Kufariki kwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne Thaqaafa Sec Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 20/03/2022, uzembe wa shule hii umulikwe

Kufariki kwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne Thaqaafa Sec Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 20/03/2022, uzembe wa shule hii umulikwe

Hii shule Marehemu Ustadhi Ilunga Hassan Kapungu aliiacha Sehemu Salama Sana na aliwaachia usia mzito mno

Moja ya jambo aliwaambia ni kuto kugombea madaraka shuleni Hapo Hilo alisisitiza saana mnooo

Sasa Huenda Hilo jambo limerudi Tena shuleni Hapo.
 
Huu sasa ni upuuzi, kama mtu anasema anaumwa, si umpeleke kwenye hospitali hiyo iliyokaribu ili apimwe, kama haumwi anasingizia si itaonekana tu? Sasa hiyo kuzurura inatoka wapi? Wawajibishwe haraka sana! Halafu angalieni na majina ya shule , ‘Thaqaafa’ , just imagine..
Mkuu kweli jina kama kifo, ta-kafa! Inafikirisha Sana!
 
Huyu madam Opiyo mwenye sura ya kiume, alitupiga sana mboko, ana roho ngumu kama ngozi ya mamba. Naomba serikali ichukue hatua hakuna namna.
Hahaha mwaka gani ulipita pale
 
Cc sumbai
Kama nimekutag kimakosa niwie radhi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hujanitag kimakosa. Wadogo zangu walisoma hapo.

Hiyo shule inachangamoto saana yakinidham kwa watoto

Wadogo zangu walikuwa wazururaji saana. Wanatoroka shule usiku. Miaka hiyo walikuwa wanamakundi ya kuvuta bangi kabisaaa.

Ila huyo madame opiyo wanamsema vibaya tuu lakin alikuwa ndio discipline alikuwa mkali wnaamuogopa. Atleast yeye ndio alisimama kidete paka wakamaliza salama.

Mungu ambariki madame opiyo. Poleni wama thakafa kwa mkasa huu

Makiwendo
 
Shida inaletwa na madam Opiyo kwanini anafanya maisha kuwa magumu kwa wanafunzi/ wanetu?

Hii haipo sawa inaleta shida na mvunjiko wa Mila shule ni mult religious why christians have no place for religious while Islamic have?

This isn't fair wewe unadhani watoto hawana dini?

Tuwe fair
Ile ni shule ya dini. Acha kulalamika
 
Mzee wangu aliniletea joining instruction ya hiyo shule lakini kabla sijaijaza nikapata taarifa za ki-intelijensia kwamba wanachapa sana hapo so nikaghaili kwenda
 
Shule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA!

Wengi hawajui.
🤣wanachuo wanatandikwa bakora hapo, clip imo humu imeletwa juzi
 
Back
Top Bottom