Kufanikisha kutengeneza gari, Kipanya ni shujaa

Kwa Tz Masood kilichombeba ni umaarufu tu.....ila wengi tu wameshafanya hivyo tena mpaka helicopter pale Tunduma...................
nadhani huyo wa helcopter ni zaidi.maana alifanya ufundi mwenyewe. Masoud itakua alibuni mchoro akapeleka kiwandani
 
Kwa Tz Masood kilichombeba ni umaarufu tu.....ila wengi tu wameshafanya hivyo tena mpaka helicopter pale Tunduma...................
Wivu unakusumbua

Hakuna aliye sera ho wengine don’t feserve

But this is for Masoud
 
wasaidie issue za kilimo,hata cha alizeti mafuta yapungue bei
Kazi ya wataalam wa SUA ni kufundisha wataalam wa kilimo na wanaifanya hiyo kazi kwa umahili mkubwa sana ndugu "Thadei" au unataka hadi washike jembe au waendeshe matrekta ya kilimo ndi ujue wanasaidia kilimo!
 
Kakopi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…