falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
- #41
tunasherekea ushindi wa uhuruMkuu kapige kura kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunasherekea ushindi wa uhuruMkuu kapige kura kwanza.
Ah wapi hizo enzi za ujana...city to city kila weekend! Continent to continent occassionally!na huyo bebi uko nae hadi sasa?
Kabisa, ngoja niendelee kuomba yasinikuteMapenzi yaskie tu kwa watu yasikukute everything is possible and all bets are off......ndo nnachojua.
Distance kills relationshipNilifukuzia na kukisafiria penzi hadi nikakubaliwa, ikawa kila weekend lazima nizuke au yeye aje. I wasted so much money kwa safari zile, at the end distance was a good judge.
Ushimeni sema bhana [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanilivyo pitia comments......[emoji2] [emoji2]
Nimejikuta nasita kusema sababu nitaishia kuchekwa tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbeya hadi Dar kufuata dushe???![emoji32][emoji32][emoji32]mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
Hayuko nae ndo mana kajibu ki regreatna huyo bebi uko nae hadi sasa?
Unataka kusema nyie hakuna aliesafiria dude?Kweli wanaume mmeumbwa mateso
Na wewe yule baby wako wa mbali wa kipindi kile mliishia vipi?[emoji4][emoji4][emoji4]
The far........ Never kill a snakeNa wewe yule baby wako wa mbali wa kipindi kile mliishia vipi?[emoji4][emoji4][emoji4]
Umesahau mimi nilikufungia safari kutoka mtwara mpk moshi [emoji23][emoji23][emoji13]Kweli wanaume mmeumbwa mateso
Eti vp kwa upande wako ulishawahi kufukuzia mtu ambaye unamtaka kimapenzi na anaishi mbali na wewe hadi ukaamua kumfungia safari hukohuko?
hebu niambie ulienda umbali gani kufukuzia mpenzi
Mkuu nilitoka Karatu hadi LUSHOTO nikamkuta mtoto mkali sana bahati mbaya alikuja na mabest zake wawil tukaenda kula hotel flan buffet, kilichonifanya nimchukie yan waliamua kubrba sahan tatu tatu yan walibebanisha sahan tupu chin ya zenye chakula then tulivyofika mezan wakawa wanaziweka kwenye mikoba yao zile tupu ,,kitendo hicho kilinifanya nimdharau sana yule bint kesho yake nikaondoka sikurudi tena.Eti vp kwa upande wako ulishawahi kufukuzia mtu ambaye unamtaka kimapenzi na anaishi mbali na wewe hadi ukaamua kumfungia safari hukohuko?
hebu niambie ulienda umbali gani kufukuzia mpenzi
Sana, wengine uvumilivu wetu ni zero.
Duh wewe mtoto noma kwa kuwafata wanaume,juzi umenifata Mimi Tunduma ndio maana nilikuacha nilijisi wewe ni Malaya snmwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
Ukiacha limbwata.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]em kidogo, inaonekana ulipewa limbwata
Mbona nimesha sema mkuu...[emoji12] [emoji12]