Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

Nilikuwa na kiwanda kidogo Cha mikate miaka mikumi iliyopita tulikuwa tunafanya delivery madukani niliona tatizo hili la biashara nyingi za mitaani kushindwa kukua na mwisho wake kufungwa nikagundua makosa hayo yanayofanyika

Mfanyabiashara mwenye mtaji wa million 3-5 anaona ni sawa kupata faida ya laki 3- 6 kwa mwezi kwake ni sawa

Lakini kwa kawaida kwa mtaji huo wa million 3-5 ili biashara yako ikuwe ni lazima upate faida ya kuanzia
mil 1 - 1.5 kwa miezi 10 tu utakuwa umefunga faida ya million 10
Ohooo!
 
Ndomana biashara ya duka la mangi sitokaa niifanye maana itanitia hasira nitatukana wateja bure imagine mtu anataka kibiriti cha sh 100 au kiwembe cha 100...hawa jamaa wanaouza maduka ya mangi wana uvumilivu sana aisee!
Mtoa mada yupo sahihi,faida atleast iwe asilimia 30 apo watu watapata faida na biashara zitakuwa!
Pakiti ya viberiti 10 inauzwa 400, ukiuza rejareja kwa 100 unapata faida ya 600!! Hii ni % ngapi??
 
Biashara za rejareja/jumla hasa vyakula(maduka ya mangi) zina faida ndogo sana. Kiroba cha ngano mtu ananunua 40k anauza 41k, yaani faida ya buku kwenye mtaji wa 40k, na wakati huo ni ngumu kuuza viroba kumi kwa siku. Anayeuza rejareja auze kilo 25 ni lini...
Ni biashara kichaa na kula hasara ni sawa na kugusa, sasa njoo kwenye kuuza Vocha, aisee.
 
1. Mkuu ukiwauliza hao wauza maduka sidhani kama wana ndoto za kuwa Mo au Bakhresa.. Wanataka mahitaji yao yapatikane tu

2. mangi shops zinaweza kuingiza faida ukikaa sehemu yenye location nzuri lakini pia uwe na extra service mfano za kutoa pesa na vinywaji ambazo kiasi huwa zinaongeza faida

3. Mangi shops hazitakiwi kutegemewa kwa 100%, yani chakula na ada humo humo. Hapo ni ngumu kukua ndio maana wengi wanaweza kuwa na duka ila ana boda boda zinamletea hesabu

kiufupi uliyoongea mengi ni kweli mkuu
 
Vaykula vingi na vinywaji vinavyouzwa kwa supermarkets bei ni cheaper ukilinganisha na maduka ya mtaani huko..
ukizingatia bei za supermarket ni pamoja na VAT inclusive
 
Utoshe kusema mtoa post umeandika pumba tupu
Nimesoma comment zote kwa kina lakini bado hujaonesha namna ya kupata faida pindi ww utakapo uza bidhaa kwa gharama kubwa huku mwenzio akiuza kwa gharama ndogo (halisia)

Kuna kitu kimoja mtoa post huelewi, faida inapokua ndogo sio zambi muhimu ni mzunguko kama caton unapata faida ya 500 na zinatoka tano kwa siku sio mbaya kumbuka unauza na vitu vingine
 
Utoshe kusema mtoa post umeandika pumba tupu
Nimesoma comment zote kwa kina lakini bado hujaonesha namna ya kupata faida pindi ww utakapo uza bidhaa kwa gharama kubwa huku mwenzio akiuza kwa gharama ndogo (halisia)

Kuna kitu kimoja mtoa post huelewi, faida inapokua ndogo sio zambi muhimu ni mzunguko kama caton unapata faida ya 500 na zinatoka tano kwa siku sio mbaya kumbuka unauza na vitu vingine
Majibu yote nimeshayatoa humu jinsi ya kutengeneza faida ya kuanzia asilimia 20 na kuendelea kwa biashara za mitaani
 
Nilikuwa najiuliza kwa muda mrefu kwanini hizi biashara za mtaani kwanini hazikui kwanini watu hawatajiriki nyingi zinakufa

Biashara hizi zilizopo mtaani
Maduka ya vitu vya rejareja
Maduka ya vipodozi
Wachoma chips
Migahawa
Maduka ya dawa nk

Kwanini sasa biashara hizi watu hawatajiriki au kupata mafanikio makubwa sababu kubwa ni kuwa kutokuwa na elimu

Biashara za mtaani hazihitaji mauzo makubwa zinazohitaji faida kubwa

Kuna jambo moja wafanyabiashara wa mitaani hawafahamu unavyofanya biashara ni lazima ujue upo kwenye level gani

Ipo hivi kwenye biashara kama biashara yako kila bidhaa unayouza inakupa faida ya asilimia 5-10 biashara yako itakutaka uuze zaidi ya wilaya 2 ili upate faida na wengi wamefanikiwa wafanyabiasha na Mo na Azam wanasambaza energy nchi nzima kila enery faida haizidi sh 100

Jibu nikaja kupata hapa kwanini wafanyabiashara wa mtaani hawafanikiwi wanatafuta faida ndogo sawa na mtu kama Azam huku wao wanauza mtaa mmoja

Maduka ya rejareja energy inapatikana kwa 700 lakini kwa mfanyabiashara makini atauza energy 1000 sababu ukiuza 700 kwenye katoni ya juisi 12 faida 500 ni faida ndogo sana haitokufikisha popote

Anaetengeneza vocha anauza nchi nzima huku wewe unauza mtaani kwako tu vocha za shilingi elfu 20 faida haizidi 1000 kuna kutajirika hapa wadau ebu tujiongeze

Makampuni ya soda yanawataka muuze soda 700 lakini kiuhalisia soda inatakiwa iuzwe 1000 ili upate faida ukiuza soda 700 ni kama unawafanyia wenye makampuni faida utayoipata ni mbuzi

Nimekuja kujifunza kwanini ukienda supermarket bei zinaongezeka kidogo nimegundua biashara wanaifanya kisomi na ndio mana wanazidi kutajirika kama biashara hakuna wateja mtu anaona Bora afunge kuliko kuendelea kupoteza muda muuzaji wa rejareja ni lazima upandishe vitu bei ukiuza bei Ile ya soko linavyotaka ni kama kupoteza muda tu
Unachosema ni sahihi lakini inaonekana Kuna vitu hauvifahami
 
Nilikuwa na kiwanda kidogo Cha mikate miaka mikumi iliyopita tulikuwa tunafanya delivery madukani niliona tatizo hili la biashara nyingi za mitaani kushindwa kukua na mwisho wake kufungwa nikagundua makosa hayo yanayofanyika

Mfanyabiashara mwenye mtaji wa million 3-5 anaona ni sawa kupata faida ya laki 3- 6 kwa mwezi kwake ni sawa

Lakini kwa kawaida kwa mtaji huo wa million 3-5 ili biashara yako ikuwe ni lazima upate faida ya kuanzia
mil 1 - 1.5 kwa miezi 10 tu utakuwa umefunga faida ya million 1

Nilikuwa najiuliza kwa muda mrefu kwanini hizi biashara za mtaani kwanini hazikui kwanini watu hawatajiriki nyingi zinakufa

Biashara hizi zilizopo mtaani
Maduka ya vitu vya rejareja
Maduka ya vipodozi
Wachoma chips
Migahawa
Maduka ya dawa nk

Kwanini sasa biashara hizi watu hawatajiriki au kupata mafanikio makubwa sababu kubwa ni kuwa kutokuwa na elimu

Biashara za mtaani hazihitaji mauzo makubwa zinazohitaji faida kubwa

Kuna jambo moja wafanyabiashara wa mitaani hawafahamu unavyofanya biashara ni lazima ujue upo kwenye level gani

Ipo hivi kwenye biashara kama biashara yako kila bidhaa unayouza inakupa faida ya asilimia 5-10 biashara yako itakutaka uuze zaidi ya wilaya 2 ili upate faida na wengi wamefanikiwa wafanyabiasha na Mo na Azam wanasambaza energy nchi nzima kila enery faida haizidi sh 100

Jibu nikaja kupata hapa kwanini wafanyabiashara wa mtaani hawafanikiwi wanatafuta faida ndogo sawa na mtu kama Azam huku wao wanauza mtaa mmoja

Maduka ya rejareja energy inapatikana kwa 700 lakini kwa mfanyabiashara makini atauza energy 1000 sababu ukiuza 700 kwenye katoni ya juisi 12 faida 500 ni faida ndogo sana haitokufikisha popote

Anaetengeneza vocha anauza nchi nzima huku wewe unauza mtaani kwako tu vocha za shilingi elfu 20 faida haizidi 1000 kuna kutajirika hapa wadau ebu tujiongeze

Makampuni ya soda yanawataka muuze soda 700 lakini kiuhalisia soda inatakiwa iuzwe 1000 ili upate faida ukiuza soda 700 ni kama unawafanyia wenye makampuni faida utayoipata ni mbuzi

Nimekuja kujifunza kwanini ukienda supermarket bei zinaongezeka kidogo nimegundua biashara wanaifanya kisomi na ndio mana wanazidi kutajirika kama biashara hakuna wateja mtu anaona Bora afunge kuliko kuendelea kupoteza muda muuzaji wa rejareja ni lazima upandishe vitu bei ukiuza bei Ile ya soko linavyotaka ni kama kupoteza mud

Nilikuwa najiuliza kwa muda mrefu kwanini hizi biashara za mtaani kwanini hazikui kwanini watu hawatajiriki nyingi zinakufa

Biashara hizi zilizopo mtaani
Maduka ya vitu vya rejareja
Maduka ya vipodozi
Wachoma chips
Migahawa
Maduka ya dawa nk

Kwanini sasa biashara hizi watu hawatajiriki au kupata mafanikio makubwa sababu kubwa ni kuwa kutokuwa na elimu

Biashara za mtaani hazihitaji mauzo makubwa zinazohitaji faida kubwa

Kuna jambo moja wafanyabiashara wa mitaani hawafahamu unavyofanya biashara ni lazima ujue upo kwenye level gani

Ipo hivi kwenye biashara kama biashara yako kila bidhaa unayouza inakupa faida ya asilimia 5-10 biashara yako itakutaka uuze zaidi ya wilaya 2 ili upate faida na wengi wamefanikiwa wafanyabiasha na Mo na Azam wanasambaza energy nchi nzima kila enery faida haizidi sh 100

Jibu nikaja kupata hapa kwanini wafanyabiashara wa mtaani hawafanikiwi wanatafuta faida ndogo sawa na mtu kama Azam huku wao wanauza mtaa mmoja

Maduka ya rejareja energy inapatikana kwa 700 lakini kwa mfanyabiashara makini atauza energy 1000 sababu ukiuza 700 kwenye katoni ya juisi 12 faida 500 ni faida ndogo sana haitokufikisha popote

Anaetengeneza vocha anauza nchi nzima huku wewe unauza mtaani kwako tu vocha za shilingi elfu 20 faida haizidi 1000 kuna kutajirika hapa wadau ebu tujiongeze

Makampuni ya soda yanawataka muuze soda 700 lakini kiuhalisia soda inatakiwa iuzwe 1000 ili upate faida ukiuza soda 700 ni kama unawafanyia wenye makampuni faida utayoipata ni mbuzi

Nimekuja kujifunza kwanini ukienda supermarket bei zinaongezeka kidogo nimegundua biashara wanaifanya kisomi na ndio mana wanazidi kutajirika kama biashara hakuna wateja mtu anaona Bora afunge kuliko kuendelea kupoteza muda muuzaji wa rejareja ni lazima upandishe vitu bei ukiuza bei Ile ya soko linavyotaka ni kama kupoteza muda tu
Mara nyingi biashara za Mangi huwaga faida yake ni 20-25% na mfanyabiashara akifuata kanuni hiyo ni rahisi sana kuendelea mbele.Mfano energy sehemu nyingi bei ya jumla ni elfu 12. Rejareja wanauza 14400 ukifanya mahesabu faida ni 20% kwa bei ya mia 6 per piece kama bei ikiwa Zaid itakiwa kubwa zaidi.So ikitokea Mangi akauza laki 2 kwa siku ujue gross faida yake kwa mwezi ni 1-1.5M.Ni biashara ngumu lakini ikifanywa kwa kufuata misingi yake Ina faida kubwa sana.
 
Huyu aliendika hii mada ana matatizo ya akili, eti pandisha bei ya bidhaa? Hao wateja utawapata wapi baada ya kupandisha bei?.

Haujui kwamba biashara imebebwa na ushindani? au unafikiri hiyo location utafungua peke yako? nyie ndio wale mna akili za kukalili vitu badala ya kuangalia uhalisia wa vitu
 
Huyu aliendika hii mada ana matatizo ya akili, eti pandisha bei ya bidhaa? Hao wateja utawapata wapi baada ya kupandisha bei?.

Haujui kwamba biashara imebebwa na ushindani? au unafikiri hiyo location utafungua peke yako? nyie ndio wale mna akili za kukalili vitu badala ya kuangalia uhalisia wa vitu
Usinibishie hichi nilichoandika hapa Nipo kwenye business mwaka wa kumi nauzoefu mkubwa naona jinsi biashara za mtaani zinavyoshindwa kukua au kushindwa kuleta matokeo

Kuna makosa madogo yanayofanyika katika upangaji wa bei za bidhaa

Mfano mkoa niliopo energy ya mo madukani mengi wanauza 500 faida yake ni 10%-15% wafanyabiashara makini ukienda kwenye duka lake anauza energy hiyo hiyo kwa 600 faida ya 20%-25 kaongeza sh 100 mteja hawezi kuondoka sababu ya ongezeko hilo nazani umeona gap hilo la faida hapo utapojifunza kwanini biashara moja lakini wanaofanikiwa ni wachache

Hii shilingi 100 inayoongezeka ni kubwa sana kwa mfanyabiashara anayezingatia mauzo yake ya mwezi mzima au mwaka
 
Usinibishie hichi nilichoandika hapa Nipo kwenye business mwaka wa kumi nauzoefu mkubwa naona jinsi biashara za mtaani zinavyoshindwa kukua au kushindwa kuleta matokeo

Kuna makosa madogo yanayofanyika katika upangaji wa bei za bidhaa

Mfano mkoa niliopo energy ya mo madukani mengi wanauza 500 faida yake ni 10%-15% wafanyabiashara makini ukienda kwenye duka lake anauza energy hiyo hiyo kwa 600 faida ya 20%-25 kaongeza sh 100 mteja hawezi kuondoka sababu ya ongezeko hilo nazani umeona gap hilo la faida hapo utapojifunza kwanini biashara moja lakini wanaofanikiwa ni wachache

Hii shilingi 100 inayoongezeka ni kubwa sana kwa mfanyabiashara anayezingatia mauzo yake ya mwezi mzima au mwaka
Mkoa gani kaka energy wanaouza bei hiyo
 
Mkoa niliopo mo energy inauzwa 500
Haupo, maana bei ya jumla ndoo hiyo ya 500 kwa Azam energy labda hizo energy zingine kama pawa,na Mo extra energy ambazo hata rejareja wanauza 500 maana bei ya jumla iko chini compared to Azam energy
 
Mara nyingi biashara za Mangi huwaga faida yake ni 20-25% na mfanyabiashara akifuata kanuni hiyo ni rahisi sana kuendelea mbele.Mfano energy sehemu nyingi bei ya jumla ni elfu 12. Rejareja wanauza 14400 ukifanya mahesabu faida ni 20% kwa bei ya mia 6 per piece kama bei ikiwa Zaid itakiwa kubwa zaidi.So ikitokea Mangi akauza laki 2 kwa siku ujue gross faida yake kwa mwezi ni 1-1.5M.Ni biashara ngumu lakini ikifanywa kwa kufuata misingi yake Ina faida kubwa sana.
Ni kweli biashara inahitaji misingi faida inapatikana
 
Hapa umenifumbua macho..... It's true ukifanya biashara center unahudumia wilaya zaidi ya moja🤔🤔🤔

Mleta mada anamaanisha lazima ulijue soko lako vizuri sio unaenda kama ng'ombe........ Umejificha maporini huko sijui unatafuta nn,, pesa au uchawi🚶🚶
 
Kukosa tu elimu kwa wafanyabiashara wengi wanashusha bei ili wauze sana bila kufikiria faida lakini naamini siku za mbeleni watu wataelimika bei iyo ndio halali kabisa inawezekana kabisa kuuza kwa bei hiyo Kuna watu hawanywi pombe kabisa watanunua
Wakipandisha Bei ni project ikatiki hata mzalishaji atapandisha bei
 
Back
Top Bottom