Kufikia 2030 tutahitajika kujenga minara ya viongozi hawa wawili ingawa tutafika tukiwa tumechoka sana

Kufikia 2030 tutahitajika kujenga minara ya viongozi hawa wawili ingawa tutafika tukiwa tumechoka sana

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF,

Nchi kuanzia mwaka 2015 ilianza kupitia mabadiliko makubwa sana ya kimipango na kimiradi, madilikohaya yameletwa na watu wawili ambapo by 2030 kuna uwezekano mkubwa baadhi ya matatizo yakawa ni historia.

1. Hayati Magufuli ,alianzisha mipango/mifumo na miradi ambayo hata yeye hatujui kama angeikamilisha maana mingine ni miradi ambayo imewashinda ma rais wengine kwa zaidi ya miaka 50.

2. Rais mama Samia, anatekeleza kwa vitendo mambo aliyoyaacha mtangulizi wake JPM na mengine mapya mengi. Na kwa kasi aliyonayo by 2030 kuna uwezekano mkubwa baadhi ya matatizo ikawa history mfano suala la Umeme na mengine.

Hivyo katika kipindi cha 2015 -2030 Nchi itashuhudia maendeleo makubwa sana ambayo tumeshindwa fanya katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 sifa zote zikienda kwa Hayati JPM na Rais wangu Mama Samia.

Je, kutakuwa na shida tukitambua mchango wao kwa kuwajengea minara ya kipekee pale Dodoma ifikapo 2030? Najua tutakuwa tumechoka sana sababu maendeleo haya tutayapata kwa jasho.​
 
Acha kujifunza kuvuta bangi ukiwa umejifungia chooni. Wanachopaswa kufanya viongozi wa kisiasa nchini Tz ni zaidi ya hizo hadithi zako ila kwakuwa Watanzania walio wengi hurizika kwa kupewa flana,kofia na kitenge kwa mara moja ndani ya miaka mi 5 ndiyo maana wanasiasa wakifanya robo ya walichopaswa kufanya wewe unawashangilia km unavyo fanya hapa.

Kwa rasilimali zilizopo Tz tusingekuwa tunazungumzia utengenezaji wa madawati,ujenzi wa miundombinu ya maji,vyumba vya madarasa nk kwakuwa inapofanyika sensa hutoa dira ya maendeleo ya baadae lkn kinachofanyika ni kinyume.

Dhibiti mapato kutoka TANAPA,MADINI,MAZAO YA MISITU na mengineyo lkn viongozi wanadhibiti ili waibe wao na hiki ndicho alichokuwa akifanya mmoja kati ya unao wapigia debe hapo.

Mpaka kesho tunaimiza kilimo wakati shuleni hawasomi kilimo halafu unapuliza moshi wa bangi zako hapa. Tunazungumzia sayansi na tekenolijia wakati somo la hisabati tunaliweka pembeni na shule zina upungufu mkubwa wa walimu.

Chukua hii;
Nadhani na wewe ni mmoja wao ila UKWELI NI KWAMBA WANASIASA WAPO KWA AJILI YA KUTENGENEZA WAJINGA WENGI NA KUWATAWALA PASIPO BUGHUDHA YOYOTE NA NDIYO MAANA HAWATILII MKAZO WA KWELI KWENYE MAENEO AMBAYO HUWAZINDUA WATU KUTOKA USINGIZINI KM VILE ELIMU,KILIMO NA UFUNDI.

KWA KUHAKIKISHA HILO LINA TIMIA TUMEJENGA CHUO KINACHOSEMEKANA KUWA KIKUBWA KTK UKANDA HUU CHA KUZALISHA WANASIASA BILA KUJALI TUTATOA WAPI FEDHA ZA KUWAPA HAO WANASIASA NA TUNA TEMBEA VIFUA MBELE.

ACHA KUTUFANYA KUWA SISI SOTE NI KM NINYI.
HAKUNA MWANASIASA MWENYE NIA YA DHATI YA KULETA MAENDELEO YA KIUCHUMI TZ BALI WAPO KWA AJILI YA KUJITENGENEZEA HIMAYA ZAO KWA MIAKA NENDA RUDI.
 
Acha kujifunza kuvuta bangi ukiwa umejifungia chooni. Wanachopaswa kufanya viongozi wa kisiasa nchini Tz ni zaidi ya hizo hadithi zako ila kwakuwa Watanzania walio wengi hurizika kwa kupewa flana,kofia na kitenge kwa mara moja ndani ya miaka mi 5 ndiyo maana wanasiasa wakifanya robo ya walichopaswa kufanya wewe unawashangilia km unavyo fanya hapa.

Kwa rasilimali zilizopo Tz tusingekuwa tunazungumzia utengenezaji wa madawati,ujenzi wa miundombinu ya maji,vyumba vya madarasa nk kwakuwa inapofanyika sensa hutoa dira ya maendeleo ya baadae lkn kinachofanyika ni kinyume.

Dhibiti mapato kutoka TANAPA,MADINI,MAZAO YA MISITU na mengineyo lkn viongozi wanadhibiti ili waibe wao na hiki ndicho alichokuwa akifanya mmoja kati ya unao wapigia debe hapo.

Mpaka kesho tunaimiza kilimo wakati shuleni hawasomi kilimo halafu unapuliza moshi wa bangi zako hapa. Tunazungumzia sayansi na tekenolijia wakati somo la hisabati tunaliweka pembeni na shule zina upungufu mkubwa wa walimu.

Chukua hii;
Nadhani na wewe ni mmoja wao ila UKWELI NI KWAMBA WANASIASA WAPO KWA AJILI YA KUTENGENEZA WAJINGA WENGI NA KUWATAWALA PASIPO BUGHUDHA YOYOTE NA NDIYO MAANA HAWATILII MKAZO WA KWELI KWENYE MAENEO AMBAYO HUWAZINDUA WATU KUTOKA USINGIZINI KM VILE ELIMU,KILIMO NA UFUNDI.

KWA KUHAKIKISHA HILO LINA TIMIA TUMEJENGA CHUO KINACHOSEMEKANA KUWA KIKUBWA KTK UKANDA HUU CHA KUZALISHA WANASIASA BILA KUJALI TUTATOA WAPI FEDHA ZA KUWAPA HAO WANASIASA NA TUNA TEMBEA VIFUA MBELE.

ACHA KUTUFANYA KUWA SISI SOTE NI KM NINYI.
HAKUNA MWANASIASA MWENYE NIA YA DHATI YA KULETA MAENDELEO YA KIUCHUMI TZ BALI WAPO KWA AJILI YA KUJITENGENEZEA HIMAYA ZAO KWA MIAKA NENDA RUDI.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
 
Back
Top Bottom