA yapo tu yanalisha panya
Yeah nikweli,maana ni fundi garage pale Tundumanadhani huyo wa helcopter ni zaidi.maana alifanya ufundi mwenyewe. Masoud itakua alibuni mchoro akapeleka kiwandani
Ushirikishe ubongo wako kwanza kabla ya kuandika chochote utafanikiwa sanaWivu unakusumbua
Hakuna aliye sera ho wengine don’t feserve
But this is for Masoud
Kazi ya wataalam wa SUA ni kufundisha wataalam wa kilimo na wanaifanya hiyo kazi kwa umahili mkubwa sana ndugu "Thadei" au unataka hadi washike jembe au waendeshe matrekta ya kilimo ndi ujue wanasaidia kilimo!wasaidie issue za kilimo,hata cha alizeti mafuta yapungue bei
means hapo,masoud na huyo kijana na wengine.wakusanywe govt iwape support na fundYeah nikweli,maana ni fundi garage pale Tunduma
KakopiKitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.
Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.
Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho kulifanyia maonyesho kama anavyotangaza bali aliweke barabara kulifanyia majaribio.
Daima product ya kwanza huwa ina changamoto nyingi sana na kadiri atakavyoliingiza barabarani hili la mwanzo na kulijaribu ataweza kugundua changamoto na kuzitafutia ufumbuzi kabla ya kuanza kufanya commercial production
Hongera sana Kipanya mimi naamini ulichokifanya kitaleta mapinduzi katika fani ya uhandisi nao wataanza kuwa kama wana bongofleva kila mtu anaibuka na product yake
View attachment 2175048
Poawasaidie issue za kilimo,hata cha alizeti mafuta yapungue bei
TayariUshirikishe ubongo wako kwanza kabla ya kuandika chochote utafanikiwa sana
Nafasi ni moja tu tayari wameshamtunukia kikweteHadi sasa ninashangaa kwanini chuo kikuu cha Dar es salaam hakijamtunuku kipanya PhD.