Kufanya ngono na kila mwamke anaekatiza mbele yako sio ujanja ni kujitafutia mikosi

Sasa ushuhuda wa nini bwana wewe...hamnaga vitu kama hivyo kama mbususu tumekuwa tunazichakata muda tena malaya kabisaaaa na bado maisha yanaenda tuu
Ujakutana na pisi ambazo hazina Kismat
 
Sisi wabishi tutakueleza kwamba uache WIVU!
NB:Siyo kila mwanamke unayelala naye atakuwa na mikosi akuambukize/akuachie.Unaweza kukuta mimi ndiye mwenye mikosi namuachia yeye.
NB:Tukariri mathematical tables tu.Mikosi tuachie ngedere.
 
Sisi wabishi tutakueleza kwamba uache WIVU!
NB:Siyo kila mwanamke unayelala naye atakuwa na mikosi akuambukize/akuachie.Unaweza kukuta mimi ndiye mwenye mikosi namuachia yeye.
NB:Tukariri mathematical tables tu.Mikosi tuachie ngedere.
Uzuri mifano ya wazi ipo
 
sio mikos tu ata magonjwa ya akili ukiwa na mapepo 50 ya aina tofauti kichwani kweli utakuwa timamu
Na je katika wanawake 50 watakosekana Ata watano wenye mapepo kumi kumi yakushambulie kichwa😂
 
True Uzinzi Ni gharama[emoji26]
 
Hii kitu imenikuta Kama Mara kadhaa kwa fundi cherehani,Kipind hicho sijajua km anajiuza.

Yaan Nishapata ajali mbili mbaya sn,zote nmetoka kukutana nae.

Achilia mbali breakdown Kama 4 hivi kila nikiazima chombo ya mtu ili nikaonane nae.

Mambo mengn sijawai fatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…