Pole sana ..njoo mwanza ila kwa gharama zangu..mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vasco Da Gama
vp alikupa mzigoDuuh jambo la kawaida sana, umenikumbusha safari yangu toka Dar hadi kampala, na ilikuwa safari yangu ya kwanza kwenda UG, na hakuna zaidi ya nilicho kifata ni mbunye, na ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kuonana na mtoto ana kwa ana,
Sema demu hakuwa mzushi
madam vp ulipanda tren wewe hadi kigoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Madame S
jiandae kisaikolojiaMimi sijawahi!
Lakini inaweza kunitokea soon kwenda Morogoro
na huyo bebi uko nae hadi sasa?Aisee mimi nishafuata mwanamke continent to continent....sasa hivi kibaha tu siwezi kwenda! Kweli ujana maji ya moto.
khaaa kwahiyo ndio mkaachana aumwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
ulifanyaga blandazDah nmejikuta nacheka hahahah kuna kitu nmekumbuka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu nimecheka Kwa sautiSirudii tena upuuzi huo
wengi tu wanatusafiriaHata wanawake tens wengi..kuna mmoja alinifata kwa gharama zake kutoka moshi hadi mwanza.... Na tukakaa siku tatu..
mwanza kwetu
hongeraTz hadi ltaly, na watoto 2 wakubwa tu sasa. Kutiana raha sana jaman
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hii nayo Kali, haha JF rahamwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
Mkuu kapige kura kwanza.Eti vp kwa upande wako ulishawahi kufukuzia mtu ambaye unamtaka kimapenzi na anaishi mbali na wewe hadi ukaamua kumfungia safari hukohuko?
hebu niambie ulienda umbali gani kufukuzia mpenzi
em kidogo, inaonekana ulipewa limbwataKwanilivyo pitia comments......[emoji2] [emoji2]
Nimejikuta nasita kusema sababu nitaishia kuchekwa tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Dah [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] JFNishasafiri km 2000+km nnje ya nchi kufata mreemboo...
Kawaida saana afu nikakutana na show mbovu ila sijakoma mpaka now nasafiri tu
Sent from "La -Vista"