Kufika Mahakamani ni Haki yetu, si kosa Kisheria

Mtakong’otwa mpaka mtachakaa.
Muroto legacy
 
Mtakong’otwa mpaka mtachakaa.
Muroto legacy
Kukong'otwa ilikuwa zamani. Zama hizi tuna kong'otana.


Kuchakaa? Tutachakazana!

Kama gharama ni kuchakaa tu hiyo mbona ni ndogo mno? Ipo zaidi ya kufa?

Kama kufa hatuhofii tena labda utuonyeshe kitakacho togofya.
 
Si unywe sumu
 
Si unywe sumu

Umeandika kwa uchungu sana.

Kawaambieni wanaowatuma sumu mtakunywa nyinyi. Kwa maana hiyo haimo kwenye gharama zetu za kulipa:


Habari ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…