Kwanini usijenge nyumba na upangishe kuliko kushinda kumbi za starehe.Umesema ukweli kabisa. Ila mimi nadhani ni watanzania wote tuko hivi. Hata waliokaa ugahaibuni, kuan wenye tabia kama hizi. Kwa kifupi ni hivi: kuliko kuingia ubia na mtanzania ni bora fedha ufanyie starehe angalau uje kukumbuka ulikula good time.
Watanzania wameshajenga culture ya kuiba sehemu ya kazi. Infact kuiba kazini inaonekana kama ndiyo ujanja na usipoiba unakuwa mjinga kwa jamii.Yaani bora uamue kufanya mwenyewe badala ya kusema nafanya kazi huku na huku naajiri mtu
Hiyo biashara wanaziweza majizi serikalini ambapo hana uchungu na hela za wizi bali anatakatishia hapo kwenye mradi
Lakini kama ni hela yako ya halali usiingize kwenye biashara ukamkabidhi mtu
Nimefanya sana biashara na kuwapa vijana nikachoka na wanaume ikabidi nimkabidhi Msichana
Wiki ya kwanza stock take yuko vizuri
Wiki ya 3 akajigawia 80,000 namuuliza ananiambia mama alikuwa mgonjwa sana
Sasa mama yake ananihusu nini mimi huo ni wizi bora angeniomba nilimtimua na kufunga biashara
Wengine huwa wanasoma sana ili waibe na post wanazotafuta ni za kupiga na akipanda cheo ndio matokeo ya EPA, ESCROW na bandariMimi ni Mkristo kindakindaki lakini kamwe siwezi kufanya biashara ya kuaminiana na Mkristo, walau Waislamu nimeona ni waaminifu wengi wao. Nimefanya kazi nao wawili sikuwahi kudhulumiwa hata senti ila Hawa wengine nakubaliana nawe. Waafrika ustaarabu ni zero.
Kinao saidiwa waislamu kua na waaminifu kiasi ila sio wote ni kuogopa dhuruma wanaihimizwa sana misikitini kwamba ukila dhuruma unakula moto tupu......siku ya kiama utaletwa mbele ya ule ulio mdhurumuMimi ni Mkristo kindakindaki lakini kamwe siwezi kufanya biashara ya kuaminiana na Mkristo, walau Waislamu nimeona ni waaminifu wengi wao. Nimefanya kazi nao wawili sikuwahi kudhulumiwa hata senti ila Hawa wengine nakubaliana nawe. Waafrika ustaarabu ni zero.
Kinao saidiwa waislamu kua na waaminifu kiasi ila sio wote ni kuogopa dhuruma wanaihimizwa sana misikitini kwamba ukila dhuruma unakula moto tupu......siku ya kiama utaletwa mbele ya ule ulio mdhurumu
Hiyo nimetumia sarcasm mkuu. Kuwa; bora uzitumie kwa starehe kuliko kuingia ubia i.e. kuonyesha ubaya ya kuamini biashara ya ubia na mtanzania. Hilo unalolalamikia limeshawapata wengi. Ni utamaduni ambao umeshajijenga kwa siku nyingi. Mbaya zaidi hata wanawake siku hizi wanatapeli waume zao.Kwanini usijenge nyumba na upangishe kuliko kushinda kumbi za starehe.
Kuna kabila moja huwa wanaamini usipoiba ni mpumbavuWatanzania wameshajenga culture ya kuiba sehemu ya kazi. Infact kuiba kazini inaonekana kama ndiyo ujanja na usipoiba unakuwa mjinga kwa jamii.
Hata wahindi wana asili ya uaminifu. Mhindi hata akikupiga atahakikisha ameleta faida halafu anakata hapo kidogo. Mtanzania anakula mpaka mtaji.Kinao saidiwa waislamu kua na waaminifu kiasi ila sio wote ni kuogopa dhuruma wanaihimizwa sana misikitini kwamba ukila dhuruma unakula moto tupu......siku ya kiama utaletwa mbele ya ule ulio mdhurumu
Naam, nakubaliana na wewe. Kwenye uaminifu wa tz wengi ni chini ya sifuri.Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao waswahili walio zeekea hapa hata hajawahi kuvuka mpaka kuenda Kenya au Uganda mwaogope sana kufanya nao partenership, utakufa kwa pressure stress au fatique hao watu bado hawaja sitaharabika, kama ulaya mnavo ona kwamba bishara zinazo shamiri sana ni zile za ubia/partnership na watu wana aminiana.
Watanzania/waswahili wenzetu wana kila aina ya vitabia vibomvu awe msomi au sio msomi kama haja wahi kuishi nje ya Tanzania usimuamini kibiashara. Wengi ni:
Waongo
Sio waminifu kibiashara
Wezi
Wavivu wa kufanya kazi
Matapeli.
Wanapenda raha sana
Hupenda kuongea sana na simu hata wakati wa kazi.
Limbukeni
Wana showoff za kishamba
Wanaamini kwenye uchawi.
Wanafiki nk.
Ili limetokea kwangu ndugu na rafiki zangu zaidi ya watano the most recent ni huyu rafiki yangu wakaribu alio toka Norway baada mwaka jana ya kuka huko miaka zaidi ya 10 kukusanya mtaji. kamuka asubuhi mbia wake kakimbia na mtaji wote na ofisi imefungwa na simu zake zote hazipatikani. Jamaangu kachanganyikiwa zaidi $35,000 zimepotea anajipanga upya tena kwasbb hawezi kurudi ughaibuni tena. Jamani lindeni pesa/mitaji haipatikani kirahisi kaa mbali na marafiki wasio kuongezea thamani yoyote kwenye maisha yako.
Waswahili tuna roho mbaya sana.Hata wahindi wana asili ya uaminifu. Mhindi hata akikupiga atahakikisha ameleta faida halafu anakata hapo kidogo. Mtanzania anakula mpaka mtaji.
eeh na wewe mlonzi umepigwaa uhuroga au kumshusha bushaa aliyekupiga? 😀 😀 😀 😀Bongo ukimpa mbuzi 5 mtu mwezi mmoja tu anakuambia wamekufa wote[emoji24]
Kuna machungu sitaki kuyakumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la ubia, swala la kuajiri ndugu na watu wasio ndugu....ni kilio kikubwa Tanzania, ni nini suluhisho la kudumu la hili?Siwezi hata siku moja kumuamini mtu 100%
Waswahili wengi majizi usiamini hata awe mkurugenzi au hata waziri wote ni walewale
Lazima ufanye utafiti mkubwa sana Kama unataka kuwa na mbia na lazima nae awe na at least nusu ya mtaji unaowekeza tena kwa maandishi au awe na mradi endelevu
Sio lazima kuwa na hao unaweza kutafuta wenye asili tofauti hata kama kazaliwa hapo ila amekulia kwenye hela na kuzichezea ( sio condactor)
Kuna jamaa yangu kawekeza kwenye nchi fulani, jamaa walifungua kiwanda cha magodoro wakawa wanahitaji wabia wa kuwekeza kidogo
Akawekeza £30,000 bila kuogopa atatapeliwa yeye yuko uzunguni na kiwanda Africa na amefundishwa na jamaa zake tu
Leo anakula matunda mwaka wa 13 sasa na ni sleeping partner zinaingia kila mwezi
Bongo ukimpa mbuzi 5 mtu mwezi mmoja tu anakuambia wamekufa wote
Aya ya mwisho mkuu, naomba ongezea maelezo tafadhali!!Hata ulaya wanapigwa vile vile...
Hapa Tanzania wapo nawajua wanafanya partnership na wamefanikiwa, na hizi mambo zako za kudharau ndugu zako uache.
Tatizo lipo kwenye sheria zetu katika kulinda biashara.
Ni bahati mbaya sana watu wanakosea kuchagua wenza wa kufanya nao biashara.
Ila kingine wengi wanaamini biashara ni walk in thr park, business is hard, very hard, ikiwa ya jumla ndio balaa zaid maana Kuna madeni na gharama nyingi ambazo hukuzitarajia, Sasa kwenye partnership tatizo huwa linaanza kwenye kueleweshana unforeseen costs.
Lakini nirudie tena, njia rahisi sana ya kuwa Tajiri na kufilisika ni kufanya biashara.
Mkuu kufanya na mtu ili ufanikiwe ufanyaje? Maana naona bado watu wanapigwa pia.Kufanya biashara na ndugu au rafiki yangu ni bora hiyo biashara niifunge
[emoji1787]Yaani bora uamue kufanya mwenyewe badala ya kusema nafanya kazi huku na huku naajiri mtu
Hiyo biashara wanaziweza majizi serikalini ambapo hana uchungu na hela za wizi bali anatakatishia hapo kwenye mradi
Lakini kama ni hela yako ya halali usiingize kwenye biashara ukamkabidhi mtu
Nimefanya sana biashara na kuwapa vijana nikachoka na wanaume ikabidi nimkabidhi Msichana
Wiki ya kwanza stock take yuko vizuri
Wiki ya 3 akajigawia 80,000 namuuliza ananiambia mama alikuwa mgonjwa sana
Sasa mama yake ananihusu nini mimi huo ni wizi bora angeniomba nilimtimua na kufunga biashara
Ina maana una-generalize kuwa Watanzania wote ambao hawana exposure nje ni wezi na waongo?Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao waswahili walio zeekea hapa hata hajawahi kuvuka mpaka kuenda Kenya au Uganda mwaogope sana kufanya nao partenership, utakufa kwa pressure stress au fatique hao watu bado hawaja sitaharabika, kama ulaya mnavo ona kwamba bishara zinazo shamiri sana ni zile za ubia/partnership na watu wana aminiana.
Watanzania/waswahili wenzetu wana kila aina ya vitabia vibomvu awe msomi au sio msomi kama haja wahi kuishi nje ya Tanzania usimuamini kibiashara. Wengi ni:
Waongo
Sio waminifu kibiashara
Wezi
Wavivu wa kufanya kazi
Matapeli.
Wanapenda raha sana
Hupenda kuongea sana na simu hata wakati wa kazi.
Limbukeni
Wana showoff za kishamba
Wanaamini kwenye uchawi.
Wanafiki nk.
Ili limetokea kwangu ndugu na rafiki zangu zaidi ya watano the most recent ni huyu rafiki yangu wakaribu alio toka Norway baada mwaka jana ya kuka huko miaka zaidi ya 10 kukusanya mtaji. kamuka asubuhi mbia wake kakimbia na mtaji wote na ofisi imefungwa na simu zake zote hazipatikani. Jamaangu kachanganyikiwa zaidi $35,000 zimepotea anajipanga upya tena kwasbb hawezi kurudi ughaibuni tena. Jamani lindeni pesa/mitaji haipatikani kirahisi kaa mbali na marafiki wasio kuongezea thamani yoyote kwenye maisha yako.
[emoji1787]Ndo mana mi ubia na ndugu ni kumfungulia genge la mboga na matunda au kijiwe cha kahawa tu. Ili mizinga ipungue
Tatizo linaanza tangu udogoni yaani mtoto anaona mwalimu anaiba chakula cha wanafunzi (ushuhuda upo)Swala la ubia, swala la kuajiri ndugu na watu wasio ndugu....ni kilio kikubwa Tanzania, ni nini suluhisho la kudumu la hili?
Kuwajenga watoto tangu wakiwa wadogo... nimekuelewa mkuu.Tatizo linaanza tangu udogoni yaani mtoto anaona mwalimu anaiba chakula cha wanafunzi (ushuhuda upo)
Na yeye anaiba kalamu ya mwanafunzi baada ya kupoteza ya kwake
Mtoto hafuatiliwi na mzazi na haangalii bag lake
Mtoto haulizi kalamu kumbe mwizi
Wafundisheni watoto kuwa na maadili na pia msiwafanye wasiijue hela wapeni hata 200 mara moja moja hata 500 sawa azoee hela
Sasa kama msukuma anasema alikuwa anaiba dhahabu kupitisha mpakani unategemea mtoto akimuona kiongozi anaongea hivyo au mwanae ataacha kuwa mwizi?
Sisi tulikuwa tunapewa hela kuzihesabu tulipokuwa wadogo na tulikuwa tunaona jambo la kawaida na tumekuwa tunaziona