Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kwani hapo limetumika mwanzo wa sentensi, wee jamaa bhana...
Mambo magumu sana. Kwani mkataba unasoma miaka mingapi? 😁

NB: initial letter zote za proper nouns huwa capitalized pia
 
Akili za kuambiwa changanya tumia na zakwako kwanini ulazimishe pesa ya nchi nyingine itawale kwenye nchi yako huo ni utumwa ulishawahi sikia wenye dolla wanasema shilingi kwenye benki zao zimekosa hesabu ni ndogo naenda china uko kwenye nchi yangu nakupa pesa yangu nikifika kwako nachenji unanipa ya nchi yako kazi ni ndogo tuache utumwa
 
Akili za kuambiwa changanya tumia na zakwako kwanini ulazimishe pesa ya nchi nyingine itawale kwenye nchi yako huo ni utumwa ulishawahi sikia wenye dolla wanasema shilingi kwenye benki zao zimekosa hesabu ni ndogo naenda china uko kwenye nchi yangu nakupa pesa yangu nikifika kwako nachenji unanipa ya nchi yako kazi ni ndogo tuache utumwa
Huwezi kung'amua chochote kwenye hili bandiko langu kwa sababu huna ufahamu huo, jitahidi kutoboa kwenye elimu maana hicho kichwa kitaishia kufuga nywele.
 
Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.

Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
 
Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.

Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
Putin kaziweka mfukoni?
 
31 May 2023

Mwigulu Lameck Nchemba waziri wa fedha afafanua sababu za uhaba dola za Kimarekani nchini Tanzania



DKT. NCHEMBA AWAAGIZA WATAALAM WA UCHUMI WA KITAIFA NA KIMATAIFA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA​


31 May, 2023
Dodoma, Tanzania

DKT. NCHEMBA AWAAGIZA WATAALAM WA UCHUMI WA KITAIFA NA KIMATAIFA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA

Na Farida Ramadhani-Dodoma

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaagiza wataalamu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kujadili namna ya kushughulikia athari za upungufu wa dola za Kimarekani katika mzunguko wa fedha ili kunusuru uchumi wa nchi zinazoendelea.

Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) ametoa maagizo hayo wakati wa kufungua kikao kilichowashirikisha wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) unaoongozwa na Bw. Harris Tsangaride waliowasili nchini kwa ajili ya kufanya tathimini ya Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) (EFC), kwa kushirikiana na wataalam wa ndani wa Serikali.

Alisema mabadiliko ya Sera za Fedha nchini Marekani ya kubana matumzi na kupunguza dola kwenye mzunguko wa fedha, yameleta athari zinazoonekana mpaka kwenye nchi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania.

"Tumekuwa tukirejea Covid-19 / Uviko na vita baina ya Urusi na Ukraine kama moja ya vitu vinavyoathiri uchumi wa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania lakini upungufu wa dola unaathiri uchumi kwa kiwango kikubwa ikiwemo uagizaji wa mafuta na uagizwaji wa bidhaa mbalimbali zinazotumika katika shughuli za Sekta Binafsi", alisema Dkt. Nchemba.

Alisema ni vema kutafuta namna ya kushughulikia jambo hilo kisera ili kunusuru nchi zinazoendelea kwa kuwa sekta ya nje ni muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa ndani.

Kwa upande wake Kiongozi wa ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Tsangaride, alisema Shirika hilo litaendelea kushirikiana na Tanzania ili kuhakikisha nchi inaendelea kupiga hatua kiuchumi na kijamii.


Bw. Harris Tsangaride amepongeza Serikali kwa Sera zake nzuri ambazo zinaendelea kutekelezwa katika kukabiliana na athari za vita ya Ukraine na kuongeza kuwa ni matarajio yao kuwa zitaendelea kuchokea ukuaji wa uchumi na maisha ya wananchi.

Bw. Tsangaride alisema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache katika kanda ambazo zinafanya vizuri katika kutekeleza programu mbalimbali kwa kushirikiana na Shirika hilo na hivyo katika kikao hicho watajadiliana namna bora ya kuendelea kuiona nchi ikifanya vizuri zaidi.
Mwisho.

Source :
Tovuti ya wizara ya fedha tanzania

More info :

Country Report No. 2023/153

United Republic of Tanzania: 2023

Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility (ECF) Arrangement -Press Release; Staff Report; and Statement by the Executive Director for the United Republic of Tanzania

Spillovers from the war in Ukraine and shortfalls in rainfall stalled Tanzania’s recovery from the COVID-19 pandemic. Despite fuel and fertilizer subsidies, inflation has picked up in recent months, approaching the Bank of Tanzania’s target. External balances deteriorated significantly last year due in large part to spillovers from the war in Ukraine.

Series:

Country Report No. 2023/153

Subject:

International organization Monetary policy

Source : United Republic of Tanzania: 2023 Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility Arrangement-Press Release; Staff Report; and Statement by the Executive Director for the United Republic of Tanzania
Tatizo kubwa liko ndani mwenu Acheni kuisingizia Marekani! Mbona hatujawasikia walioko huko kuyaona haya?
Ninyi wenyewe mnaficha kwa ajili ya uchaguzi 2025!
Mnafanya hata wafanyibiashara kutokumudu kazi zao.
Huku mnapitisha mikataba Hovyo!
Ninyi mbona hambanani kwenye posho za kila siku bungeni?.
Athenian kulitafuna Taifa hili.
 
Akili za kuambiwa changanya tumia na zakwako kwanini ulazimishe pesa ya nchi nyingine itawale kwenye nchi yako huo ni utumwa ulishawahi sikia wenye dolla wanasema shilingi kwenye benki zao zimekosa hesabu ni ndogo naenda china uko kwenye nchi yangu nakupa pesa yangu nikifika kwako nachenji unanipa ya nchi yako kazi ni ndogo tuache utumwa
Hakuna anaekulazimisha, system ilivyowekwa ndio inakulazimu
 
Tatizo kubwa liko ndani mwenu Acheni kuisingizia Marekani! Mbona hatujawasikia walioko huko kuyaona haya?
Ninyi wenyewe mnaficha kwa ajili ya uchaguzi 2025!
Mnafanya hata wafanyibiashara kutokumudu kazi zao.
Huku mnapitisha mikataba Hovyo!
Ninyi mbona hambanani kwenye posho za kila siku bungeni?.
Athenian kulitafuna Taifa hili.
 
Akili za kuambiwa changanya tumia na zakwako kwanini ulazimishe pesa ya nchi nyingine itawale kwenye nchi yako huo ni utumwa ulishawahi sikia wenye dolla wanasema shilingi kwenye benki zao zimekosa hesabu ni ndogo naenda china uko kwenye nchi yangu nakupa pesa yangu nikifika kwako nachenji unanipa ya nchi yako kazi ni ndogo tuache utumwa
 
Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.

Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
.
20230412_001418.jpg
 
Tatizo kubwa liko ndani mwenu Acheni kuisingizia Marekani! Mbona hatujawasikia walioko huko kuyaona haya?
Ninyi wenyewe mnaficha kwa ajili ya uchaguzi 2025!
Mnafanya hata wafanyibiashara kutokumudu kazi zao.
Huku mnapitisha mikataba Hovyo!
Ninyi mbona hambanani kwenye posho za kila siku bungeni?.
Athenian kulitafuna Taifa hili.
.
Screenshot_20230420-215232.jpg
 
Tarehe 08 Juni 2023 nilienda katika benki moja kubwa TU hapa nchini,ambayo kwa miaka yote ya kazi zangu hua naitumia kwa ajili ya malipo ya ununuzi wa nje ya nchi.
Nikiwa na fomu zangu za TT kwa ajili ya kufanya malipo kwa fedha ya USD niliambiwa,"unafahamu kua hakuna usd?".
Hakuna USA Kwa zaidi ya wiki mbili Sasa"je unaweza kulipa kwa Yuan? Maana hizo tunazo nyingi".
Niliwaeleza umuhimu wa shida yangu,wakaanza kupigana simu ofisini,mazungumzo yalikua ni kua hakuna USD.
Maneno waliyokua wakiongea hawakujua kama najua kinachoendelea duniani.

Sitaki kusema mengi lakini USD imeadimika.
Nasikia hata wabunge walihoji Hali hiyo.
Je Putin ndio chanzo Cha kuadimika Dola au,wachumi naomba mje mtoe ufafanuzi plz.
Hahahaaa!
JamiiForums277863732.jpg
JamiiForums-102119353.jpg
JamiiForums-383804874.jpg
 
Back
Top Bottom