Kufukuzia hadi kusafiria penzi

Kufukuzia hadi kusafiria penzi

Dodoma to Arusha 2014 Pasaka, alikuwa anasoma chuo na alikuwa tayari mchumba Wa mtu but sikujali hilo(ni kawaida yangu kutofikiria matokeo yajayo nikiwa katika misheni za papuchi na huwa sirudi nyuma-waterfall mode of programing), nilifikia katika chumba alichopanga karibu na chuo na nikakaa siku 7 na nashukuru kilikuwa kipindi cha mvua hivyo ilikuwa ni mwendo Wa kula na kugegeda tu mpaka nikampa mimba na nashukuru kanipatia kidume kimefanana sana mimi. Mchumba wake alikuwa anaishi dar, na hakuwahi enda Arusha kwa demu,... Kwa sasa kaolewa na huyo jamaa ila mtoto huwa naenda kumwangalia kwa mama yake,

Nb: walifunga ndoa baada ya bint kujifungua, jamaa alikubali matokeo

from Katesh using Siemens C55
aisee ulikosea sana na huyo mwanamke alikosea, sio vizuri
 
mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaah pole mkuu! Naona ukasema nyege nyengine noma sana..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa maelezo yake huyo anaonkana alifuata mjengo wa mwana,pumbavu kabisa,ndio maana alilala peke yake tena guest house,hiyo nauli angeponda tu raha anunue chips mayai na mishikaki kuliko ujinga alioufanya!
kupenda kubaya boss
 
mzee usirudie tena sio poa umeachana nae miaka mingi sana ujue

Miaka mingi lakini yule binti ni watofauti, ni mshika dini sana. Uzuri ana nikubali kwahiyo kunipa chini haikua shida sana. Na mazingira ya mgodi yalionyesha haujatumika mda mrefu sana.
 
mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
Ulidata nakamjengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa


umenichekesha sana aic!
 
Back
Top Bottom