Kufuatia ripoti ya CAG, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha Mdachi asimamishwa kazi

Kufuatia ripoti ya CAG, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha Mdachi asimamishwa kazi

Haya mambo ya kufumba macho ndiyo yanafikisha Taifa hapa tulipo
Kama Mama yuko serious.. Tuachane na haya.

Huyu Mama kuna watangulizi wake..juu yake. Wako wapi..!?
Wawajibishwe fasta.

We need to heal this Nation.
 
Huu ni uonevu wa hali ya juu,sioni tatizo la huyu mdada Devotha Mdachi,huyu Damas Ndumbaru aache uongozi wa kishamba na ubabe usiokuwa na maana na viongozi kama yeye wanastahili kuondolewa mapema kabla hawajaleta madhara.Anashindwa nini kumkamata mtangulizi wake Hamis Kigwangala anakwenda kudeal na mtu asiye na hatia? Hili jamaa Ndumbaru la ovyo Sana.
 
Mhhh,80%hii pisi kali ilikuwa chakula ya Mr stone(mfalme JUHA)🤣🤣
 
Hawa ndio walikuwa wakipewa aircover wanaanza tu kumsifia Mwendazake tu hadi kero
 
"Mimi naweza kuwekwa Pembeni kwa uonevu Ila matumuzi ya Pesa kwa Oda za Serekali kuputia waziri wa Mali asili na utalii wa wakati huo ziligubikwa na mkanganyiko mwingi sana Mpaka Kuna wakati nilitafakari kujiuzuru kwa kuyaona haya, Msaidizi wangu ni Shahidi" Devotha Mdachi
 
Huu ni uonevu wa hali ya juu,sioni tatizo la huyu mdada Devotha Mdachi,huyu Damas Ndumbaru aache uongozi wa kishamba na ubabe usiokuwa na maana na viongozi kama yeye wanastahili kuondolewa mapema kabla hawajaleta madhara.Anashindwa nini kumkamata mtangulizi wake Hamis Kigwangala anakwenda kudeal na mtu asiye na hatia? Hili jamaa Ndumbaru la ovyo Sana.
Acha ukichaa watu hawakurupuki wewe umejuaje hana hatua?

Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Shilingi inageuka huyu dada kwa maelezo yake ni wazi hahusiki lakin haikutegemewa kilichotokea kwa hivi karibuni, na sasa ilikuwa ajiuzulu au akatae uteuzi lakin labda alijipa moyo, amefanywa mbuzi wa kafara
 
Back
Top Bottom