mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #61
Nitaanza kuziamini hizi habari nikisikia mtu maarufu, ambaye kila mtu anajua alishafariki amefufuka, kama Nyerere, Sokoine, Kanumba, Magufuli, Ruge, Mkapa etc
Kama anayefanya haya ni Mungu ukumbuke yeye huwa haangalii umaarufu wala hapangiwi, tena hajaribiwi kabisa.
1 Sam 2:8 "Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake."