Kufukuzia hadi kusafiria penzi

Kufukuzia hadi kusafiria penzi

Nimetafakari Kweli nguvu tuiwekayo kwenye Mapenzi. Halafu yakiisha unajishangaa ulipata wapi Huo muda hahaha. Ila unapata dhambi, Uwe na Huruma kiasi bibie
Amenifrahisha alivyosema hafanyitena upuuzi huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comment yake kila nikiiona nacheka tu!! Hahahhaa kujipeleka tena itakua ngumu

Madame S


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amenifrahisha alivyosema hafanyitena upuuzi huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comment yake kila nikiiona nacheka tu!! Hahahhaa kujipeleka tena itakua ngumu

Madame S
madam itakuwa ni wewe bwana ndie uliefungiwa safari
 
Mi ya kwanza nlitoka Dar mpaka Tanga alafu nikaishia kula mate tu.Ya pili nlitoka Dar to Dom,nikapanga mpaka lodge alaf mbunye nliishia kuipapasa tu.Alidai ni mapema sana kunipa.Kweli wanaume tumeumbiwa mateso.
 
Mi ya kwanza nlitoka Dar mpaka Tanga alafu nikaishia kula mate tu.Ya pili nlitoka Dar to Dom,nikapanga mpaka lodge alaf mbunye nliishia kuipapasa tu.Alidai ni mapema sana kunipa.Kweli wanaume tumeumbiwa mateso.
khaaa we umenikera sana au ulienda kilokole
 
Dah nakumbuka mwaka juzi nilisafiri kutoka Arusha to Kahama kumfuata mtt mmoja half cast,safari yenyewe ilikuwa ya misukosuko basi liliniacha nikapanda basi lingine lkn namshukuru hakuwa mwongo nilifanikiwa kuonana nae na mzigo nikakamua fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupia number tu experience the differences

Sent from "La -Vista"
 
Kisafiria! Hapana hiyo.... Hujui unaemsafiria anaishije huko... Hivi kabisa unamsafiria demu ambae hamjawahi kuwa kwenye mahusiano... Hayo mambo wanafanyaga wanawake!
 
Back
Top Bottom