Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukong'otwa ilikuwa zamani. Zama hizi tuna kong'otana.Mtakong’otwa mpaka mtachakaa.
Muroto legacy
Chadema hayajui ni kipi cha kufanya.Kwenda kwa yeyote kunakuhusu nini wewe mjumbe uliyejiunga ukitokea msibani buseresere?
View attachment 1880456
Si unywe sumuKukong'otwa ilikuwa zamani. Zama hizi tuna kong'otana.
Kudai haki hakuwezi kuwa bila gharama
Kuna thwawabu kubwa kwa wote wasimamao kuipigania haki kwa ajili ya wote. Kwa maana njia hiyo si kila mtu anaweza kuipita. Njia hii si lazima kwa kila mtu kuipita. Waipitao njia hii ni wale tu walio na wito kamili. Kama ile iendayo uzimani, ina vikwazo vingi. Kipi ambacho kamanda Mbowe...www.jamiiforums.com
Kuchakaa? Tutachakazana!
Kama gharama ni kuchakaa tu hiyo mbona ni ndogo mno? Ipo zaidi ya kufa?
Kama kufa hatuhofii tena labda utuonyeshe kitakacho togofya.
Chadema hayajui ni kipi cha kufanya.
Zero brain big Mouth.
Si unywe sumu