Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
Sasa CCM ifungue kesi kwa lipi? Imepoteza kipi? Pelekeni hayo makaratasi tume ya uchaguzi ikayachunguze kama ni original uchunguzi ufanyike na watuhumiwa wafikishwe mahakamani na kama ni fake CHADEMA na ACT wafikishwe Mahakamani waeleze walikoyatoa