Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 603
- 512
Yeah, ni ya kiislam......Ni Shule ya kiislam? Kwa kawaida the best schools na malezi mazuri no kwa Shule za kikristo, by the way mimi mwislam
RIP ISSA PETERPatron walimfukuza baada ya kudai mishahara yake Soo sofar Opiyo ndo kila kitu ni shida wakuu
Rip mwanetuRIP ISSA PETER
Alikuwa bado mdogo sana ila opio yule kiumbe hakifai hapa duniani sasahivi shule ile naskia yote yakeRip mwanetu
Mkuu kweli jina kama kifo, ta-kafa! Inafikirisha Sana!Huu sasa ni upuuzi, kama mtu anasema anaumwa, si umpeleke kwenye hospitali hiyo iliyokaribu ili apimwe, kama haumwi anasingizia si itaonekana tu? Sasa hiyo kuzurura inatoka wapi? Wawajibishwe haraka sana! Halafu angalieni na majina ya shule , ‘Thaqaafa’ , just imagine..
Hahaha mwaka gani ulipita paleHuyu madam Opiyo mwenye sura ya kiume, alitupiga sana mboko, ana roho ngumu kama ngozi ya mamba. Naomba serikali ichukue hatua hakuna namna.
Nilisoma o level form 1 adi 4Hahaha mwaka gani ulipita pale
2007-2010Hahaha mwaka gani ulipita pale
kwahiyo unamfokea nani sasa!Nina hasira zangu na msiba wa mwanafunzi mniache.
Mkeo Opiyo HMkwahiyo unamfokea nani sasa!
Wala hujanitag kimakosa. Wadogo zangu walisoma hapo.
Ile ni shule ya dini. Acha kulalamikaShida inaletwa na madam Opiyo kwanini anafanya maisha kuwa magumu kwa wanafunzi/ wanetu?
Hii haipo sawa inaleta shida na mvunjiko wa Mila shule ni mult religious why christians have no place for religious while Islamic have?
This isn't fair wewe unadhani watoto hawana dini?
Tuwe fair
Kwamba hatulipi Ada au una maana gani mkuu?Ile ni shule ya dini. Acha kulalamika
Hamisha mwanao mkuuu. Mpeleke buhongwa secKwamba hatulipi Ada au una maana gani mkuu?
Wanamaliza 6 this yr Buhongwa nenda we kasomeHamisha mwanao mkuuu. Mpeleke buhongwa sec
Wanamaliza 6 this yr Buhongwa nenda we kasomeHamisha mwanao mkuuu. Mpeleke buhongwa sec
🤣wanachuo wanatandikwa bakora hapo, clip imo humu imeletwa juziShule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA!
Wengi hawajui.