Kufufuka kwa wafu - Ni maajabu yanayoendelea kwa kasi nchini huku wanahabari/jamii wakizipa nafasi ndogo kama habari zinazohitaji uchunguzi wa kina

Inawezekana akili zetu zilishageuzwa au kutekwa, na hao wanaofanya hayo mambo ili tusipate muda wa kujadili maovu yao. Ndio maana wengi tunapuuzia


Nimekuelewa sana Equation x πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Na kila mtu akuelewe
 
Halafu wengi wetu hatutaki kuyafikiriaπŸ€”πŸ€”πŸ€”
Hakika, sijui kama ishawahi kukutokea, kuna wakati unaota kabisa watu mliyokwisha wazika miaka ya zamani wapo hai na wanadunda tu...
 
Hamna kitu hapo ni ulofa mtupu..NI sawa na kumdhalilisha Mungu kwa maana unakuwa umeamini ana uwezo sawa na shetani

Nenda kayafanyie utafiti uje uyapinge au uyakubali ukiwa na proof kwa kumtukuza Mungu
 
Nitaanza kuziamini hizi habari nikisikia mtu maarufu, ambaye kila mtu anajua alishafariki amefufuka, kama Nyerere, Sokoine, Kanumba, Magufuli, Ruge, Mkapa etc
 
kuna MUNGU mmoja katika nafsi tatu, unavyosema YESU hilo ni jina la MUNGU kwani wote ni mmoja
mwanadamu amepewa mamlaka hata ya kumuamrisha malaika na chochote kupitia jina YESU KRISTO
Sasa hii Galatians 6 inahusikaje na agenda hii ya kuzikung'uta nguvu za giza?
 
mama D

Unataka serikali ianze kushughulika na mazingaombwe?

Kwakweli serikali ishughulike tuu tupate ukweli

Haiwezekani tutoke kwenye mazingaombwe ya kutuaminisha kuwa makaratasi yanaweza kuwa pesa halafu tuingie kwenye mzingaombwe ya kubadilisha walio hai kuwa wafuπŸ™„πŸ™„
 
Ngoja nimalizie videos.
Lakini nimecheka hiyo video ya kwanza polisi kasema mtoto alikufa Kwa "kosa" la kukosa damu πŸ˜„

Profession ikikolea Unakuta unatumia misamiati kusiko...
 
Reactions: Cyb
Hakika, sijui kama ishawahi kukutokea, kuna wakati unaota kabisa watu mliyokwisha wazika miaka ya zamani wapo hai na wanadunda tu...
JUzi nilimuota mshikaji wangu mmoja hivi (RT) tumemzika kama mwezi mmoja uliopita hivi, nikamuota kapita karibu yangu akiwa katinga kaunda nyeusi, yuko very smart. Ila kwa jinsi alivyonipita, ni kama hanijui vile.
 
Uko sahihi, tatizo ni ngumu sana kutafiti nguvu za kiza. Inaweza kuwz ile unaanza tu, na wewe chali, RIP

Nani anataka mambo hayo, wanapotezea.
 
Dah pole sana Mkuu,hii historia yako ni mara ya pili unaisimulia. Inaonesha ni jinsi gani jambo hili linakutesa,huyo Bi.Mkubwa ipo siku ataumbuka tu.
Muda ndie shahidi wa kweli.
 
Nina Jamaa angu yeye ni FUNDI wa kuigiza ile MICHEZO ya "KUTEGA na kukamata wachawi wanaosafiri usiku mkoa hadi mkoa " madai yake ana Mitego mikali!
Hawa watu mimi binafsi nachoka naudhika nasumbuka natingwa kwa utapeli huu
Mbona huwa ni watu wa maisha duni tu kwani wenye pesa hawafi?
Mochwari zhospitali zipo mbona hawaendi huko kuponya watu
Hi kuwafungulia mashtaka iwe fundisho kwa wengine
 
Mazingaombwe ndio?

☺️

Mazingaombwe ni mchezo wa kudanganya macho ambao humfanya mtu aone mambo yasiyo ya kawaida kutendeka

Unajua umenifanya ni smile kwa swali lako, sababu watanzania wengi wa zamani wanajua mazingaombwe ni kitu gani
 
Kuna mshkaji wangu alikufa gafla mwezi wa tisa mwaka jana tukamzika,ila hadi leo anaonekana na kupotea,,,,jitihada zinafanyika nitaleta mrejesho
 
Hii ipo mtu anauliwa kichawi ilhali siku ambazo alikuwa kapangiwa na Mungu hazijafika.Ndio maana unaskia tumemuona sehem fulan sjui kapotea huyo aliuliwa kichawi.Sio kila mtu hufa kwa mapenzi ya Mungu wengine hufa kwa mapenzi ya wanadam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…