Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Duhh....[emoji12] [emoji12]na bado ukaambulia patupu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh....[emoji12] [emoji12]na bado ukaambulia patupu
Jaman sema kuna zawad ntakupaKwanilivyo pitia comments......[emoji2] [emoji2]
Nimejikuta nasita kusema sababu nitaishia kuchekwa tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimeshakutumia pm...[emoji2] [emoji2]
...k ya naniliu wakeMwambie Mkuu na wahenga walisema mdharau K....
Usiogope kuaibika ndo ukubwa wenyewe [emoji12] [emoji12]Nitaaibika tafadhali aiseeeeee....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mzigo nilipewa usiku kucha Mkuu tena ndio nilikAribishwa mambo ya kitanga we acha tuna mzigo hukupewa
ukipenda unafuata kaka,mi nikipromise na MTU si mbabaishaji.Nashukuru lakini kuniacha kwako kufanikiwa kwangu.Siye wote ni wa Mungu....nimefanikiwa kakaDuh wewe mtoto noma kwa kuwafata wanaume,juzi umenifata Mimi Tunduma ndio maana nilikuacha nilijisi wewe ni Malaya sn
Sent using Jamii Forums mobile app
nimefanikiwa kaka....Mungu mkubwaPole sana ..njoo mwanza ila kwa gharama zangu..
mwanza kwetu
khaa we sasa umetisha
kweli kabisa bidada mapenz yanaweza kukufanya ufanye mambo ya ajabukipenda unafuata kaka,mi nikipromise na MTU si mbabaishaji.Nashukuru lakini kuniacha kwako kufanikiwa kwangu.Siye wote ni wa Mungu....nimefanikiwa kaka
ni kweli kaka....kupenda ni uchizikweli kabisa bidada mapenz yanaweza kukufanya ufanye mambo ya ajab
Hivyo hivyo lol............Mwambie Mkuu na wahenga walisema mdharau K....
Nishasafiri km 2000+km nnje ya nchi kufata mreemboo...
Kawaida saana afu nikakutana na show mbovu ila sijakoma mpaka now nasafiri tu
Sent from "La -Vista"
Mkuu nilitoka Karatu hadi LUSHOTO nikamkuta mtoto mkali sana bahati mbaya alikuja na mabest zake wawil tukaenda kula hotel flan buffet, kilichonifanya nimchukie yan waliamua kubrba sahan tatu tatu yan walibebanisha sahan tupu chin ya zenye chakula then tulivyofika mezan wakawa wanaziweka kwenye mikoba yao zile tupu ,,kitendo hicho kilinifanya nimdharau sana yule bint kesho yake nikaondoka sikurudi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] mkuu take care wangu yuko huko hukoMimi sijawahi!
Lakini inaweza kunitokea soon kwenda Morogoro