#COVID19 Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa Baadhi ya Kada, Kuna Haja ya Kuanzisha Hiyari ya Lazima, Watu Wachanje Kwa Lazima au Tuendelee Kubembelezania Hiyari?

#COVID19 Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa Baadhi ya Kada, Kuna Haja ya Kuanzisha Hiyari ya Lazima, Watu Wachanje Kwa Lazima au Tuendelee Kubembelezania Hiyari?

Tuchanje kwa kulazimishana pale tu itakapopatikana chanjo moja inayoeleweka na itakayoonesha matokeo makubwa. Kuna nchi mpaka Sasa wamechanja chanjo sita! Na bado tatizo lipo, Tanzania waliotangulia wapo wenye chanjo tatu, mbili, moja na zero.

Kwakua hatujafikia hatua mbaya ya maambukizi tuendelee kubembelezana na kuombana na chanjo ibaki kuwa hiari.
Ili kupata chanjo inayoeleweka si chini ya miaka 10.Wataalam wanasema chanjo zote zilizoko duniani zilipatkana hivyo.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.

Hakuna sababu ya kulazimisha mtu. Chanjo yako ni kwa ajili ya kukupunguzia wewe risk of death ukiikwaa COVID-19.

Kumbuka, chanjo haikuzuii wewe kuambukizwa (au kuambukiza watu wengine) COVID-19. Asiyechanjwa haongezi risk ya COVID-19 kwa mtu mwingine! Kuna nchi zimeshachanja zaidi ya 80% ya population na kupiga booster vilevile, lakini zimepigwa na Omicron surge tu kama nchi zingine ambazo bado ziko nyuma sana kwa chanjo!
 
Ahangaiki kama unavyotaka kutuaminisha concern yake ni nini kifanyike ili sote tuwe salama..we kama hutaki kuchanja kimpango wako lakini itafika nyakati utakosa ku-access baadhi ya vitu/ huduma..kama ilivyokua kwa barakoa tu!
Sichanji ng^o na hakuna wa kunilazimisha. Kama wewe umechanja na hauko salama maana yake umeingia mkenge. Kinachokuuma ni nini kama sio wivu kwa wasiochanja? Usalama wa wasiochanja haukuhusu wewe hangaika na usalama wako tu kama vile sisi tusiochanja tunavyohangaika na usalama wetu bila kuwahusisha nyinyi mliochanja.
 
Kabla ya kuandika haya uliyoyaandika kuna maswali kama journalist ulipaswa kujiuliza.

1. Huko tunapoita kwa wenzetu wamefanikiwa kuondoa tatizo?,

2. Je , tangia wameanza kuchanja kwa zaidi ya asilimia 80 ya watu wao tatizo limeongezeka au limepungua ?


3. Je, tunachanja as a matter of fashion au tunachanja kukabiliana na tatizo ambalo data zote zinaonyesha chanjo zimeshindwa kulikabili?

4. Vipi kuhusu utaratibu wa boosters , tutawamambiaje watu kurudia kuchanja kwa mara ya pili wakati wenzetu waliochanja kwa lazima na boosters juu bado imeshindikana?


5. Tafiti zinaonyesha jamii ya watu weusi hataa huko US ndio wamechanjwa kwa uchache wengi wakipinga hiyo chanjo, vipi kuhusu Tz yenye majority weusi , unategemea watakubali kirahisi tu!?
Huyo huwa unaangalia tumbo lake ila huwahafanikiwi

Pole kwake
 
Ahangaiki kama unavyotaka kutuaminisha concern yake ni nini kifanyike ili sote tuwe salama..we kama hutaki kuchanja kimpango wako lakini itafika nyakati utakosa ku-access baadhi ya vitu/ huduma..kama ilivyokua kwa barakoa tu!
Nilifikiri utasema itafika nyakati sote tusiochanjwa tutakufa Corona hahahahhah,kumbe ni habari za kuaccess huduma mbalimbali. Ifike mahali tujitambue, Kazi ya chanjo ni kukukinga wewe na Ugonjwa flani,Ukiona mtu anaforce uchanje na kama hutaki anakuambia hutpata huduma flani jua Chanjo hiyo ina kusudio nje ya kukukinga. Wewe umechanja na uko salama, unawashwa nini na mimi nisiyechanjwa?Tangu lini swala la Afya ya mtu binafsi ikawa ni LAZIMA na shuruti?
 
Chanjo ya Uviko ni hiyari yenye lazima ndani yake.

Nina uhakika hapa TZ tukichanja na kufika % flani tutaanza kuweka restrictions kwenye baadhi ya maeneo itakayopelekea kila mmoja kuchanja kwa lazima.

Ngoja tuone ila soon hadi wafuasi wa kinjekitile watasadiki.

Hiyo ni ndoto ...day to day chanjo inathibitika kua ni upumbaavu ,kwanini nyinyi mnao lilia chanjo mmechanja moja wakati mabasha wenu wamechanja zaidi ya mara 3 ,kwanini Rais kaacha kuchanja maana wazungu wanaelekea dozi ya 4 ya chanjo ....ukweli ni kwamba japo Rais tuliye naye ni mpuuzi kichwani ila kwa hili hata yeye kagundua alikurupuka ndiyo maana sikuizi kanyamaza kimya baada ya kugundua mambo kadha wa kadha

1) kugundua kuwa walio chanja wanakufa kwa namna mbili, moja chanjo yenyewe inaua mbili wakipata covid bado wanakufa

2)kugundua kuwa ili kuendana na mkumbo wa dunia itambidi yeyevmwenyewe achanje zaidi ya mara 3 kama wanavyo fanya mabeberu

3) baada ya wana sanyansi kuthibitisha kuwa wasio chanja ila wamepitia hatua zote za maambukizi ya covid wanakuwa wanakinga madhubuti ya asili kuliko walio chanja

Hizi ndizo sababu zilizo mfanya rais kuachana kushobokea chanjo hadi kumuondoa waziri Ngwajima na kumweka ummi mwalimu kuwa waziri wa afya kwa sababu kagundua kosa la kulazimisha chanjo kwa nguvu.hivyo kamweka waziri mtulivu ili kukava kosa walilo fanya,

SASA WEWE Pascal Mayalla unatuambia ujinga gani kwani ujui kuwa WAZUNGU WAMEFIKISHA DOZI YA TATU YA CHANJO MBONA NYINYI MNAO SHABIKIA CHANJO TZ AMJAENDANA NA MATAKWA YA WAZUNGU YA KUCHOMA KILA MMOJA ZAIDI YA MARA 3
 
Kabla ya kuandika haya uliyoyaandika kuna maswali kama journalist ulipaswa kujiuliza.

1. Huko tunapoita kwa wenzetu wamefanikiwa kuondoa tatizo?,

2. Je , tangia wameanza kuchanja kwa zaidi ya asilimia 80 ya watu wao tatizo limeongezeka au limepungua ?


3. Je, tunachanja as a matter of fashion au tunachanja kukabiliana na tatizo ambalo data zote zinaonyesha chanjo zimeshindwa kulikabili?

4. Vipi kuhusu utaratibu wa boosters , tutawamambiaje watu kurudia kuchanja kwa mara ya pili wakati wenzetu waliochanja kwa lazima na boosters juu bado imeshindikana?


5. Tafiti zinaonyesha jamii ya watu weusi hataa huko US ndio wamechanjwa kwa uchache wengi wakipinga hiyo chanjo, vipi kuhusu Tz yenye majority weusi , unategemea watakubali kirahisi tu!?
Siyo kweli corona haisumbui Ulaya na Marekani kama mwanzo
 
Mtu hasemi usipochanjwa utakufa, ye anasema usipochanjwa huendi Ulaya mara hutapata huduma mbalimbali. Yaani Hajui nini maana ya chanjo
 
Angalia hii video, utajua kuwa UVIKO-19, ni ya kutengeneza.
Na hatuwezi kwenda kwa akili za "ki Pasco Mayalla" tukafanikiwa.
C - Coronavirus
O - Omnicron virus
V - ?????
I - Ihu virus
D - Delta virus.

Haya chanjeni, bado hiyo "V" inakuja. Mtapiga booster! Shenzi kabisa..
Rusha ka video tukaone
 
Pascal mayalla kwanini unajivunjia heshima kirahisi namna hii.
Bora ubaki na njaa lakini uendelee kuzeeka na heshima yako.
Sazingine jaribu kufikiri kabla hujaandinga vitu visivyo eleweka hauitaji akili nyingi kugundua chanjo ni dili.

Wazungu wameangalia fursa ya kupigawatu nasisi tunataka kuingia kichwakichwa, icho kisentence cha hiyari ya lazima sijui maanayake ni kitugani.
 
Back
Top Bottom