Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamfanyi yote hayo na bado mnadharauliwa?1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
Hapo nachoweza msaidia labda kuogesha mtoto na kumsaidia kupika ILA kudeki, kuosha vyombo na KUFUA NGUO ZAKE ZA NDANI katu abadan siwezi1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
Wengi hawafanyi hayo na bado wanadharaulika. Naunga mkono SI KWELIDuh sio kweli
Sio kweli vipi mwanetu ,kwani umeshavuta jiko tena ?Duh sio kweli
Una miaka mingapi?1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
Ndo tabu ya kukimbia ilmu yetu ungepata aya hii kidogo mwanamke hakusumbui
View attachment 3183877
Zingatia hiyo cha chini hapo🤣🤣
Sijavuta mkuu ila sifikiri kama inaweza kuwa sababuSio kweli vipi mwanetu ,kwani umeshavuta jiko tena ?
Hawa viumbe hawaeleweki ndiyo maana Mimi napendeleaga nikiwa kwenye huo utumbo sijui mahusiano niwe najifulia tunguo twangu ,kuhusu kula ni migahawani nyumbani nifanye addition asijehisi siwezi ishi bila yeye
Kumbuka mwanamke ni binadamu kama ulivyo wewe, kama ni kuchoka naye anachoka pia, ni vyema kutanguliza upendo na kusaidiana. Mwanamke akiamua kukudharau anaweza kufanya hivyo wakati wowote na bila ya wewe kufahamu sababu ni kitu gani .1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
Nakazia hapaFanya unachofanya ila upendo kwanza
Kukiwa hakuna upendo hata ufanye au usifanye chochote hakuna kitakachobadilika
Na kwenye upendo hakuna dharau
Mke wangu hata kama anaumwa hajawahi kuniruhusu ingawa sometime huwa naona nifanye mwenyewe.1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
DuhSio kweli vipi mwanetu ,kwani umeshavuta jiko tena ?
Hawa viumbe hawaeleweki ndiyo maana Mimi napendeleaga nikiwa kwenye huo utumbo sijui mahusiano niwe najifulia tunguo twangu ,kuhusu kula ni migahawani nyumbani nifanye addition asijehisi siwezi ishi bila yeye
Labda kama huna hela.1.kuosha vyombo
2.kudeki ndani
3.kutandika kitanda
4.kupika
5.kuogesha mtoto
6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo
NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
Pole mwanetu naona ulishawakatia tamaa😅Sio kweli vipi mwanetu ,kwani umeshavuta jiko tena ?
Hawa viumbe hawaeleweki ndiyo maana Mimi napendeleaga nikiwa kwenye huo utumbo sijui mahusiano niwe najifulia tunguo twangu ,kuhusu kula ni migahawani nyumbani nifanye addition asijehisi siwezi ishi bila yeye