Unajua kesi pia zina gharama? Wafungue kesi ili iweje wakati wameshakamata kila kitu?Kufuatia kauli aliyotoa bwana Polepole kuwa CHADEMA walichapisha kura fake ili kuchafua uchaguzi, ni vyema CCM ikawashtaki hawa CHADEMA kwa kutenda kosa hilo la jinai....
Ndugu zetu upinzani walikuwa wanakumbuka walichofanyiwa na CCM kwenye Serikali za mitaa na Tume ile ile, kuna miujiza gani ambayo ilitegemewa saizi. Wangeanza kudai tume huru mara baada ya ule Uchaguzi bas kuna mambo yasingetokea saivi.Mwenye dhamana ya kuchukua uhaki na uhuru wa kusimamia uchaguzi upo mikononi mwa chombo gani?Ni NEC siyo? isipo tekeleza wajibu wake kikatiba ulitarajia watu waipongeze?...
Fuatilia taarifa ya data kamili, usikurupuke na kijipande cha kanga.Hakuna propaganda ni ukweli, inawezekqna vipi wapiga kura walijitokesa waka50000,kura za mbinge 35000 anayemfuatia kura 11000 ila kura A rais alizopigiwa zinakuwa 192000 zinatoka wapi?
Hakuna propaganda ni wizi wa kitoto na bahati mbaya sana mahesabu yaliwachega hawakuwa wanaangaliq japo ni wapigq kura wangapi walipjiandikisha ,walijitokeza wagapi ndo waweke hizo fake wao wkawa wapigq jqna yake bila kufuata mahesabu ya siku ya kupiga kura.
Lissu tarehe 27/0/2020 aliziwema hizo kura 12 mil na yume imetangaza hizo hizo bila kujali.
Kama ilikuwa ni CHADEMA, iweje, mfano, yule mama na kapu la kura katikati ya Polisi hakukamatwa na Polisi?Hapo CCM Wamepiga Sarakasi Wakati Wamevaa Msuli, Watakaa Uchi Sasa Hivi Wakiendelea Na Hili Jambo
Kura Fake Wakati Wote Wamekutwa Nazo Wasimamizi
[emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji57][emoji57][emoji52][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji2][emoji52][emoji52]
CCM Inapandisha Pressure Taratibu. Polepole Anajibep
Jinai ni kesi inayohusisha wahalifu dhidi ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na huwa haina mwisho huenda Polisi wanalifanyia kazi sio suala la CCM kufungua kesi. Subiri Polisi waanze kusaka wote waliotaka kuvuruga Uchaguzi.Kufuatia kauli aliyotoa bwana Polepole kuwa CHADEMA walichapisha kura fake ili kuchafua uchaguzi, ni vyema CCM ikawashtaki hawa CHADEMA kwa kutenda kosa hilo la jinai.
Kama ambavyo CCM imekuwa ikijinasibu kuwa ipo kwa ajili ya kupigania maslahi ya wananchi wanyonge ni vyema sasa ikaonesha kwa vitendo kuwapigania hao wananchi kwa kufungua kesi maana wananchi ndio wamehujumiwa na si CCM pekee.
Natumai jambo hili litafanyiwa kazi haraka maana sio busara kuliacha jambo zito hivi lipite bila wahalifu hawa kuadhibiwa kulingana na tuhuma za Bwana Polepole.
Asante.
Haswa! amekiri uwepo wa kura feki sasa mchawi atafutwe maana Tume ilikanusha jambo hili.Angalau kuna mtu amekiri kwamba kulikua na uchapishwaji wa kura feki. Kuhusu ni nani alichapisha nadhani mtu huyu inabidi aunganishwe na walalamikaji katika uchunguzi.
Ni sawa kuzichoma Polisi wakikamata zinarudi kwenye mzunguko refer madawa ya kulevya inavyokuaga....Wewe umewahi kuona wapi mtu anakamata kielelezo cha crime na yeye huyo huyo ndiye anakuwa wa kwanza kukiharibu (kukichoma moto)?
Mambo mengine ni usanii wa ajabu sana!
Wewe umewahi kuona wapi mtu anakamata kielelezo cha crime na yeye huyo huyo ndiye anakuwa wa kwanza kukiharibu (kukichoma moto)?
Mambo mengine ni usanii wa ajabu sana!
ni sawa kuzichoma police wakikamata zinarudi kwenye mzunguko refer madawa ya kulevya inavyokuaga...
Nilichogundua, laymen wengi wanapenda sana porojo kwa vitu wasivyovijua, umesema "walichofanyiwa na CCM kwenye serikali za mitaa na Tume ileile" unafahamu kwa wanaosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa ni TAMISEMI na sio TUME, i know ulikua hujui well, ndo umejua now. So kabla hujaanza kuropoka, jipange na hoja na facts.Ndugu zetu upinzani walikuwa wanakumbuka walichofanyiwa na CCM kwenye Serikali za mitaa na Tume ile ile, kuna miujiza gani ambayo ilitegemewa saizi. Wangeanza kudai tume huru mara baada ya ule Uchaguzi bas kuna mambo yasingetokea saivi.
Wanaweza fungua kesi na unaowapenda wakasota miezi kadhaa bila dhamana.Kufuatia kauli aliyotoa bwana Polepole kuwa CHADEMA walichapisha kura fake ili kuchafua uchaguzi, ni vyema CCM ikawashtaki hawa CHADEMA kwa kutenda kosa hilo la jinai.
Kama ambavyo CCM imekuwa ikijinasibu kuwa ipo kwa ajili ya kupigania maslahi ya wananchi wanyonge ni vyema sasa ikaonesha kwa vitendo kuwapigania hao wananchi kwa kufungua kesi maana wananchi ndio wamehujumiwa na si CCM pekee.
Natumai jambo hili litafanyiwa kazi haraka maana sio busara kuliacha jambo zito hivi lipite bila wahalifu hawa kuadhibiwa kulingana na tuhuma za Bwana Polepole.
Asante.
Kuna utafauti gani wa outcome, na pia ukisema tamisemi hao viongozi wa tamisemi( ambayo ipo chini ya serikali) wanateuliwa na nani ambae ni mtu tofauti na yule anaeteua wasimamizi wa uchaguzi mkuu( toka viongozi wa tume hadi wakurugenzi). Ukinipa utofauti huo nitakubali uniite layman nisiejua kitu.Nilichogundua, laymen wengi wanapenda sana porojo kwa vitu wasivyovijua, umesema "walichofanyiwa na CCM kwenye serikali za mitaa na Tume ileile" unafahamu kwa wanaosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa ni TAMISEMI na sio TUME, i know ulikua hujui well, ndo umejua now. So kabla hujaanza kuropoka, jipange na hoja na facts.
Upo sahihi.. lkn wote hao, TAMISEMI na NEC (Tume) wanapokea maelekezo toka sehemu moja tu, ccmwanaosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa ni TAMISEMI na sio TUME, i