Kufuatilia Story za JF ni zaidi ya darasa la Uvumilivu

tunaomba mods wamchukulie hatua anachotufanyia sio haki na hakipendezi, mim angekua offline nisingeona shida anakua online na bado anazurura michezoni wakat anakiporo hajakimaliza katudharau sana kama anataka kulipwa aseme tujue moja tunazika ama tunasafirisha sio huu uhuni
 
Kweli kabisa au kuna mahala anaipata kwahiyo ikichelewa nayeye anachelewa, wakigoma muendelezo nayeye inakuwa ngumu kuupata
 
uko sahihi, mtu anatufanya kama watoto wake wakti ni watu na heshima zetu, unafikiri haon hizo mention anaona lakini ndio kashika makali audience imeshika mpini anatakiwa kubadilika steve haya anayoyafanya kwa mtu mzima hayana maana
 
uko sahihi, mtu anatufanya kama watoto wake wakti ni watu na heshima zetu, unafikiri haon hizo mention anaona lakini ndio kashika makali audience imeshika mpini anatakiwa kubadilika steve haya anayoyafanya kwa mtu mzima hayana maana
Yaaani ila wanakera
 
huko nyuma hakua hivibkabisa ilikuahl hata akichelewa haiwi wiki mbili wala mwez na akiweka anaweka had unafrah ajabu sijui kawaje labda ndio sifa ziliponza kichwa ๐Ÿฅบ na hivi tunavomlalamikia ukute huko ndio furaha yake
Angesema neno moja tu tujue
 
Uko sahih mkuu wee hpn kwa Kweli haumo kwenye huo mkumbo

Yupo

Umughaka
Poker
Stivu ake moleli
Jack Daniel


Ni watu wababahifu sana


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ