#COVID19 Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa Baadhi ya Kada, Kuna Haja ya Kuanzisha Hiyari ya Lazima, Watu Wachanje Kwa Lazima au Tuendelee Kubembelezania Hiyari?

#COVID19 Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa Baadhi ya Kada, Kuna Haja ya Kuanzisha Hiyari ya Lazima, Watu Wachanje Kwa Lazima au Tuendelee Kubembelezania Hiyari?

Hiyo ni ndoto ...day to day chanjo inathibitika kua ni upumbaavu ,kwanini nyinyi mnao lilia chanjo mmechanja moja wakati mabasha wenu wamechanja zaidi ya mara 3 ,kwanini Rais kaacha kuchanja maana wazungu wanaelekea dozi ya 4 ya chanjo ....ukweli ni kwamba japo Rais tuliye naye ni mpuuzi kichwani ila kwa hili hata yeye kagundua alikurupuka ndiyo maana sikuizi kanyamaza kimya baada ya kugundua mambo kadha wa kadha
1) kugundua kuwa walio chanja wanakufa kwa namna mbili, moja chanjo yenyewe inaua mbili wakipata covid bado wanakufa
2)kugundua kuwa ili kuendana na mkumbo wa dunia itambidi yeyevmwenyewe achanje zaidi ya mara 3 kama wanavyo fanya mabeberu
3) baada ya wana sanyansi kuthibitisha kuwa wasio chanja ila wamepitia hatua zote za maambukizi ya covid wanakuwa wanakinga madhubuti ya asili kuliko walio chanja
Hizi ndizo sababu zilizo mfanya rais kuachana kushobokea chanjo hadi kumuondoa waziri Ngwajima na kumweka ummi mwalimu kuwa waziri wa afya kwa sababu kagundua kosa la kulazimisha chanjo kwa nguvu.hivyo kamweka waziri mtulivu ili kukava kosa walilo fanya,
SASA WEWE BOYA Pascal Mayalla mwandishi zuzu mkuu unatuambia ujinga gani kwani ujui kuwa MABASHA WENU WAMEFIKISHA DOZI YA TATU YA CHANJO MBONA NYINYI MNAO SHABIKIA CHANJO TZ AMJAENDANA NA MATAKWA YA MABASHA WENU WAZUNGU YA KUCHOMA KILA MMOJA ZAIDI YA MARA 3
Mbona umepanic namna hii ??? 🤣🤣🤣

Hebu relax, punguza jazba alafu fanya upate kifungua kinywa.
 
Mbona umepanic namna hii ??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu relax, punguza jazba alafu fanya upate kifungua kinywa.
Wewe unijui mm jf kuna mtu alikuwa na sifa bora hapa jf hadi wakenya walikuwa wanamuhusudu alikuwa geza ulole,kapambana na mimi sikuizi sifa zimeporomoka watu wamemjua kuwa ni zuzu tu sasa wewe mwache huyo Pascal Mayalla nimuonyeshe kazi na huu ujinga wake wa chanjo feki,
 
Mtu hasemi usipochanjwa utakufa, ye anasema usipochanjwa huendi Ulaya mara hutapata huduma mbalimbali. Yaani Hajui nini maana ya chanjo
Tanzania tunamazuzu wengi sana tena kibaya wengi wapo kwenye uongozi ,vibaraka wa chanjo wamepoteza hoja kabisa sikuizi ,wamejaa uchungu kutuona sisi atujachanja kana kwamba wanauchungu na maisha yetu sana ,
 
Kwani uliskia kwamba chanjo ni tiba? ama ina tibu covid? Chanjo haiondoi tatizo ila inakupa guarantee incomparison kwa nyie msiochanja!!
Collins Powell alikuwa amechanja chanjo mbili ameuliwa na covid19,madaktari nchi ghana wamemwomba rais wao Nana Addo asitishe chanjo,jirani zangu hapa maeneo yetu watatu wamefariki baada ya kupata chanjo ya Kwanza,kiufupi sitaki kubahatisha.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.

Naomba uanze bandiko hili kwa hii clip

Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.

Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.

Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Rejea kuhusu chanjo ya Corona




Toka ume "chanjwa" hali yako imekuwa al dhoofu ki kifikra. Umezidi kupata shida....Unaandika madudu na mharo. Vipi Gwajima Ameshaondolewa kule Kawe? Ile Kampeni yetu imeishia wapi? Mayala means njaa ...
 
Utaona ulichanjwa sio kujikinga na Corona, bali ili usafiri. Sijui sayansi gani hii.
Ungejua sayansi ya #chanjo usingesema unachokisema hapa!
Na muhimu kujua kwa sasa ni kuwa ugonjwa unaathiri binadamu wa maeneo tofauti kwa namna tofauti.
Hivi wewe umechanja hata yellow fever?? Au unasubiri uugue ufe ndo uchanje??

#Chanjo ni hiyari isiyo hiyari!
 
Mtu hasemi usipochanjwa utakufa, ye anasema usipochanjwa huendi Ulaya mara hutapata huduma mbalimbali. Yaani Hajui nini maana ya chanjo
Rudi darasani usome sayansi ya #chanjo!
Kwa kuwa umezoea sana mbu hutoona hatari ya Malaria. Kwa kuwa umejenga usugu juu ya kipindupindu hutoona umuhimu wa chanjo yake!
Kwa kuwa huna taarifa sahihi kuhusu TB wala hutojiangaisha na chanjo!

NB: Ukielewa umuhimu wa #chanjo hutobishana!

Mbona chale mpo tayari kuchanjwa??
 
Rudi darasani usome sayansi ya #chanjo!
Kwa kuwa umezoea sana mbu hutoona hatari ya Malaria. Kwa kuwa umejenga usugu juu ya kipindupindu hutoona umuhimu wa chanjo yake!
Kwa kuwa huna taarifa sahihi kuhusu TB wala hutojiangaisha na chanjo!

NB: Ukielewa umuhimu wa #chanjo hutobishana!

Mbona chale mpo tayari kuchanjwa??
Wewe ndio urudi darasani. Kama unajua kazi ya chanjo huwez shabikia huu upumbavu wa chanjo unaoendelea.
 
Toka ume "chanjwa" hali yako imekuwa al dhoofu ki kifikra. Umezidi kupata shida....Unaandika madudu na mharo. Vipi Gwajima Ameshaondolewa kule Kawe? Ile Kampeni yetu imeishia wapi? Mayala means njaa ...
Hatari sana hii...
Kwamba kumbe kuna watu walikuwa wanasubiria kuona madhara kwa waliochanja na wasiochanja!

Niseme tu kuwa Covid-19 imewaathiri watu kwa namna isiyomithilika. Mshukuru sana Mungu kama wewe upo salama!
Hivyo usiwadharau wala kuwanyanyapaa waliochukua hatua kujiimarishia kinga!
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.

Naomba uanze bandiko hili kwa hii clip

Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.

Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.

Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Rejea kuhusu chanjo ya Corona




 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.

Naomba uanze bandiko hili kwa hii clip

Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.

Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.

Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Rejea kuhusu chanjo ya Corona




Kuchanja ni lazima.
Kesho naenda chanja , chanjo ya pili ya Pfizer.
 
Back
Top Bottom