Mkonga100
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 660
- 495
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we bint umeniamshia mtotoKweli wanaume mmeumbwa mateso
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we bint umeniamshia mtotoKweli wanaume mmeumbwa mateso
Ha ha ha!!
Pole sasa hivi je!mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
nimefanikiwa kwa mwingine
Yaan we acha tuuulifanyaga blandaz
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ukabeba hivyo hivyo mkuu?Mie nlimfuata dar nkakuta ajuza, sina hamu nae,
Kama nikukisema itabidi kukiasema kwa kutumia id nyingine maana hii ntajulikana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nishasafiri km 2000+km nnje ya nchi kufata mreemboo...
Kawaida saana afu nikakutana na show mbovu ila sijakoma mpaka now nasafiri tu
Sent from "La -Vista"
Dondosha comment yako tuambie ulienda wapi basiiiUnataka kusema nyie hakuna aliesafiria dude?
Aya tosha mama njoo tulale[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]