Kabla ya kuandika haya uliyoyaandika kuna maswali kama journalist ulipaswa kujiuliza.
1. Huko tunapoita kwa wenzetu wamefanikiwa kuondoa tatizo?,
2. Je , tangia wameanza kuchanja kwa zaidi ya asilimia 80 ya watu wao tatizo limeongezeka au limepungua ?
3. Je, tunachanja as a matter of fashion au tunachanja kukabiliana na tatizo ambalo data zote zinaonyesha chanjo zimeshindwa kulikabili?
4. Vipi kuhusu utaratibu wa boosters , tutawamambiaje watu kurudia kuchanja kwa mara ya pili wakati wenzetu waliochanja kwa lazima na boosters juu bado imeshindikana?
5. Tafiti zinaonyesha jamii ya watu weusi hataa huko US ndio wamechanjwa kwa uchache wengi wakipinga hiyo chanjo, vipi kuhusu Tz yenye majority weusi , unategemea watakubali kirahisi tu!?