Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
akipigiwa simu utasikia ms3nge gani tena zaizi, anaharibu stimudronedrake naona kashawasha vp n🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akipigiwa simu utasikia ms3nge gani tena zaizi, anaharibu stimudronedrake naona kashawasha vp n🥲
Mama j bado mnamuwinda😅😅😅😅😅😅Umetokea wapi na wewe tena🤣🤣🤣🤣
Mishangazi ni siku za mechi tuu. Hapa nasubiria tarehe 28 pale taifa tukaburudike na mishangazi ya yanga.
Simba wametuangusha mwaka huu.
hahaha natumia pc mzeeakipigiwa simu utasikia ms3nge gani tena zaizi, anaharibu stimu
Dronedrake ameunga mkono hojadronedrake njoo utie neno hapa
🤣🤣🤣🤣🤣 Tarehe 28 hiyo pale taifa patatokea mengiMama j bado mnamuwinda😅😅😅😅😅😅
Kismat gani tenaUjakutana na pisi ambazo hazina Kismat
Uzuri mifano ya wazi ipoSisi wabishi tutakueleza kwamba uache WIVU!
NB:Siyo kila mwanamke unayelala naye atakuwa na mikosi akuambukize/akuachie.Unaweza kukuta mimi ndiye mwenye mikosi namuachia yeye.
NB:Tukariri mathematical tables tu.Mikosi tuachie ngedere.
Kuwahimili binadamu wote kwa wakati wote ni ngumu.Vumilia.Uzuri mifano ya wazi ipo
Mbona nilishakutama nayo ikanipa ngoma sasa unataka nikutane na ipi nyingineZenye nuxi
True Uzinzi Ni gharama[emoji26]Hapa Dar es salaam gharama za kukutana na demu moja japo mara moja kwa siku kwenye guest, hiya hapa.
Guest house sh. 20,000.
Ngao. 1000
Usafiri wa bajaji 7000.
Chakula na vijwaji. 12000
Pesa ya kumuaga demu 10,000.
Jumla. 50,000.
Kwa mwezi kama unakutana nae mara 4. Hiyo ni 200,000 hiyo hapo hamna miziga mingine. Ukiwa na demu watatu ni 600,000 kwa mwezi
Sasa niambie we mtumishi mwenye mshahara 800,0000 utatoboa je kwa ngono kama hizo? Kwasabb unabakiza 200000 kwenye mshahara wako.