Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Hata ukiwa na mchumba kabla ya ndoa ni dhambi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alisema ni dhambi?Hata ukiwa na mchumba kabla ya ndoa ni dhambi.
Kamati ya dhambiNani alisema ni dhambi?
Dakika za mwishoni,baada ya kuridhika na tabia zake Ili usiuziwe mbuziKwa hiyo kutest mitambo ni muhimu
Dini za wavaa makobazi tabu sanaKwa mujibu wa dini ya uislamu dhambi ya uzinzi ina uzito mkubwa kuliko hata dhambi ya kuuwa sijajua kwa upande wa pili.
Na msiikaribie zinaa maana zinaa ni uchafu.
Kwa nini mkuu?Dunia iko ukingoni
Nina mashaka na hiyo kamatiKamati ya dhambi
Ndoa ni nini?Tumia jina jingine, ushasema TENDO LA NDOA, basi inapaswa kufanyiwa kwenye ndoa.
Na kwanini waliipa uzito mkubwa?Kwa mujibu wa dini ya uislamu dhambi ya uzinzi ina uzito mkubwa kuliko hata dhambi ya kuuwa sijajua kwa upande wa pili.
Na msiikaribie zinaa maana zinaa ni uchafu.
Wengi hawawezi kuvumilia, wewe utaweza?Inategemeana na nyege mshindo zenu
Sijaja hapa kukashifiana na ww wala sija kulazimisha uamini kwa hiyo kuwa na akili na heshima.Dini za wavaa makobazi tabu sana
Yaani kutoa roho ya mtu ni kitu kidogo tofauti na kugegedana?
No wonder al shabab na wenzenu ni kawaida kujilipua
Aliye ipa huo uzito ndo anajua ni kwann amepa huo uzito.Na kwanini waliipa uzito mkubwa?
Nani alikupata utashi wa kujua/kutambua uchakatajia?Aliye sema ni dhambi ni nani?