Kwahiyo hata Simba ilihongwa!?Si mnashinda mechi kwa hongo za marefa, uchawi na kudhamini vilabu
Kwahiyo hata CR belouzdad ilihongwa?
Kwahiyo ushindi wa michuano ya kimataifa Yanga ilihonga marefa!??
Aiseeee ttttttt unasikitisha sana kama hizo ni akili zako usipate mtoto utampa shida ya kifikra.